Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kambi ya Upinnzani yasusia Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015

 Wapinzani wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge wakiongozwa na kiongozi wa Upinzani  Bungeni Mhe.Freeman Mbowe wakati Bunge likijadili Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Bunge lapitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015

 Waziri Mkuu Mhe.Mizengo Pinda kushoto akiwa amempa mkono Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe Stephen Masele wakati akimpongeza mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kwa Mwaka 2014/2015.  Waziri Mkuu Mhe.Mizengo Pinda katikati akiwa akiwa ameshikana mikono  na Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Bw.Eliakim Maswi na  Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe Stephen Masele wakati akiwapongeza mara baada ya Bunge kupitisha Bajeti ya Wizara ya Nishati na...

 

10 years ago

GPL

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YATANGAZA UFADHILI WA MASOMO NCHINI CHINA KWA MWAKA 2015

Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud akizungumza na wanahabari.   Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu ufadhili wa masomo nchini China kwa mwaka 2015. Kulia ni Ofisa Habari wa Maelezo, Fatma Salum.…

 

11 years ago

Michuzi

Bajeti ya Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa na Bunge

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Bw.Uledi A.Mussa kushoto akimpongeza Waziri wa Biashara na Viwanda Mhe.Abdallah Kigoda Mara baada ya Bajeti ya  Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka 2014/2015 kupitishwa na Bunge  Balozi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa UN Mhe. Modest J.Muro wapili kushoto akimpongeza Waziri wa Biashara na Viwanda  Mhe.Abdallah Kigoda Mara baada ya Bajeti ya  Wizara ya Viwanda na Biashara kwa Mwaka 2014/2015 kupitishwa na Bunge leo,wa kwanza...

 

11 years ago

GPL

BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA KWA MWAKA 2014/2015 YAPITISHWA NA BUNGE

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard Membe akijibu Hoja za Wabunge wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 jana
Kiongozi swa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe akichangia hoja wakati  wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 jana… ...

 

11 years ago

Michuzi

Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa na Bunge leo.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard Membe akijibu Hoja za Wabunge wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya     Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 leo Kiongozi swa Upinzani Bungeni Mhe.Freeman Mbowe akichangia hoja wakati  wakati Bunge likiwa limekaa kama kamati ya Bunge Zima kupitia Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nnje kwa Mwaka 2014/2015 leo . Msemaji wa Kambi ya upinzani kwa Wizara ya Mambo ya Nnje na Ushirikiano wa...

 

11 years ago

Michuzi

Kinamama wang'ara Sekta ya Uchukuz bungenii. Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka 2014/2015 yapitishwa

 Waziri wa Uchukuzi Mhe.Dkt Harrison Mwakyembe akijibu hoja za Wabunge kuhusu Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka 2014/2015 leo.  Waziri wa Uchukuzi Mhe.Dkt Harrison Mwakyembe na Mhe Anna Abdallah wakiwa   na Marubani  wanawake waliotembelea Bunge  kufuatilia  Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa Mwaka 2014/2015 leo.
 Waziri wa Uchukuzi Mhe.Dkt Harrison Mwakyembe na Mhe Anna Abdallah wakiwa na madereva wa Treni wanawake waliotembelea Bunge  kufuatilia  Bajeti ya Wizara ya Uchukuzi kwa...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU KWAAJILI YA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SERA YA NISHATI NA MADINI

 Msimamizi wa masuala ya ushiriki wa watanzania wa wizara ya nishati na madini Neema Apson akizungumzia jinsi wizara ya nishati na madini inavyoshiriki katika kuhakikisha taarifa zinawafikia wananchi kwa usahihi kuhusiana na mafuta na gesi katika ukumbi wa mikutano wa British Cancil jijinin Dar es Salaam leo. pia wizara hiyo itaunda kitengo maalumu kwaajili ya kusimamia masuala ya gesi na mafuta na kuwajulisha wananchi kushiriki vyema katika nishati zitolewazo hapa nchini.
 Mkuu wa Biashara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani