Kiongozi wa Ukawa mbaroni
>Wakati Polisi mkoani Kigoma wakiwa wamemtia nguvuni Katibu Mkuu wa chama cha NCCR-Mageuzi, Mosena Nyambabe kwa tuhuma ya kumdhalilisha Rais Jakaya Kikwete, Kiongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Profesa Ibrahimu Lipumba amesema hawatarudi bungeni mpaka kiongozi huyo wa nchi aombe radhi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili05 May
Kiongozi wa maandamano Nigeria mbaroni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vlKUFPodnGV1sPBx9x1oTg8D-y7eh6mqYaKaQ96PHuXPFy3vmOW9ReCYpYIPEuhwFSMyIW5m1o6fZ1dDqQuwuxGx1c5ysgvH/JamilMukulu.jpg)
KIONGOZI WA WAASI WA ADF ATIWA MBARONI NCHINI TANZANIA
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Aug
Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania.
NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM WAKATI mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, akizindua kampeni zake juzi jijini Dar es Salaam kwa mkutano wa hadhara, mpinzani wake mkubwa ambaye ni mgombea wa […]
The post Lowassa Aanza kivingine: Tunataka Kiongozi anaejali Shida za Wananchi: UKAWA Chaguo lako Mtanzania. appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPL![](http://www.bongocelebrity.com/wp-content/uploads/2014/02/leadtheway_21x16-5.jpg?width=600)
MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-opVqv1B_rKA/UxDQOLryiNI/AAAAAAAFQU0/SsDr1lsr3y0/s72-c/leadtheway_21x16-5.jpg)
MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-opVqv1B_rKA/UxDQOLryiNI/AAAAAAAFQU0/SsDr1lsr3y0/s1600/leadtheway_21x16-5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s72-c/_MG_6218.jpg)
UPDATES YA UKAWA USIKU HUU: MGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi,Mh.James Mbatia amesema kuwa kuchukua muda mrefu kwa kikao hicho imetokana na kuandaa utaratibu jinsi ya kumtoa mwali wao wa Urais kwa tiketi ya UKAWA aliye bora.Amesema kuwa mkutano huo pia umechukua muda mrefu kutokana na mambo mengi ikiwemo mgawanyo wa majimbo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-j9xIdemwbWo/VaU-5o4DcTI/AAAAAAAHppM/2CZaoLo2mrY/s640/_MG_6218.jpg)
Afisa Habari wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...