maadhimisho ya Karume day yafana mjini Mererani
Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Manyara, Christopher Ole Sendeka, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, akishikilia bendera ya Taifa, wakati akipokea mbio za pikipiki kwenye maadhimisho ya Karume Day yaliyofanyika jana Mji mdogo wa Mirerani.
Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Manyara, Christopher Ole Sendeka, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, akivishwa skafu kwenye maadhimisho ya Karume Day yaliyofanyika juzi Mji mdogo wa Mirerani.
Kamanda wa Umoja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BjKJx83IHTI/VCXVPCvmlHI/AAAAAAAGmCg/9qGWXKMgn0M/s72-c/image.jpeg)
MAADHIMISHO YA MAGEREZA DAY NCHINI ZAMBIA YAFANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-BjKJx83IHTI/VCXVPCvmlHI/AAAAAAAGmCg/9qGWXKMgn0M/s1600/image.jpeg)
10 years ago
Dewji Blog09 Apr
Tigo yaadhimisha Karume Day mjini Zanzibar
Pichani juu na chini ni sehemu ya umati, uliokusanyika katika viwanja vya kufurahisha watoto, Kariakoo, Zanzibar katika kuadhimisha siku ya Karume, iliyoandaliwa na Tigo.
Watoto wakishindana kudansi nyimbo za kisasa katika viwanja vya kufurahisha watoto, Kariakoo, Zanzibar katika kuadhimisha siku ya Karume, iliyoandaliwa na Tigo.
Mfalme wa vichekesho Tanzania, kwa jina maarufu King Majuto, akitambulishwa mbele ya umati uliohudhuria tamasha la Tigo, la kuadhimisha siku ya Karume...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s640/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-ORzBdWq1zQw/VCfZ45E78xI/AAAAAAADGQc/TC5qi1ouTnk/s72-c/image.jpeg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA NCHINI TANZANIA ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MAGEREZA DAY NCHINI ZAMBIA YAFANA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ORzBdWq1zQw/VCfZ45E78xI/AAAAAAADGQc/TC5qi1ouTnk/s1600/image.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bXWhQ67gE4k/VCfZ47LzkXI/AAAAAAADGQY/b7SkLdnAg-g/s1600/image_1.jpeg)
11 years ago
TheCitizen16 Apr
Karume Day and Rwanda Genocide Day
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2ac2aWOHhwZvKtBy0KqDaFAtLjL3ByTl7uLUi8c0Fy6A1pr2F5uw-KVDFcTH9IajYfArYHjXFGEIj7DqaFp8t5o/karume.png)
KARUME DAY
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Duniani yafana
Wanafunzi wa Stashada wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika wakiwa wameshikilia bendera za nchi wanachama wanaoshikiana na nchi ya Tanzania kuendesha chuo hicho wakati wa maadhimisho ya Siku ya Takwimu Duniani yaliyofanyika jana katika Chuo hicho kilichopo jijini Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni “Takwimu Bora, Maisha Bora”.
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa (hayupo pichani) wakati akihutubia kwenye...
11 years ago
Dewji Blog13 Apr
Maadhimisho ya wiki ya elimu mkoa wa Njombe yafana
Baadhi ya wanafunzi wa shule zilizopo mkoa wa Njombe wakifurahia maadhimisho ya wiki ya elimu yaliyofanyika kimkoa katika wilaya ya Makete Aprili 11, 2014.
Mkuu wa wilaya ya Makete Mhe. Josephine Matiro akizungumza katika maadhimisho hayo yaliyofanyika kimkoa katika wilaya yake.
Mkuu wa mkoa wa Njombe kapteni mstaafu Aseri Msangi (Katikati) akipata maelezo kutoka kwa mwalimu aliyetunga vitabu kama njia mojawapo ya kuinua elimu mkoani humo, wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya makete...
10 years ago
Dewji Blog23 Mar
Sherehe za maadhimisho ya siku ya utundikaji mizinga kimkoa yafana
Mkuu wa mkoa wa Singida Dk.Parseko Kone, akishiriki kutundika mizinga ya nyuki katika siku ya maadhimisho ya utundikaji mizinga kitaifa ambapo kimkoa yamefanyika katika kijiji cha Pohama jimbo la Singida kaskazini.
Vijana wawili wakazi wa kijiji cha Pohama jimbo la Singida kaskazini, wakiteremka baada ya kumaliza kutundika mizinga ya nyuki katika siku ya maadhimisho ya utundukaji wa mizinga kitaifa ambapo kimkoa yalifanyika katika kijiji cha Pohama.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko...