Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA AMTOA MWANAYE KAFARA AWE TAJIRI!

Stori: mwandishi wetu, songea MY God! Hali huenda ikigeuka, wakati jamii inaamini akina baba ndiyo wenye tabia ya kutokuwa na uchungu kwa watoto, imekuwa tofauti kwa mama huyu!Ni mkazi mmoja wa Kijiji cha Mwanamonga, Kata ya Lilambo, Manispaa ya Songea, Kasiana Komba (60) anadaiwa kuuawa na mumewe, Allan Menas Lwambano (76) kisa kikidaiwa mambo ya kumtoa kafara mtoto. Bwana Allan Menas Lwambano anayedaiwa kumuua mkewe. Tukio...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Forbes 2015: Dewji amtoa Rostam Aziz kwenye nafasi ya kwanza kama mtu tajiri zaidi Tanzania!

Mohammed Dewji ndiye mtu tajiri zaidi nchini Tanzania, kwa mujibu wa orodha ya mwaka 2015 ya mtandao wa Forbes wa mabilionea 32 barani Afrika. Awali ni Rostam Aziz ndiye aliyekuwa akishikilia nafasi hiyo. Kwa mujibu wa Forbes, Dewji mwenye umri wa miaka 39 ana utajiri wa dola bilioni 1.3. Utajiri huo unamfanya mfanyabiashara huyo ambaye […]

 

10 years ago

Raia Mwema

Baba wa Magufuli alitaka mwanaye awe Padri

UMEWAHI kujiona ‘muasi’ wa ndoto za wazazi wako juu yako, wakitaka uwe hivi na wewe ukita uwe vil

Paul Sarwatt

 

10 years ago

GPL

MAMA: NISAIDIENI MWANANGU AWE KAMA WATOTO WENGINE

Na Makongoro Oging’ “Nisaidieni mwanangu awe kama watoto wengine,” ni maneno ya mama mzazi wa mtoto Azimina Abdallah (miezi 11),  mkazi wa Zanzibar, Unguja anayeishi kwa mateso na maumivu makali kutokana na jicho kuvimba tangu azaliwe. Kwa sasa mama mzazi wa mtoto huyo aitwaye Amina Mbaruku anahangaika naye huku baba yake akidaiwa kutoonekani kwa muda mrefu, hivyo kuchukua uamuzi wa kuiomba jamii imsaidie....

 

10 years ago

GPL

MAMA ALAZIMISHA MWANAYE ATOKE NA HAMILTON

Mama mzazi wa modo na mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With the Kardashians, Kendall Jenner, Kris Jenner. Monaco, Ufaransa
MAMA mzazi wa modo na mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With the Kardashians, Kendall Jenner, Kris Jenner, amempigia debe mwanaye kwa muendesha magari ya langalanga ‘The Formula 1’, Lewis Hamilton. Modo na mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With the Kardashians, Kendall Jenner akiwa na...

 

10 years ago

GPL

MAMA LULU ATAMANI MWANAYE AFE TU!

Imelda Mtema
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana! Lulu akiwa hoi nyumbani. YOTE HAYA KISA MITANDAO
Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya...

 

11 years ago

GPL

MAMA MZAZI AMLIPUA MOTO MWANAYE

Stori: Makongoro Oging’
Dunia haina huruma! Mtoto Samwel Paulo (13), anayesoma darasa la nne Shule ya Msingi Amani wilayani Ilala, Dar, amelazwa wodi ya watoto katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, akiendelea kuuguza majeraha yaliyotokana na kile kinachodaiwa ni kulipuliwa kwa moto na mama yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Doricus Iganga. Mtoto Samwel Paulo akiwa hospital baada ya kufanyiwa kitendo cha kinyama na mama...

 

11 years ago

GPL

MAMA SHARO AZIDI KULILIA HAKI ZA MWANAYE

Stori: Mayasa Mariwata
MAMA wa aliyekuwa msanii wa muziki na filamu, Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’, Zainabu Mkiety, bado yuko kwenye maumivu ya kudhulumiwa haki za mwanaye jambo linaloongeza simanzi moyoni mwake. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, mama huyo alidai kushangaa kuona wahusika waliokuwa wakifanya kazi na Sharo Milionea wanakaa kimya juu ya malipo ya kazi hizo ambazo marehemu aliacha akidai....

 

11 years ago

Mwananchi

Mama amkata mwanaye nyama, aichoma mshikaki

Mwanamke mmoja mkazi wa Kibosho mkoani Kilimanjaro amekamatwa na polisi akidaiwa kumkata mtoto wake mwenye umri wa miaka minane nyama katika eneo la paja na kuichoma mithili ya mshikaki.

 

9 years ago

Mwananchi

Mama amchoma mwanaye kwa maji moto

Polisi mkoa wa Mara inamshikilia mwananke mmoja (jina tunalo) mkazi wa Bweri Manispaa ya Musoma kwa kosa la kumchoma mtoto wake mwenye miaka minne, kwa maji ya moto, mikono yote miwili baada ya kumtuhumu kuwa ameiba nyama jikoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani