‘Bunge kukwamisha bajeti Wizara ya Ujenzi’
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imesema kuwa haitapitisha bajeti ya Wizara ya Ujenzi kwa kile kilichoelezwa kubaini uozo wa ujenzi usiokidhi kiwango katika miradi ya miundombinu ya barabara wilayani Kyela mkoani Mbeya, ikieleza kwamba italazimika kutembea nchi nzima ili kujiridhisha na miradi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oknu7fJWIIg/U2jsWuyuQ8I/AAAAAAAFf6o/MlO1qCGkEgQ/s72-c/unnamed+(15).jpg)
KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
11 years ago
MichuziBUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI 2014/2015
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi yenye jumla ya Shilingi 1,219,717,592,000.00 kwa ajili ya matumizi ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2014/15.
Hatua hiyo ya Bunge kupitisha Bajeti hiyo itawezesha Wizara ya Ujenzi kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuendeleza Sekta ya Ujenzi hapa nchini.
Akiwasilisha hotuba ya bajeti hiyo jana, Waziri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5hJUXswI3eY/VWgmmftsQYI/AAAAAAAHaiY/hBylevtxXdE/s72-c/DSC04355.jpg)
MH.ROSEMARY KIRIGINI AITETEA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-5hJUXswI3eY/VWgmmftsQYI/AAAAAAAHaiY/hBylevtxXdE/s640/DSC04355.jpg)
Alisema kwamba mkandarasi yuko site na tayari ameanza kazi za ujenzi sehemu ya Mwigumbi - Maswa na Ujenzi unaendelea kwa Bariadi – Lamadi (km 71.8) . Aidha Barabara ya...
11 years ago
Michuzi08 May
10 years ago
Habarileo05 Feb
RC atishia kukwamisha bajeti
MKUU wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo ametishia kutopitisha bajeti ya halmashauri ya wilaya ya Magu, iwapo kijiji cha Kahangara hakitakuwemo kwenye bajeti ya kuvutiwa maji ya bomba.
10 years ago
VijimamboBunge lapitisha Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MKkXyHJcaCY/U3vkN446G9I/AAAAAAAFkEI/IjQ3vmPLbJA/s72-c/unnamed+(42).jpg)
Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa na Bunge
![](http://2.bp.blogspot.com/-MKkXyHJcaCY/U3vkN446G9I/AAAAAAAFkEI/IjQ3vmPLbJA/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZRQDKEQxrBA/U3vkOfZLaBI/AAAAAAAFkEM/dHTsk8dfVJE/s1600/unnamed+(43).jpg)
11 years ago
MichuziWABUNGE WA BUNGE LA EA TOKA TANZANIA WAFUATILIA BAJETI YA WIZARA YAO BUNGENI DODOMA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rdsu6E_n52Y/U4lmt0hJ-PI/AAAAAAAFmq4/czTj6J_B1eA/s72-c/unnamed+(77).jpg)
Bunge lapitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-rdsu6E_n52Y/U4lmt0hJ-PI/AAAAAAAFmq4/czTj6J_B1eA/s1600/unnamed+(77).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-a5Rx_9QpQm0/U4lmt5L9hWI/AAAAAAAFmqQ/CjazFvee8-8/s1600/unnamed+(78).jpg)