MAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP
Makamu Mwenyekiti wa Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) Ramadhani Khamis Salmin akizungumza wakati wa ufunguzi huu wa michuano ya Kombe la Karume Cup uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Zanzibar na kushirikisha timu 17 za mchezo huo kwa Zanzibar 6 zikiwa za Wanawake na 11 za Wanaume.
Mlezi wa Michuano ya Kombe la Karume Cup Mama Shadya Karume akitowa shukarani zake kwa Chama cha Mpira wa Mikono Zanzibar (BAZA) kufanikisha michuano hiyo kwa kipindi chote cha miaka 12 kwa kumuezi Mzee Abeid...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s640/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...
10 years ago
Michuzimichuano ya Airtel Rising Stars Yaendelea kurindima uwanja wa karume jijini dar
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Mama Karume aitetea Yanga
10 years ago
GPLMAMA KARUME APOKEA KADI YA YANGA TOKA CRDB
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ezyWruIUElo/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2ac2aWOHhwZvKtBy0KqDaFAtLjL3ByTl7uLUi8c0Fy6A1pr2F5uw-KVDFcTH9IajYfArYHjXFGEIj7DqaFp8t5o/karume.png)
KARUME DAY
10 years ago
Habarileo26 Apr
Wosia wa Shekhe Karume
MTAZAMO na hisia za Muasisi wa Muungano na Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Shekhe Abeid Aman Karume katika Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, umewekwa hadharani na mmoja wa wanawe, ambaye kabla ya kifo cha baba yake, alikuwa Naibu Waziri wa Biashara.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
TFF Karume kuvunjwa
OFISI za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), zinatarajiwa kuhama kwa muda Karume, Ilala jijini Dar es Salaam mapema mwezi ujao kupisha uendelezaji wa eneo hilo, ikiwa ni moja ya ilani...
10 years ago
IPPmedia08 Apr
Nation commemorates Sheikh Karume
IPPmedia
IPPmedia
Zanzibar President Dr Ali Mohamed Shein lays a wreath on the grave of the First Zanzibar Sheikh Abeid Amani Karume at Kisiwandui in Unguja yesterday on the occasion of Karume Day. President for Zanzibar Dr Ali Mohammed Shein yesterday led the ...
Isles vows to emulate KarumeDaily News
Tanzanians commemorate first Zanzibar President on Karume Dayspyghana.com
all 4