Waisilamu hawatapelelezwa tena New York
Idara ya polisi mjini New York Marekani, imefunga kitengo chake maalum cha kuwapepeleza waisilamu ili kuchunguza kama kuna tisho lolote la ugaidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Waisilamu wautoroka mji wa Bangui tena
Walinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamewaondosha waisilamu,1,200, kutoka mji mkuu Bangui kutokana na tisho la usalama wao.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_nNZhZt4Grw/Uw2Tay4LlWI/AAAAAAAFPnE/WpnWqGiWTmw/s72-c/unnamed+(39).jpg)
NEW YORK YAMJADILI TENA TEMBO, CHELSEA CLINTON AONGOZA MAJADILIANO, TANZANIA YASHIRIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-_nNZhZt4Grw/Uw2Tay4LlWI/AAAAAAAFPnE/WpnWqGiWTmw/s1600/unnamed+(39).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ih6xtiuVBpU/Uw2TdOzMy0I/AAAAAAAFPnM/31WQWT198VI/s1600/unnamed+(40).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-P961ugjz7vY/Uw2TdK3Du8I/AAAAAAAFPnQ/NihWBBURqq8/s1600/unnamed+(41).jpg)
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Waisilamu watoroka mashambulizi CAR
Zaidi ya wakimbizi 2000 Waislamu kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefika Cameroon baada ya kukimbia mzozo wa kidini unaoendelea nchini mwao.
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Waisilamu waandamana dhidi ya C.Hebdo
Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji, walioghadhabishwa na uamuzi wa jarida na Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha vibonzo vya mtu wanayedai ni Mtume Mohammad.
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Waisilamu wakimbilia usalama CAR
Wanajeshi wa Ufaransa na Umoja wa Afrika wameusindikiza msafara wa Waislamu zaidi ya Elfu Moja waliokuwa wanaondoka mjini Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria
Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ebola:Hofu ya waisilamu kuhusu maziko
Na katika hatua nyingine baadhi ya waumini wa dini ya kiislam wamekuwa na mashaka iwapo wapendwa wao wanaofariki kwa Ebola kama wanazikwa kwa taratibu zinazostahili.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Q9WuoikCHE0/default.jpg)
African in New York Episode 25 Promo: Affordable Housing in New York: As A Tanzanian Immigrant, What do you need to know?
Ms. Afua Atta-Mensah is the Director of Litigation and Policy Safety Net Project at Urban Justice Center. She works to resolve affordable housing issues helping both Americans and immigrants to both know their rights and to be able to get justice if required.She has been working as an attorney for ten years specializing in housing issues here in New York. At the moment she is running for an unpaid position as a district representative of one of the districts of Harlem and she asks you to...
9 years ago
MichuziJopo la UN linaloongozwa na JK lakamilisha kazi yake New York, Jijini New York, Marekani
Jopo la Watu Mashuhuri la Umoja wa Mataifa la Kupendekeza Namna Bora ya Dunia Kukabiliana na Majanga ya Afya limekamilisha kazi yake wiki iliyopita jijini New York. Jopo hilo linaloongozwa na Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete lilikabidhiwa jukumu hilo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki moon tarehe 2 Aprili, 2015 na kupewa muda wa kuanzia Mei hadi Desemba 2015 kukamilisha kazi yake.
Jopo limefanya mikutano minne na kukutana na wadau mbalimbali wa afya zikiwemo taasisi za Umoja wa...
Jopo limefanya mikutano minne na kukutana na wadau mbalimbali wa afya zikiwemo taasisi za Umoja wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania