Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi Lusinde ataka serikali 1

MWANASIASA mkongwe nchini Balozi mstaafu Job Lusinde (83) amesema angependelea muundo wa serikali moja ili kupambana na kero za Muungano zilizopo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Balozi Lusinde achokonoa UKAWA

MWANASIASA mkongwe nchini, Balozi Job Lusinde amewataka vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCC), kupambana na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ili kuhakikisha katiba mpya inayopendekezwa inapita kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Mkuu amjulia hali Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Wazee Dodoma, Balozi, Job Lusinde


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimjulia hali Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Wazee Dodoma, Balozi, Job Lusinde, nyumbani kwake, Uzunguni jijini Dodoma, May 19, 2020, ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Palestina ataka Israel ikemewe

BALOZI wa Palestina nchini, Nasri Abu Jaish, ameiomba Tanzania na jumuiya ya kimataifa kuikemea Israel iache kufanya mauaji ya kinyama kwa Wapalestina. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari jijini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Balozi Iddi ataka changamoto zijadiliwe

MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, amesema changamoto zilizojitokeza katika ujenzi wa barabara ya Koani hadi Jumbi Wilaya ya Kati ikiwemo uchelewaji wa fedha za kuendesha...

 

11 years ago

Habarileo

Balozi Karume ataka muungano udumishwe

BALOZI mstaafu Ali Abeid Karume ametaka watanzania kuhakikisha wanatunza na kuudumisha muungano. Alisema Tanzania ni nchi pekee Afrika inayojivunia kuwa na muungano huo unaotimiza miaka 50 sasa.

 

11 years ago

Habarileo

Balozi ataka upatanisho wa jumla katika dini

 Balozi mstaafu, Charles SangaJAMII imeshauriwa kuendeleza zaidi upatanisho wa jumla katika dini kuliko kuendeleza ubinafsi ili kuepusha migogoro.

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefu Iddi ataka jamii itumie fursa elimu ya juu

795

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr. Asha-Rose Migiro wakiliongoza Gwaride kulingia kwenye uwanja wa Mahafali ya 26 ya chuo kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika Makamu Makuu yake Bungo Kibaha, Mkoa wa Pwani.

Na Othman Khamis Ame

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia  fursa  inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) katika kujipatia Taaluma  huku wakiendelea na...

 

9 years ago

Mwananchi

Lowassa ataka serikali tatu

Hatimaye mgombea urais wa Chadema na Ukawa, Edward Lowassa amezungumzia kuundwa kwa Katiba Mpya ambayo itakuwa ya serikali tatu itakayoipa Zanzibar mamlaka kamili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani