Waisilamu watoroka mashambulizi CAR
Zaidi ya wakimbizi 2000 Waislamu kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefika Cameroon baada ya kukimbia mzozo wa kidini unaoendelea nchini mwao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Waisilamu wakimbilia usalama CAR
Wanajeshi wa Ufaransa na Umoja wa Afrika wameusindikiza msafara wa Waislamu zaidi ya Elfu Moja waliokuwa wanaondoka mjini Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Waisilamu waandamana dhidi ya C.Hebdo
Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji, walioghadhabishwa na uamuzi wa jarida na Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha vibonzo vya mtu wanayedai ni Mtume Mohammad.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria
Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
Waisilamu hawatapelelezwa tena New York
Idara ya polisi mjini New York Marekani, imefunga kitengo chake maalum cha kuwapepeleza waisilamu ili kuchunguza kama kuna tisho lolote la ugaidi.
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ebola:Hofu ya waisilamu kuhusu maziko
Na katika hatua nyingine baadhi ya waumini wa dini ya kiislam wamekuwa na mashaka iwapo wapendwa wao wanaofariki kwa Ebola kama wanazikwa kwa taratibu zinazostahili.
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Waisilamu wautoroka mji wa Bangui tena
Walinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamewaondosha waisilamu,1,200, kutoka mji mkuu Bangui kutokana na tisho la usalama wao.
10 years ago
BBCSwahili15 Sep
Waraibu wa mihadarati watoroka matibabu
Takriban watumiaji 400 mihadarati wametoroka kutoka katika kituo cha waathiriwa wa dawa za kulevya Kaskazini ya Vietnam
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Wasomali watoroka vita Yemen
Wasomali waliotorokea Yemen sasa wameanza kurudi nyumbani baada ya vita kuzidi nchini Yemen.
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Wagonjwa wa Ebola watoroka hospitalini
Serikali ya Sierra Leone imeonya kuwa ni hatia kumpa hifadhi mtu yeyote aliyeambukizwa virusi vya Ebola na ambaye ametoroka hospitalini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania