Kiongozi wa seneti Nigeria afika kortini
Kiongozi wa Bunge la Seneti nchini Nigeria, Bukola Saraki, amefika kortini leo ambako anakabiliwa na mashtaka 13.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Kiongozi wa Uamsho kortini kesi ya ugaidi
 Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Sheikh Mselem Ali Mselem na mwenzake Abdallah Said Ali wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwamo la kula njama ya kuingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi.
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Kiongozi wa juu kukamatwa:Nigeria
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ametoa amri kushikiliwa kwa afisa wa juu anayetuhumiwa kwa wizi wa zaidi ya dola bilioni mbili zilizotarajiwa kununua silaha.
11 years ago
BBCSwahili05 May
Kiongozi wa maandamano Nigeria mbaroni
Mwanamke aliyekuwa akiongoza maandamano kushinikiza serikali ya Nigeria kuwaokoa wasichana 200 amekatwa kwa amri ya mke wa Rais.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria
Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
Jeshi lazingira makao ya kiongozi Nigeria
Kulingana na kundi la Islamic Movement of Nigeria, wanajeshi na vifaru vilitumika kushambulia makaazi ya Ibrahim Zakzaky katika mji wa Zaria, Kaduna.
11 years ago
BBCSwahili11 Jun
Kiongozi ataka vijana wajihami Nigeria
Kiongozi mmoja ameiomba serikali kuwaruhusu kubuni makundi ya vijana waliojihami ili kulinda vijiji vyao kutokana na makabiliano kutoka kwa kundi hatari la Boko Haram.
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Iran yaitaka Nigeria kumwachilia kiongozi wa Kishia
Iran imeitaka Nigeria kumwachilia huru kiongozi wa Kishia Sheikh Ibrahim al Zakzaky aliyekamatwa baada ya vurugu kutokea kati ya wafuasi wa kundi lake na wanajeshi mwezi uliopita.
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Rais Obama afika nchini Ethiopia
Rais Barack Obama wa Marekani hatimaye amefika nchini Ethiopia katika ziara yake ya pili ya nchi za Afrika.
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Wozniacki afika nusu fainali US Open
Mcheza Tennis,Caroline Wozniacki ameingia nusu fainali ya US Open kwa kumshinda Sara Errani
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania