MH.ROSEMARY KIRIGINI AITETEA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-5hJUXswI3eY/VWgmmftsQYI/AAAAAAAHaiY/hBylevtxXdE/s72-c/DSC04355.jpg)
Mh. Rose Kirigini mbunge wa viti maalumu wa CCM na mkuu wa wilaya ya Maswa wakati akichangia hotuba ya bajeti ya wizara ya ujenzi amemuumbua Mh.Mkosamali aliyesema kuwa ilani ya CCM haijatekeleza ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami inayotoka Mwigumbi - Maswa - Bariadi - Lamadi, Kolandoto - Lalago na Meatu Mjini.
Alisema kwamba mkandarasi yuko site na tayari ameanza kazi za ujenzi sehemu ya Mwigumbi - Maswa na Ujenzi unaendelea kwa Bariadi – Lamadi (km 71.8) . Aidha Barabara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Dec
‘Bunge kukwamisha bajeti Wizara ya Ujenzi’
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oknu7fJWIIg/U2jsWuyuQ8I/AAAAAAAFf6o/MlO1qCGkEgQ/s72-c/unnamed+(15).jpg)
KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
11 years ago
MichuziBUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI 2014/2015
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi yenye jumla ya Shilingi 1,219,717,592,000.00 kwa ajili ya matumizi ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2014/15.
Hatua hiyo ya Bunge kupitisha Bajeti hiyo itawezesha Wizara ya Ujenzi kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuendeleza Sekta ya Ujenzi hapa nchini.
Akiwasilisha hotuba ya bajeti hiyo jana, Waziri wa...
10 years ago
Mwananchi02 Jun
UCHAMBUZI WA BAJETI: Bajeti ya Ujenzi imekidhi vigezo
11 years ago
Michuzi08 May
11 years ago
Habarileo08 May
Kamati yapitisha bajeti ya Ujenzi
KAMATI ya Bunge ya Miundombinu, imepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa mwaka ujao wa fedha 2014/2015, ya Sh trilioni 1.2, fedha zilizoelekezwa katika matumizi ya kawaida na ya maendeleo katika wizara hiyo.
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Waiponda Bajeti Wizara ya Afya
11 years ago
Mwananchi13 May
Bajeti za wizara zinaandaliwa kisanii
11 years ago
Habarileo12 May
Bajeti ya Wizara ya Kilimo yapita
PAMOJA na wabunge kuchachamalia makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa kuondoa shilingi mara kadhaa, bajeti hiyo ilipita pamoja na maboresho.