Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria

Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa zamani wa Ujerumani afariki

Chansela wa za zamanji wa Ujerumani Magharibi Helmut Shcimdt amefariki akiwa na umri wa miaka 96.

 

10 years ago

GPL

KIONGOZI WA MASHTAKA MISRI AFARIKI BAADA YA KUJERUHIWA KWENYE SHAMBULIO

Magari yaliyokuwa katika msafara wa Hisham Barakat baada ya kushambuliwa kwa bomu. Mojawapo ya gari likiwa limeharibiwa vibaya baada ya shambulio. Dereva huyu alinusurika…

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa maandamano Nigeria mbaroni

Mwanamke aliyekuwa akiongoza maandamano kushinikiza serikali ya Nigeria kuwaokoa wasichana 200 amekatwa kwa amri ya mke wa Rais.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa juu kukamatwa:Nigeria

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ametoa amri kushikiliwa kwa afisa wa juu anayetuhumiwa kwa wizi wa zaidi ya dola bilioni mbili zilizotarajiwa kununua silaha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa seneti Nigeria afika kortini

Kiongozi wa Bunge la Seneti nchini Nigeria, Bukola Saraki, amefika kortini leo ambako anakabiliwa na mashtaka 13.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi lazingira makao ya kiongozi Nigeria

Kulingana na kundi la Islamic Movement of Nigeria, wanajeshi na vifaru vilitumika kushambulia makaazi ya Ibrahim Zakzaky katika mji wa Zaria, Kaduna.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi ataka vijana wajihami Nigeria

Kiongozi mmoja ameiomba serikali kuwaruhusu kubuni makundi ya vijana waliojihami ili kulinda vijiji vyao kutokana na makabiliano kutoka kwa kundi hatari la Boko Haram.

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yaitaka Nigeria kumwachilia kiongozi wa Kishia

Iran imeitaka Nigeria kumwachilia huru kiongozi wa Kishia Sheikh Ibrahim al Zakzaky aliyekamatwa baada ya vurugu kutokea kati ya wafuasi wa kundi lake na wanajeshi mwezi uliopita.

 

10 years ago

Mtanzania

Peter Bunor afariki dunia Nigeria

brunoBADI MCHOMOLO NA MTANDAO
NYOTA wa filamu nchini Nigeria, Peter Bunor, amefariki dunia Mei mosi mwaka huu baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi.
Kupitia mitandao ya kijamii, mtoto wa marehemu Peter Bunor Jnr, alithibitisha kifo hicho kwa kuandika: “Baba yangu, rafiki yangu, mwalimu wangu amefariki dunia leo.”
Bunor alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa huo kwa muda mrefu, hata hivyo aliwahi kusema kuwa marafiki wake wa karibu wamemtelekeza.
Msanii huyo mwaka 2010 alipongezwa na kituo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani