Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi ataka vijana wajihami Nigeria

Kiongozi mmoja ameiomba serikali kuwaruhusu kubuni makundi ya vijana waliojihami ili kulinda vijiji vyao kutokana na makabiliano kutoka kwa kundi hatari la Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi ataka serikali mpya Uraq

Kiongozi wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatollah Ali al-Sistani ametaka kuundwa haraka kwa serikali mpya.

 

5 years ago

CCM Blog

JAJI KIONGOZI ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO


Na Magreth Kinabo- MahakamaJaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum. “Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...

 

11 years ago

Mwananchi

Kiongozi APPT ataka mjadala mkali muundo wa Serikali

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa APPT Maendeleo, Peter Mziray, ameshauri kuwe na mjadala mkali na wenye hisia kali kuhusu muundo wa Serikali ya Jamhuri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa vijana wa Ivory Coast, ICC

Charles Ble Goude, mshirika mkubwa wa Rais wa zamani wa Ivory Coast, Laurent Gbagb, amefikishwa katika mahakama ya kimataifa ya jinai ICC.

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa vijana JKT atekwa, aokotwa

Utata umezingira suala la kijana George Mgoba, ambaye amekuwa akijitambulisha kuwa kiongozi wa wahitimu wa mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) baada ya habari kuwa alitekwa na baadaye kutupwa kwenye Msitu wa Pugu, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa maandamano Nigeria mbaroni

Mwanamke aliyekuwa akiongoza maandamano kushinikiza serikali ya Nigeria kuwaokoa wasichana 200 amekatwa kwa amri ya mke wa Rais.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria

Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa juu kukamatwa:Nigeria

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ametoa amri kushikiliwa kwa afisa wa juu anayetuhumiwa kwa wizi wa zaidi ya dola bilioni mbili zilizotarajiwa kununua silaha.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa seneti Nigeria afika kortini

Kiongozi wa Bunge la Seneti nchini Nigeria, Bukola Saraki, amefika kortini leo ambako anakabiliwa na mashtaka 13.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani