Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa seneti Nigeria afika kortini

Kiongozi wa Bunge la Seneti nchini Nigeria, Bukola Saraki, amefika kortini leo ambako anakabiliwa na mashtaka 13.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa Uamsho kortini kesi ya ugaidi

 Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Sheikh Mselem Ali Mselem na mwenzake Abdallah Said Ali wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwamo la kula njama ya kuingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa juu kukamatwa:Nigeria

Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ametoa amri kushikiliwa kwa afisa wa juu anayetuhumiwa kwa wizi wa zaidi ya dola bilioni mbili zilizotarajiwa kununua silaha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa maandamano Nigeria mbaroni

Mwanamke aliyekuwa akiongoza maandamano kushinikiza serikali ya Nigeria kuwaokoa wasichana 200 amekatwa kwa amri ya mke wa Rais.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria

Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jeshi lazingira makao ya kiongozi Nigeria

Kulingana na kundi la Islamic Movement of Nigeria, wanajeshi na vifaru vilitumika kushambulia makaazi ya Ibrahim Zakzaky katika mji wa Zaria, Kaduna.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi ataka vijana wajihami Nigeria

Kiongozi mmoja ameiomba serikali kuwaruhusu kubuni makundi ya vijana waliojihami ili kulinda vijiji vyao kutokana na makabiliano kutoka kwa kundi hatari la Boko Haram.

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yaitaka Nigeria kumwachilia kiongozi wa Kishia

Iran imeitaka Nigeria kumwachilia huru kiongozi wa Kishia Sheikh Ibrahim al Zakzaky aliyekamatwa baada ya vurugu kutokea kati ya wafuasi wa kundi lake na wanajeshi mwezi uliopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Obama afika nchini Ethiopia

Rais Barack Obama wa Marekani hatimaye amefika nchini Ethiopia katika ziara yake ya pili ya nchi za Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wozniacki afika nusu fainali US Open

Mcheza Tennis,Caroline Wozniacki ameingia nusu fainali ya US Open kwa kumshinda Sara Errani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani