KARUME DAY

APRILI 7 ya kila mwaka, huwa ni siku maalumu ya watanzania kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa kwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu si mwingine, ni Sheikh Abeid Amani Karume. Ni miaka 43 sasa, tokea kiongozi huyo alipouawa April 7, 1972 wananchi wengi wa Unguja na Pemba, bado wanasema yakini kuwa, ataendelea kukumbukwa kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.

By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...
11 years ago
TheCitizen16 Apr
Karume Day and Rwanda Genocide Day
11 years ago
Daily News08 Apr
Unity, peace, love touted on Karume Day
Daily News
Daily News
TANZANIANS on Monday observed a special day of remembrance for Sheikh Abeid Amani Karume (1905-1972), the man who led the struggle to liberate Zanzibar from centuries of Omani-Arab Sultanate dominion that ended with the Revolution in 1964.
10 years ago
Dewji Blog09 Apr
Tigo yaadhimisha Karume Day mjini Zanzibar
Pichani juu na chini ni sehemu ya umati, uliokusanyika katika viwanja vya kufurahisha watoto, Kariakoo, Zanzibar katika kuadhimisha siku ya Karume, iliyoandaliwa na Tigo.
Watoto wakishindana kudansi nyimbo za kisasa katika viwanja vya kufurahisha watoto, Kariakoo, Zanzibar katika kuadhimisha siku ya Karume, iliyoandaliwa na Tigo.
Mfalme wa vichekesho Tanzania, kwa jina maarufu King Majuto, akitambulishwa mbele ya umati uliohudhuria tamasha la Tigo, la kuadhimisha siku ya Karume...
11 years ago
Michuzimaadhimisho ya Karume day yafana mjini Mererani
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
King Majuto ‘kuvunja mbavu’ Zanzibar siku ya KARUME DAY, Aprili 7
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Msanii mkali wa maigizo na vichekesho, Nchini, Amri Athuman a.k.a King Majuto anatarajiwa kufanya shoo maalum ya vichekesho katika viwanja vya kufurahia watoto Kariakoo, Aprili 7, mwaka huu Mjini Unguja, Zanzibar.
Kwa mujibu wa wandaaji wa shoo hiyo kampuni ya Bond Entertainment Limited, kwa kushirikiana na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar (ZSSF), walieleza kuwa gwiji huyo wa vichekesho King Majuto ambaye pia ni mkongwe anayetamba ndani na nje ya...
10 years ago
Vijimambo02 Apr
KING MAJUTO KUVUNJA MBAVU VIWANJA VYA KARIAKOO ZNZ siku ya KARUME DAY, Aprili 7

10 years ago
VijimamboMAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP
5 years ago
Business Insider22 Feb
Coronavirus symptoms: How the COVID-19 disease progresses day by day - Business Insider