Balozi Lusinde ataka serikali 1
MWANASIASA mkongwe nchini Balozi mstaafu Job Lusinde (83) amesema angependelea muundo wa serikali moja ili kupambana na kero za Muungano zilizopo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Oct
Balozi Lusinde achokonoa UKAWA
MWANASIASA mkongwe nchini, Balozi Job Lusinde amewataka vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCC), kupambana na kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ili kuhakikisha katiba mpya inayopendekezwa inapita kwenye...
5 years ago
MichuziWaziri Mkuu amjulia hali Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Wazee Dodoma, Balozi, Job Lusinde
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimjulia hali Mwenyekiti Mstaafu wa Baraza la Wazee Dodoma, Balozi, Job Lusinde, nyumbani kwake, Uzunguni jijini Dodoma, May 19, 2020, ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Balozi Palestina ataka Israel ikemewe
BALOZI wa Palestina nchini, Nasri Abu Jaish, ameiomba Tanzania na jumuiya ya kimataifa kuikemea Israel iache kufanya mauaji ya kinyama kwa Wapalestina. Akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari jijini...
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Balozi Iddi ataka changamoto zijadiliwe
MAKAMU wa Pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi, amesema changamoto zilizojitokeza katika ujenzi wa barabara ya Koani hadi Jumbi Wilaya ya Kati ikiwemo uchelewaji wa fedha za kuendesha...
11 years ago
Habarileo01 Apr
Balozi Karume ataka muungano udumishwe
BALOZI mstaafu Ali Abeid Karume ametaka watanzania kuhakikisha wanatunza na kuudumisha muungano. Alisema Tanzania ni nchi pekee Afrika inayojivunia kuwa na muungano huo unaotimiza miaka 50 sasa.
11 years ago
Habarileo24 Dec
Balozi ataka upatanisho wa jumla katika dini
JAMII imeshauriwa kuendeleza zaidi upatanisho wa jumla katika dini kuliko kuendeleza ubinafsi ili kuepusha migogoro.
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Balozi Sefu Iddi ataka jamii itumie fursa elimu ya juu
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na Mwenyeji wake Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania Dr. Asha-Rose Migiro wakiliongoza Gwaride kulingia kwenye uwanja wa Mahafali ya 26 ya chuo kikuu huria cha Tanzania yaliyofanyika Makamu Makuu yake Bungo Kibaha, Mkoa wa Pwani.
Na Othman Khamis Ame
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (CKHT) katika kujipatia Taaluma huku wakiendelea na...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Lowassa ataka serikali tatu