Kiongozi ataka vijana wajihami Nigeria
Kiongozi mmoja ameiomba serikali kuwaruhusu kubuni makundi ya vijana waliojihami ili kulinda vijiji vyao kutokana na makabiliano kutoka kwa kundi hatari la Boko Haram.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Kiongozi ataka serikali mpya Uraq
Kiongozi wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatollah Ali al-Sistani ametaka kuundwa haraka kwa serikali mpya.
5 years ago
CCM BlogJAJI KIONGOZI ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO
Na Magreth Kinabo- MahakamaJaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum. “Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Kiongozi APPT ataka mjadala mkali muundo wa Serikali
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa APPT Maendeleo, Peter Mziray, ameshauri kuwe na mjadala mkali na wenye hisia kali kuhusu muundo wa Serikali ya Jamhuri.
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Kiongozi wa vijana wa Ivory Coast, ICC
Charles Ble Goude, mshirika mkubwa wa Rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagb, amefikishwa katika mahakama ya kimataifa ya jinai ICC.
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Kiongozi wa vijana JKT atekwa, aokotwa
Utata umezingira suala la kijana George Mgoba, ambaye amekuwa akijitambulisha kuwa kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) baada ya habari kuwa alitekwa na baadaye kutupwa kwenye Msitu wa Pugu, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.
11 years ago
BBCSwahili05 May
Kiongozi wa maandamano Nigeria mbaroni
Mwanamke aliyekuwa akiongoza maandamano kushinikiza serikali ya Nigeria kuwaokoa wasichana 200 amekatwa kwa amri ya mke wa Rais.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria
Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Kiongozi wa juu kukamatwa:Nigeria
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ametoa amri kushikiliwa kwa afisa wa juu anayetuhumiwa kwa wizi wa zaidi ya dola bilioni mbili zilizotarajiwa kununua silaha.
9 years ago
BBCSwahili22 Sep
Kiongozi wa seneti Nigeria afika kortini
Kiongozi wa Bunge la Seneti nchini Nigeria, Bukola Saraki, amefika kortini leo ambako anakabiliwa na mashtaka 13.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania