Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHEIN AWE MVUMILIVU MUUNGANO LAZIMA TUUSEME- MAMA FATMA KARUME

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

FATMA KARUME: Zanzibaris deserve say in referendum

>If truth be known, last week was horrendous for me for lots of reasons which I cannot express in totality but which I shall attempt to put on record so that if my grandchildren research this era, they will be assured that there were points of view other than those expressed in Hansard.

 

10 years ago

Michuzi

Dkt. Shein aongoza waombolezaji kwenye mazishi ya dada yake, Marehemu Fatma Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitia udongo katika kaburi la Dada yake Marehemu Fatma Shein aliyefarika jana na kuzikwa katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja leo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (wa nne kulia) akijumuika na Viongozi mbali mbali katika mzishi ya Dada yake Marehemu Fatma Shein aliyefarika jana na kuzikwa leo katika Makaburi ya Mwanakwerekwe Mjini...

 

11 years ago

IPPmedia

Maria Nyerere, Fatma Karume warn against tampering with Union


IPPmedia
Maria Nyerere, Fatma Karume warn against tampering with Union
IPPmedia
Maintain the Union with its original objectives said the widows of founding fathers of the United Republic of Tanzania (URT) in separate interviews in Dar es Salaam mid this week ahead of celebrations to mark 50 years of the union between former Tangayika ...
Tanzania marks 50th anniversary with midlife crisis...New Vision
Union built on strong foundationDaily News
Africa: On the Occasion of the United Republic of...

 

11 years ago

Mwananchi

Karume: Rais bora awe na miaka si chini ya 50

Balozi Mstaafu Ali Abeid Karume amesema mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lazima awe amepevuka na kwamba awe na umri kuanzia miaka 50 na siyo 40 kama inavyotakiwa na Katiba ya mwaka 1977.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rais bora si lazima awe mwenye fedha

KWA muda mrefu baadhi yetu tumekuwa tukisikia habari za mfululizo, tena kwa kishindo za wanachama wa vyama vya siasa na hasa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakiweka hadharani nia yao...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP

Makamu Mwenyekiti wa Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) Ramadhani Khamis Salmin akizungumza wakati wa ufunguzi huu wa michuano ya Kombe la Karume Cup uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar na kushirikisha timu 17 za mchezo huo kwa Zanzibar 6 zikiwa za Wanawake na 11 za Wanaume. Mlezi wa Michuano ya Kombe la Karume Cup Mama Shadya Karume akitowa shukarani zake kwa Chama cha Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) kufanikisha michuano hiyo kwa kipindi chote cha miaka 12 kwa kumuezi Mzee Abeid...

 

11 years ago

Habarileo

Balozi Karume ataka muungano udumishwe

BALOZI mstaafu Ali Abeid Karume ametaka watanzania kuhakikisha wanatunza na kuudumisha muungano. Alisema Tanzania ni nchi pekee Afrika inayojivunia kuwa na muungano huo unaotimiza miaka 50 sasa.

 

11 years ago

Habarileo

‘Muungano haukuwa uamuzi wa Nyerere,Karume’

BUNGE Maalumu la Katiba limeelezwa kuwa si kweli kwamba muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar uliozaa Tanzania, haukuwa na ridhaa ya wananchi kama inavyodaiwa na baadhi ya watu. Badala yake, Bunge hilo limeelezwa kwamba ukweli ni kwamba viongozi wa kitaifa wa wakati huo, Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amaan Karume, walipata ridhaa ya wananchi kwa utaratibu uliofaa kwa wakati ule, kabla ya kufikia maridhiano wao wawili.

 

11 years ago

GPL

MAMA AMTOA MWANAYE KAFARA AWE TAJIRI!

Stori: mwandishi wetu, songea MY God! Hali huenda ikigeuka, wakati jamii inaamini akina baba ndiyo wenye tabia ya kutokuwa na uchungu kwa watoto, imekuwa tofauti kwa mama huyu!Ni mkazi mmoja wa Kijiji cha Mwanamonga, Kata ya Lilambo, Manispaa ya Songea, Kasiana Komba (60) anadaiwa kuuawa na mumewe, Allan Menas Lwambano (76) kisa kikidaiwa mambo ya kumtoa kafara mtoto. Bwana Allan Menas Lwambano anayedaiwa kumuua mkewe. Tukio...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani