Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakristu watoroka Qaraqosh Iraq

Maelfu ya Wakristu wametoroka mji wa Qaraqosh Nineva baada ya wapiganaji wa Kiislamu kuuteka.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

IS yawateka wakristu 90 Syria

Kundi la Islamic State limewateka nyara watu 90 wa jamii ya wakristo kutoka katika kijiji kimoja kazkazini mwa Syria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakristu wazika waumini waliouawa Pakistan

Pakistan wamekusanyika kwa maziko ya waathiriwa wa mauaji ya siku ya jumapili yanayoaminiwa kufanywa na wanamgambo wa Taliban

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakristu zaidi watekwa nyara Syria

Kuna hofu kuwa raia wakristo kutoka Syria wametekwa nyara na wanamgambo wa Islamic State.

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa 'wakristu wasilipize kisasi' Afrika ya Kati

Papa Francis amewaomba wakristo wasilipize kisasi dhidi ya Waislamu katika jamhuri ya Afrika ya Kati

 

9 years ago

BBCSwahili

Wasomali watoroka vita Yemen

Wasomali waliotorokea Yemen sasa wameanza kurudi nyumbani baada ya vita kuzidi nchini Yemen.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini

Serikali ya Sierra Leone imeonya kuwa ni hatia kumpa hifadhi mtu yeyote aliyeambukizwa virusi vya Ebola na ambaye ametoroka hospitalini

 

10 years ago

BBCSwahili

Waraibu wa mihadarati watoroka matibabu

Takriban watumiaji 400 mihadarati wametoroka kutoka katika kituo cha waathiriwa wa dawa za kulevya Kaskazini ya Vietnam

 

11 years ago

GPL

WAPAKISTANI WA UNGA WATOROKA NCHINI!

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
Wapakistani wawili, Abdul Ghan Peer Bux na Shahbaz Malk (pichani) waliokamatwa  wakiwa  na  Watanzania  wanaotuhumiwa kwa kukutwa  na  madawa ya kulevya wametoroka nchini.  Mtuhumiwa Abdul Ghan Peer Bux. Watuhumiwa hao walikamatwa Februari 21, 2011wakiwa na madawa ya kulevya yenye thamani ya  shilingi  bilioni 6.2,  Mbezi Beach  maeneo ya ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Waisilamu watoroka mashambulizi CAR

Zaidi ya wakimbizi 2000 Waislamu kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefika Cameroon baada ya kukimbia mzozo wa kidini unaoendelea nchini mwao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani