Kiongozi wa maandamano Nigeria mbaroni
Mwanamke aliyekuwa akiongoza maandamano kushinikiza serikali ya Nigeria kuwaokoa wasichana 200 amekatwa kwa amri ya mke wa Rais.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 May
Kiongozi wa Ukawa mbaroni
>Wakati Polisi mkoani Kigoma wakiwa wamemtia nguvuni Katibu Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi, Mosena Nyambabe kwa tuhuma ya kumdhalilisha Rais Jakaya Kikwete, Kiongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Profesa Ibrahimu Lipumba amesema hawatarudi bungeni mpaka kiongozi huyo wa nchi aombe radhi.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s72-c/AC.jpg)
WANAFUNZI 84 WA UDOM WATIWA MBARONI KWA KUHAMASISHA MAANDAMANO MJINI DODOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-nN4KJN2cyEY/VLaS4LfWQfI/AAAAAAACVqY/-3iFmheSIYg/s640/AC.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-750dCVUUmvQ/VLaS6eTNrgI/AAAAAAACVqg/SME6IEMUVxY/s640/ZC.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vlKUFPodnGV1sPBx9x1oTg8D-y7eh6mqYaKaQ96PHuXPFy3vmOW9ReCYpYIPEuhwFSMyIW5m1o6fZ1dDqQuwuxGx1c5ysgvH/JamilMukulu.jpg)
KIONGOZI WA WAASI WA ADF ATIWA MBARONI NCHINI TANZANIA
Kiongozi wa waasi wa ADF, Jamil Mukulu (menye shati jeupe). Waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF). Raia wakikimbia mapigano dhidi ya ADF. JEESHI  la polisi nchini limefanikiwa kumtia mbaroni kiongozi wa kundi la waasi wa Allied Democratic Forces  (ADF) wa nchini Uganda,  Jamil Mukulu,  ambaye…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5Yk65fSPALw/VLZr9G3wY3I/AAAAAAAG9VA/bRHjh9LRFT0/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
WANAFUNZI 84 WA PROGRAMU MAALUMU YA DIPLOMA YA UALIMU UDOM MBARONI KWA TUHUMA ZA KUHAMASIHA MAANDAMANO MKOANI DODOMA
Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – (SACP) ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa programu maalum ya...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini leo tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30hrs.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – (SACP) ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa programu maalum ya...
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Wapinga marufuku ya maandamano Nigeria
Watu wanaounga mkono maandamano ya kushinikiza serikali kuwanusuru wasichana waliotekwa nyara wamepinga marufuku ya maandamano mjini Abuja.
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Maandamano Nigeria kutetea 'mtetezi' wa Biafra
Mamia ya watu kusini mwa Nigeria wameandamana kushinikiza kuachiliwa huru kwa mwanaharakati anayetetea kujitenga kwa jimbo la Biafra.
11 years ago
BBCSwahili06 Jun
Kiongozi wa waisilamu afariki Nigeria
Kiongozi wa waisilamu katika jimbo la Kano nchini Ngeria, Emir Al-Haji Ado Bayero, amefariki baada ya kuugua kwa muda mrefu.
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Kiongozi wa juu kukamatwa:Nigeria
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari ametoa amri kushikiliwa kwa afisa wa juu anayetuhumiwa kwa wizi wa zaidi ya dola bilioni mbili zilizotarajiwa kununua silaha.
5 years ago
CCM Blog03 Jun
MAANDAMANO YA KULAANI UKATILI WA POLISI YA MAREKANI YAFANYIKA KENYA NA NIGERIA
![Maandamano ya kulaani ukatili wa polisi ya Marekani yafanyika Kenya, Nigeria](https://media.parstoday.com/image/4bva2d3a4e55b71nz34_800C450.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania