Sherehe za maadhimisho ya siku ya utundikaji mizinga kimkoa yafana
Mkuu wa mkoa wa Singida Dk.Parseko Kone, akishiriki kutundika mizinga ya nyuki katika siku ya maadhimisho ya utundikaji mizinga kitaifa ambapo kimkoa yamefanyika katika kijiji cha Pohama jimbo la Singida kaskazini.
Vijana wawili wakazi wa kijiji cha Pohama jimbo la Singida kaskazini, wakiteremka baada ya kumaliza kutundika mizinga ya nyuki katika siku ya maadhimisho ya utundukaji wa mizinga kitaifa ambapo kimkoa yalifanyika katika kijiji cha Pohama.
Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-J91e41eVqQQ/U1-h6nXKnGI/AAAAAAAFd9M/Jf63GDvnriY/s72-c/IMG-20140428-WA0049.jpg)
Maadhimisho sherehe za Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania yafana jijini Kuala Lumpur,Malaysia
![](http://4.bp.blogspot.com/-J91e41eVqQQ/U1-h6nXKnGI/AAAAAAAFd9M/Jf63GDvnriY/s1600/IMG-20140428-WA0049.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9MTGCV4vb4g/U1-h-977pyI/AAAAAAAFd9o/TLGIw9utiVs/s1600/IMG-20140428-WA0078.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PlF0haoSp9E/U1-h_mcwJ8I/AAAAAAAFd94/H4nO9niD_sM/s1600/IMG-20140428-WA0093.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Oct
Maadhimisho ya Siku ya Takwimu Duniani yafana
Wanafunzi wa Stashada wa Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika wakiwa wameshikilia bendera za nchi wanachama wanaoshikiana na nchi ya Tanzania kuendesha chuo hicho wakati wa maadhimisho ya Siku ya Takwimu Duniani yaliyofanyika jana katika Chuo hicho kilichopo jijini Dar es Salaam. Kauli mbiu ya maadhimisho hayo ni “Takwimu Bora, Maisha Bora”.
Baadhi ya washiriki wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa (hayupo pichani) wakati akihutubia kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZoC0GtRwOvs/VDae6ha8ilI/AAAAAAAAMSQ/vfq7v-lTxyA/s72-c/Prof%2BJohn%2BNkoma%2BWPD%2B2014.jpg)
MAADHIMISHO SIKU YA POSTA DUNIANI YAFANA JIJINI DAR LEO
WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya St Mary's ya Mazinde Juu iliyopo mkoani Tanga wameibuka vinara wa shindano la uandishi wa barua lililoshirikisha wanafunzi wa shule mbalimbali nchini katika kuadhimisha siku ya posta duniani.
Shindano hilo la uandishi wa barua limeratibiwa na Shirika la Posta Tanzania kwa kushirikiana na umoja wa posta duniani.
Akizungumza Dar es saalam leo katika hafla ya uzinduzi wa maadhimisho ya siku ya posta duniani, Mkurugenzi Mkuu wa...
11 years ago
GPLMAADHIMISHO YA SIKU YA MAGEREZA NCHINI YAFANA CHUO CHA UKONGA DAR!
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-cXJpHqZrdhM/U9tL_aizkNI/AAAAAAACmjQ/g6-DVqoKOn0/s72-c/DSC_2504.jpg)
Maadhimisho ya siku ya Mwanamke wa Afrika yaliyo ratibiwa na -WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-cXJpHqZrdhM/U9tL_aizkNI/AAAAAAACmjQ/g6-DVqoKOn0/s1600/DSC_2504.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-PgbzcRJrPi0/U9tMBG7ngkI/AAAAAAACmjg/dEBoi_vhGfI/s1600/DSC_2516.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oQ3NJoIBhpo/U9tL_XiZjxI/AAAAAAACmjU/ZJIjQ0H2btg/s1600/FILE121.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yzK0e9vql0A/U9tObE4ERZI/AAAAAAACmoQ/eXs2pbOlqrw/s1600/FILE355.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RPa7cccGwpo/U9tOqGIvgCI/AAAAAAACmoo/7q4m6HaB15c/s1600/FILE369.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xi-xEc7InAA/U9tOWAyVaOI/AAAAAAACmoI/zqqJIR2WHl4/s1600/FILE361.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s72-c/DSC_0408.jpg)
Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya mtoto wa kike yaliyo ratibiwa na WiLDAF yafana jijini Dar es salaam
Octoba 11 ya kila mwaka ni siku iliyopitishwa na Baraza kuu la Umoja wa Mataifa kuwa Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike duniani kote. Maadhimisho haya yalifanyika katika Hoteli ya Double Tree, Dar es Salaam.
![](http://1.bp.blogspot.com/-a_mNVHMYd60/VDq-E4q5GwI/AAAAAAAAEJ0/mXMtMWKzUpc/s1600/DSC_0408.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CB9c1GUQw-o/VDq95LqUyvI/AAAAAAAAEJk/qxbBtvnfIiA/s1600/DSC_0402.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R3Rz1LUcs3g/VDq92TKnICI/AAAAAAAAEJc/jYBkEu6vvpk/s1600/DSC_0394.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa na Mgongo wazi Duniani 2015, yafana MOI
Meneja Ustawi wa Jamii na Mahusiano wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa ,Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu (MOI) Jumaa Almasi akizungumza kwa niaba ya Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi hiyo Dk, Othman Kiloloma wakati wa Maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa na Mgongo wazi Duniani 2015, aliomba kuitumia siku hiyo kwa kusheherekea siku hiyo adhim amabayo nisiku maalum kwa sababu vijana wetu ambao tunawaongelea leo hi kwetu sisi ni wagonjwa kwa maana yakwamba Tiba yao yote kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9tFk2XOqW0s/VOiS2vUWFmI/AAAAAAADZ_I/lWD86TtpXo0/s72-c/1..jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI SHEREHE ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUZALIWA MWANZILISHI WA USKAUTI DUNIANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-9tFk2XOqW0s/VOiS2vUWFmI/AAAAAAADZ_I/lWD86TtpXo0/s1600/1..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wIcs3F6RED8/VOiS2mOUexI/AAAAAAADZ_M/EyuVdBHWo0o/s1600/001.jpg)
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Dkt. Bilal ashiriki sherehe za maadhimisho ya siku ya kuzaliwa mwanzilishi wa uskauti duniani, jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akivishwa Skafu na Kamishna Mkuu wa Skauti Tanzania, Abdulkarim Shah (kulia) na Kiongozi wa Skauti, wakati alipowasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam, jana Feb 21, 2015 kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya Siku ya kuzaliwa Mwanzilishi wa Uskauti Duniani, Lord Rebert Stevenson Smyth Baden-Powell. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10