Waisilamu wakimbilia usalama CAR
Wanajeshi wa Ufaransa na Umoja wa Afrika wameusindikiza msafara wa Waislamu zaidi ya Elfu Moja waliokuwa wanaondoka mjini Bangui katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Waisilamu watoroka mashambulizi CAR
Zaidi ya wakimbizi 2000 Waislamu kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati wamefika Cameroon baada ya kukimbia mzozo wa kidini unaoendelea nchini mwao.
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
CAR:Usalama wazidi kuzorota yasema U.N
Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa katika nchi ya Jamhuri ya Africa ya Kati, Generali Babacar Gaye amesema kuwa usalama umezorota.
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Waisilamu waandamana dhidi ya C.Hebdo
Polisi nchini Pakistan wamekabiliana na waandamanaji, walioghadhabishwa na uamuzi wa jarida na Ufaransa la Charlie Hebdo wa kuchapisha vibonzo vya mtu wanayedai ni Mtume Mohammad.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria
Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.
11 years ago
BBCSwahili16 Apr
Waisilamu hawatapelelezwa tena New York
Idara ya polisi mjini New York Marekani, imefunga kitengo chake maalum cha kuwapepeleza waisilamu ili kuchunguza kama kuna tisho lolote la ugaidi.
10 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ebola:Hofu ya waisilamu kuhusu maziko
Na katika hatua nyingine baadhi ya waumini wa dini ya kiislam wamekuwa na mashaka iwapo wapendwa wao wanaofariki kwa Ebola kama wanazikwa kwa taratibu zinazostahili.
11 years ago
BBCSwahili28 Apr
Waisilamu wautoroka mji wa Bangui tena
Walinda amani katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamewaondosha waisilamu,1,200, kutoka mji mkuu Bangui kutokana na tisho la usalama wao.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jNrZ7iSqItZcZE89BshH6yUPkc8ZDPuSQj0XzwdfJaGrvL-I0GPuy3TcPp*xxb-S3bAoTgAC9PPOe8XkWeN2pHsIRb**7Vsg/MASTAA.jpg)
MASTAA WAKIMBILIA KANISANI KUJISALIMISHA
Stori: Waandishi Wetu
HUKU maajabu mengi yakiendelea kutokea kila kukicha na hivyo kuashiria mwisho wa dunia unakaribia, mastaa kibao wa filamu wameonekana kujisalimisha kanisani na kuhudhuria ibada ya kiroho ya Inuka Uangaze maeneo ya Vatican -Sinza jijini Dar es Salaam. Mc Pilipili. Chanzo makini kilicho ndani ya kanisa hilo kilisema kwamba wasanii wengi wamevutiwa na huduma hiyo ambayo maombi yake hufanyika kila Jumanne na...
10 years ago
BBCSwahili02 Apr
Raia wa Yemen wakimbilia Somalia
Mashirika ya umoja wa mataifa yamesema kuwa mamia ya raia wa Yemen wamevuka ghuba ya Aden kwa kutumia boti ndogo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania