Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa na Bunge

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bw.Uledi A.Mussa kushoto akimpongeza Waziri wa Biashara na Viwanda Mhe.Abdallah Kigoda Mara baada ya Bajeti ya  Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka 2014/2015 kupitishwa na Bunge  Balozi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa UN Mhe. Modest J.Muro wapili kushoto akimpongeza Waziri wa Biashara na Viwanda  Mhe.Abdallah Kigoda Mara baada ya Bajeti ya  Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka 2014/2015 kupitishwa na Bunge leo,wa kwanza...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KWA MWAKA 2014/2015 YAPITISHWA NA BUNGE

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard Membe akijibu Hoja za Wabunge wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 jana
Kiongozi swa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe akichangia hoja wakati  wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 jana… ...

 

11 years ago

Michuzi

Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa na Bunge leo.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard Membe akijibu Hoja za Wabunge wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya     Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 leo Kiongozi swa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe akichangia hoja wakati  wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 leo . Msemaji wa Kambi ya upinzani kwa Wizara ya Mambo ya Nnje na Ushirikiano wa...

 

11 years ago

Michuzi

Kinamama wang'ara Sekta ya Uchukuz bungenii. Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa

 Waziri wa Uchukuzi Mhe.Dkt Harrison Mwakyembe akijibu hoja za Wabunge kuhusu Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka 2014/2015 leo.  Waziri wa Uchukuzi Mhe.Dkt Harrison Mwakyembe na Mhe Anna Abdallah wakiwa   na Marubani  wanawake waliotembelea Bunge  kufuatilia  Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka 2014/2015 leo.
 Waziri wa Uchukuzi Mhe.Dkt Harrison Mwakyembe na Mhe Anna Abdallah wakiwa na madereva wa Treni wanawake waliotembelea Bunge  kufuatilia  Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa...

 

11 years ago

Michuzi

Bunge lapitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015

 Waziri Mkuu Mhe.Mizengo Pinda kushoto akiwa amempa mkono Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe Stephen Masele wakati akimpongeza mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015.  Waziri Mkuu Mhe.Mizengo Pinda katikati akiwa akiwa ameshikana mikono  na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Bw.Eliakim Maswi na  Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe Stephen Masele wakati akiwapongeza mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na...

 

11 years ago

Michuzi

Kambi ya Upinnzani yasusia Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015

 Wapinzani wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge wakiongozwa na kiongozi wa Upinzani  Bungeni Mhe.Freeman Mbowe wakati Bunge likijadili Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015.

 

11 years ago

Michuzi

BUNGE LAPITISHA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI 2014/2015

Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John P. Magufuli (Mb) akiwakisilisha bajeti ya Wizara ya Ujenzi Bungeni.


Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limepitisha Bajeti ya Wizara ya Ujenzi yenye jumla ya Shilingi 1,219,717,592,000.00 kwa ajili ya matumizi ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2014/15.


Hatua hiyo ya Bunge kupitisha Bajeti hiyo itawezesha Wizara  ya Ujenzi kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuendeleza Sekta ya Ujenzi hapa nchini.


Akiwasilisha hotuba ya bajeti hiyo jana, Waziri wa...

 

9 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA YA BIDHAA ZA CHINA 2015, DAR ES SALAAM LEO

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Uledi Mussa (wa tano kulia), akifurahi baada ya kukata utepe kuashiria ufunguzi wa Maonyesho ya Biashara ya Bidhaa za China 2015, uliofanyika Ukumbi wa Karimjee Dar es Salaam leo asubuhi. Wengine na maofisa biashara wa China na wadau wa masuala ya biashara. Hapa Katibu Uledi Mussa akitia saini wakati wa ufunguzi wa maonyesha hayo. Hapa akioneshwa bidhaa mbalimbali.

KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani