Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waisilamu hawatapelelezwa tena New York

Idara ya polisi mjini New York Marekani, imefunga kitengo chake maalum cha kuwapepeleza waisilamu ili kuchunguza kama kuna tisho lolote la ugaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Waisilamu wautoroka mji wa Bangui tena

Walinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamewaondosha waisilamu,1,200, kutoka mji mkuu Bangui kutokana na tisho la usalama wao.

 

11 years ago

Michuzi

NEW YORK YAMJADILI TENA TEMBO, CHELSEA CLINTON AONGOZA MAJADILIANO, TANZANIA YASHIRIKI

Moja ya picha mbalimbli za Tembo zilipamba ukumbi yalipofanyika majadiliano kuhusu tembo, picha hizo na ambazo zilikuwa kivutio kwa washiriki wa majadiliano hayo ziliandaliwa na National Geograpy. Mkurugenzi Mtendaji wa ABC HOME Paulette Cole akiwakaribisha wanajopo na wageni waalikwa katika majadiliano kuhusu tembo, majadiliano hayo yalifanyika siku ya jumanne usiku Jijini New York. Chelsea Clinton, Makamu Mwenyekiti wa Clinton Foundation, na ambaye aliongoza majadiliano hayo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Waisilamu watoroka mashambulizi CAR

Zaidi ya wakimbizi 2000 Waislamu kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefika Cameroon baada ya kukimbia mzozo wa kidini unaoendelea nchini mwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waisilamu waandamana dhidi ya C.Hebdo

Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji, walioghadhabishwa na uamuzi wa jarida na Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha vibonzo vya mtu wanayedai ni Mtume Mohammad.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waisilamu wakimbilia usalama CAR

Wanajeshi wa Ufaransa na Umoja wa Afrika wameusindikiza msafara wa Waislamu zaidi ya Elfu Moja waliokuwa wanaondoka mjini Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria

Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Hofu ya waisilamu kuhusu maziko

Na katika hatua nyingine baadhi ya waumini wa dini ya kiislam wamekuwa na mashaka iwapo wapendwa wao wanaofariki kwa Ebola kama wanazikwa kwa taratibu zinazostahili.

 

9 years ago

Michuzi

African in New York Episode 25 Promo: Affordable Housing in New York: As A Tanzanian Immigrant, What do you need to know?


Ms. Afua Atta-Mensah is the Director of Litigation and Policy Safety Net Project at Urban Justice Center. She works to resolve affordable housing issues helping both Americans and immigrants to both know their rights and to be able to get justice if required.She has been working as an attorney for ten years specializing in housing issues here in New York. At the moment she is running for an unpaid position as a district representative of one of the districts of Harlem and she asks you to...

 

9 years ago

Michuzi

Jopo la UN linaloongozwa na JK lakamilisha kazi yake New York, Jijini New York, Marekani

Jopo la Watu Mashuhuri la Umoja wa Mataifa la Kupendekeza Namna Bora ya Dunia Kukabiliana na Majanga ya Afya limekamilisha kazi yake wiki iliyopita jijini New York. Jopo hilo linaloongozwa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete lilikabidhiwa jukumu hilo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki moon tarehe 2 Aprili, 2015 na kupewa muda wa kuanzia Mei hadi Desemba 2015 kukamilisha kazi yake.
Jopo limefanya mikutano minne na kukutana na wadau mbalimbali wa afya zikiwemo taasisi za Umoja wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani