Balozi Karume ataka muungano udumishwe
BALOZI mstaafu Ali Abeid Karume ametaka watanzania kuhakikisha wanatunza na kuudumisha muungano. Alisema Tanzania ni nchi pekee Afrika inayojivunia kuwa na muungano huo unaotimiza miaka 50 sasa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboBALOZI KARUME ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO
11 years ago
Habarileo13 Apr
‘Muungano haukuwa uamuzi wa Nyerere,Karume’
BUNGE Maalumu la Katiba limeelezwa kuwa si kweli kwamba muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar uliozaa Tanzania, haukuwa na ridhaa ya wananchi kama inavyodaiwa na baadhi ya watu. Badala yake, Bunge hilo limeelezwa kwamba ukweli ni kwamba viongozi wa kitaifa wa wakati huo, Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amaan Karume, walipata ridhaa ya wananchi kwa utaratibu uliofaa kwa wakati ule, kabla ya kufikia maridhiano wao wawili.
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Rashid: Muungano ulikuwa siri ya Nyerere na Karume
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Mjumbe ataka TBC ionyeshe picha za Karume
10 years ago
MichuziALI KARUME AJITOKEZA KUGOMBANI NAFASI YA URASI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Habarileo01 Jun
Balozi Karume kutangaza nia leo
JOTO la urais wa awamu ya tano linazidi kupanda miongoni mwa makada wa CCM, baada ya baadhi yao kuanza kutangaza nia, na leo Balozi mstaafu Ali Karume anatarajiwa kufanya hivyo, akilenga kutaka kumrithi Rais Jakaya Kikwete anayemaliza muda wake Oktoba mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi02 Jun
Balozi Karume: Hatutaki Rais ‘ndiyo mzee’
5 years ago
CCM Blog
BALOZI KARUME ACHUKUA FOMU KUOMBA KUWANIA URAIS ZANZIBAR
