Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi ataka serikali mpya Uraq

Kiongozi wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatollah Ali al-Sistani ametaka kuundwa haraka kwa serikali mpya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kiongozi APPT ataka mjadala mkali muundo wa Serikali

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa APPT Maendeleo, Peter Mziray, ameshauri kuwe na mjadala mkali na wenye hisia kali kuhusu muundo wa Serikali ya Jamhuri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi ataka vijana wajihami Nigeria

Kiongozi mmoja ameiomba serikali kuwaruhusu kubuni makundi ya vijana waliojihami ili kulinda vijiji vyao kutokana na makabiliano kutoka kwa kundi hatari la Boko Haram.

 

5 years ago

CCM Blog

JAJI KIONGOZI ATAKA KESI ZA JINAI KUSIKILIZWA MFULULIZO


Na Magreth Kinabo- MahakamaJaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Eliezer Feleshi amewataka Mahakimu kusikiliza kesi za jinai kwa mfululizo ili kuweza kupunguza msongamano wa mahabusu, na kuepukana na maambukizi ya Virusi Corona.
Jaji Kiongozi alitoa agizo hilo leo mara baada ya kutembelea mahakama mbalimbali za Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kwa ajili ya ukaguzi maalum. “Anzeni kusikiliza kesi za jinia mfululizo, itasaidia tusiwe na msongamano wa mahabusu, na wale wanaostahili...

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani Uingereza wana kiongozi mpya

Chama kikuu cha upinzani Uingereza chamchagua kiongozi mpya wa mrengo wa kushoto

 

10 years ago

BBCSwahili

Chad:Boko Haram lina kiongozi mpya

Kundi la wapiganaji wa Boko haram kutoka Nigeria huenda limepunguzwa makali kulingana na rais wa Chad Idriss Deby.

 

11 years ago

Michuzi

KIONGOZI MKUU WA SERIKALI YA JIMBO LA FLANDERS LA UBELGIJI AKUTANA NA BALOZI KAMALA

Kiongozi Mkuu wa Serikali ya Jimbo la Flanders la Ubelgiji Mhe. Kris Peeters akisalimiana na Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala. Balozi Kamala amemtembelea Mhe. Kris Peeters leo ofisini kwake Brussels.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kocha mpya Stars ataka muda

KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Martinus Ignatus ‘Mart Nooij’, ameshindwa kuzungumzia kiwango alichokiona juzi dhidi ya Burundi na kudai kuwa anatakiwa kupewa muda ili afanye...

 

11 years ago

Habarileo

Balozi Lusinde ataka serikali 1

MWANASIASA mkongwe nchini Balozi mstaafu Job Lusinde (83) amesema angependelea muundo wa serikali moja ili kupambana na kero za Muungano zilizopo.

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa ataka serikali tatu

Hatimaye mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa amezungumzia kuundwa kwa Katiba Mpya ambayo itakuwa ya serikali tatu itakayoipa Zanzibar mamlaka kamili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani