Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA SHARO AZIDI KULILIA HAKI ZA MWANAYE

Stori: Mayasa Mariwata
MAMA wa aliyekuwa msanii wa muziki na filamu, Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’, Zainabu Mkiety, bado yuko kwenye maumivu ya kudhulumiwa haki za mwanaye jambo linaloongeza simanzi moyoni mwake. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, mama huyo alidai kushangaa kuona wahusika waliokuwa wakifanya kazi na Sharo Milionea wanakaa kimya juu ya malipo ya kazi hizo ambazo marehemu aliacha akidai....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ROSE NDAUKA AZIDI KULILIA NDOA

Stori: Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka amezidi kulilia ndoa ambapo sasa ameonesha shauku ya kufunga hata ndoa ya mkeka ili kukata kiu yake ambayo amekuwa nayo kwa muda mrefu. Staa wa filamu za Kibongo, Rose Ndauka. Rose aliyejifungua hivi karibuni huku baba wa mtoto akijulikana kwa jina moja la Malick alisema hayo hivi karibuni nyumbani kwake Magomeni, Dar, ambako alikutana na mwandishi wetu aliyetaka...

 

11 years ago

GPL

MAMA SHARO AMVAA KITALE

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan Makubwa! Mama mzazi wa aliyekuwa nyota wa filamu na muziki, marehemu Hussein Mkieti ‘Sharo Milionea’ amemtuhumu msanii wa vichekesho ambaye alikuwa rafiki wa mwanaye, Musa Kitale kuwa alikula michango ya kumbukumbu ya kifo cha mwanaye, mwaka jana. Kwa mujibu wa chanzo makini, Mama Sharo amekuwa akimlalamikia Kitale kwa watu kwamba alikula fedha za mchango wa mwanaye hivyo...

 

11 years ago

GPL

MAMA SHARO ALILIA JASHO LA MWANAE!

Na Shani Ramadhani
MAMA mzazi wa marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Millionea’,  Bi. Zuwena Mkieti amewataka waandaaji wa filamu za Kitanzania kusitisha mara moja matumizi ya sinema za mwanaye huku akishusha lawama nzito. Mama Sharo. Akizungumza kwa njia ya simu na ‘kiranja’ wetu mwanzoni mwa wiki hii, mama huyo alidai kujisikia uchungu kuona kazi za mwanaye zinazidi kuingia sokoni huku familia yake...

 

9 years ago

GPL

WEMA AMLIZA MAMA SHARO MILIONEA

Hamida hassan Wasanii mbalimbali wa filamu waliomo kwenye Kampeni za CCM kupitia mpango wa Mama Ongea na Mwanao akiwemo Wema Sepetu, juzikati walimliza mama wa msanii marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’ pale walipokwenda kutembelea kaburi lake. Mama wa msanii wa marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’ akilia. Wasanii hao walichukua uamuzi huo walipopita katika kijiji alichozaliwa msanii huyo cha Lusanga, wilayani...

 

11 years ago

GPL

MAMA SHARO MILIONEA AMLIZA RICH MAVOKO

Na Shakoor Jongo
STORI kuhusu maisha ya mama mzazi wa staa wa komedi Bongo, marehemu Husein Mkiety ‘Sharo Milionea’, baada ya kifo cha mwanaye huyo imemliza Rich Mavoko ambaye alikwenda kumtembelea nyumbani kwake kijijini Lusanga, Muheza mkoani Tanga. Rich Mavoko akifuta machozi alipomtembelea Mama Sharo Milionea. Akiteta machache na Risasi Vibes, Mavoko alisema, yeye kama msanii aliguswa kwenda kumsalimia mama...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Chris Brown azidi kuonesha mapenzi kwa mwanaye ‘Royalty’ kwenye cover ya album mpya aliyoipa jina la mtoto huyo

Chris Brown ameendelea kuudhihirishia ulimwengu mapenzi ya dhati aliyonayo kwa mwanaye wa kike Royalty mwenye umri wa mwaka mmoja. Baada ya kuamua album yake mpya kuipa jina la mwanaye huyo ‘Royalty’, sasa staa huyo wa R&B ametoa cover ya album hiyo yenye picha ya yeye akiwa amembeba mtoto wake anayeonekana amesinzia. Toka Breezy afahamu kuwa […]

 

10 years ago

GPL

MAMA LULU ATAMANI MWANAYE AFE TU!

Imelda Mtema
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana! Lulu akiwa hoi nyumbani. YOTE HAYA KISA MITANDAO
Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya...

 

11 years ago

GPL

MAMA MZAZI AMLIPUA MOTO MWANAYE

Stori: Makongoro Oging’
Dunia haina huruma! Mtoto Samwel Paulo (13), anayesoma darasa la nne Shule ya Msingi Amani wilayani Ilala, Dar, amelazwa wodi ya watoto katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, akiendelea kuuguza majeraha yaliyotokana na kile kinachodaiwa ni kulipuliwa kwa moto na mama yake mzazi aliyetajwa kwa jina la Doricus Iganga. Mtoto Samwel Paulo akiwa hospital baada ya kufanyiwa kitendo cha kinyama na mama...

 

10 years ago

GPL

MAMA ALAZIMISHA MWANAYE ATOKE NA HAMILTON

Mama mzazi wa modo na mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With the Kardashians, Kendall Jenner, Kris Jenner. Monaco, Ufaransa
MAMA mzazi wa modo na mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With the Kardashians, Kendall Jenner, Kris Jenner, amempigia debe mwanaye kwa muendesha magari ya langalanga ‘The Formula 1’, Lewis Hamilton. Modo na mtangazaji wa Kipindi cha Keeping Up With the Kardashians, Kendall Jenner akiwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani