Mama Karume aitetea Yanga
Mdhamini wa klabu ya Yanga, Mama Fatuma Karume amesema Yanga hawajakurupuka kukacha michuano ya Mapinduzi ila wana sababu zao za msingi na ndiyo maana wamefanya hivyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAMA KARUME APOKEA KADI YA YANGA TOKA CRDB
Bi Fatuma akisaini makubaliano na Mkurugenzi mtendaji wa CRDB, Charles Kimei. Bi Fatuma Karume akisimulia historia ya Yanga kwa wanahabari.…
9 years ago
VijimamboMAMA KARUME AZINDUA MICHUANO YA KARUME CUP
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ezyWruIUElo/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s72-c/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
KARUME DAY KUMBUKIZI YA MIAKA 48 YA KIFO CHA SHEIKH ABEID AMANI KARUME.
![](https://1.bp.blogspot.com/-C0p1uBUQa2Q/XowRoqRH2SI/AAAAAAALmUw/d5suSC8vw88z5NglDNMOG74AhDcUCAQuACLcBGAsYHQ/s640/9edacecc-d70c-45eb-98aa-f6e2513480ef.jpg)
By MZEE WA ATIKALI ✍️✍️✍️
1. USULI:
Jumanne ya leo, tarehe 7.4.2020, imetimia miaka 48 toka aliyekuwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, ndugu SHEIKH ABEID AMANI KARUME, alipouawa kwa kumiminiwa risasi nane na Luteni HOMOUD MOHAMMED BARWAN katika Afisi Kuu ya Afro Shiraz Party, Kisiwandui, Zanzibar.
Kwa mujibu wa "The Public Holidays Act, Cap. 35 (RE 2002)", sikukuu za kitaifa nchini ziko 17 na mojawapo ya sikukuu hizo ni "KARUME DAY". Hivyo, leo ni siku ya mapumziko.
Je, Mwanamapinduzi huyu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5hJUXswI3eY/VWgmmftsQYI/AAAAAAAHaiY/hBylevtxXdE/s72-c/DSC04355.jpg)
MH.ROSEMARY KIRIGINI AITETEA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-5hJUXswI3eY/VWgmmftsQYI/AAAAAAAHaiY/hBylevtxXdE/s640/DSC04355.jpg)
Alisema kwamba mkandarasi yuko site na tayari ameanza kazi za ujenzi sehemu ya Mwigumbi - Maswa na Ujenzi unaendelea kwa Bariadi – Lamadi (km 71.8) . Aidha Barabara ya...
10 years ago
Mwananchi25 Oct
Dk Migiro aitetea Serikali uhaba wa ajira kwa vijana
>Wakati Serikali ikitupiwa lawama kwa kushindwa kumaliza tatizo la ajira kwa vijana nchini, Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro amekiri kuwa Serikali haina uwezo wa kutoa ajira kwa vijana wote wanaohitimu masomo nchini.
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Waziri Benard Membe aitetea Misri maji ya Mto Nile
>Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe ameendelea kuweka msimamo kuwa Tanzania itaendelea kuitetea Misri kuhusu matumizi ya maji ya Mto Nile.
5 years ago
MichuziYANGA YATOA MSAADA WODI YA WAKINA MAMA KITUO CHA AFYA NGAMIANI JIJINI TANGA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2ac2aWOHhwZvKtBy0KqDaFAtLjL3ByTl7uLUi8c0Fy6A1pr2F5uw-KVDFcTH9IajYfArYHjXFGEIj7DqaFp8t5o/karume.png)
KARUME DAY
APRILI 7 ya kila mwaka, huwa ni siku maalumu ya watanzania kuadhimisha kumbukumbu ya kuuawa kwa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la Mapinduzi na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Huyu si mwingine, ni Sheikh Abeid Amani Karume. Ni miaka 43 sasa, tokea kiongozi huyo alipouawa April 7, 1972 wananchi wengi wa Unguja na Pemba, bado wanasema yakini kuwa, ataendelea kukumbukwa kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania