MAMA SHARO AMVAA KITALE
![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6bWhOzlTy5RybuoJZ3AGWtLvVUaA97xKsrfp7qzHM6m5zjFA2*vxJs2KlR0PbsEnoB6AB525hN1TiCUR3xZ3TDO/jm.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan Makubwa! Mama mzazi wa aliyekuwa nyota wa filamu na muziki, marehemu Hussein Mkieti ‘Sharo Milionea’ amemtuhumu msanii wa vichekesho ambaye alikuwa rafiki wa mwanaye, Musa Kitale kuwa alikula michango ya kumbukumbu ya kifo cha mwanaye, mwaka jana. Kwa mujibu wa chanzo makini, Mama Sharo amekuwa akimlalamikia Kitale kwa watu kwamba alikula fedha za mchango wa mwanaye hivyo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM12 Dec
KITALE KUACHIA FILAMU YA MWISHO ALIYOFANYA NA MAREHEMU SHARO MILIONEA
Staa wa filamu za ''Comedy'',Kitale ''Mkude Simba''anatarajia kufanya uzinduzi wa filamu ya mwisho aliyoifanya na aliyekuwa msanii mwenzake wa filamu hizo marehemu,Ramadhani Mkieti ''Sharo Millionea'' iitwayo Safra Hasara.
Kupitia mtandao wa Instagram Kitale aliandika .....Hii ndio movie ya mwisho kucheza na mdogo wng rafiki yng ndugu yng SHARO MILIONEA Hii karibuni itakuwa mtaani USIKOSE KUPATA NAKALA YAKO ..
10 years ago
Bongo Movies15 Apr
Hii Ndio Show na Kauli ya Mwisho ya Sharo, Sikujua Kwanini Alitaka Tufanye Kazi na Stanbakora-KITALE
Show ya mwisho kufanya na marehemu sharo ilikuwa mwembe yanga show ya DTV nakumbuka ilikuwa inaitwa "NI WAKATI WAKO" baada ya hapo kesho asubuhi tukaenda tanga kushuti movie yetu hii (Safara Hasara) ambayo 20/04/2015 ndio inatoka tukamaliza kushuti salama salimini tukarudi DAR usiku napigiwa simu na marehemu sajuki anataka niende kwenye show yake iringa CHANGIA SAJUKI tarehe 25/11/2012 akabaki kwa sababu alikuwa katoka magomeni kaamia sinza ana siku mbili bado mgeni sinza basi mimi nikafanya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-4KXAJZ-Lg5Z9D2IdIQGfCnv6ZHlwv3lxvf19knMVmVg9B2rbUv8bVrqcxAPxqgHOxUEsW-7McEOAa9D5l4rQSQ/sharo.jpg?width=650)
MAMA SHARO ALILIA JASHO LA MWANAE!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyV-tnnykKzMDhb2yO9TYiEtD1U9vIwkeZBjFFGZsH0w3X3I8rjGUW1pdh7Y6pfZOjvYfMWWYuxmdJO6gPfTMYJD/M.jpg?width=650)
WEMA AMLIZA MAMA SHARO MILIONEA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5zNHI*tWETej1*95iVjqkHmle5b129-b-u5PHyZNcxSlxIoBnDFWt6WLjtcABZAJ0rs-CZD2m9f8u8nJrQ1vQY/sharo.jpg?width=650)
MAMA SHARO AZIDI KULILIA HAKI ZA MWANAYE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bquVoc42xDPVZmwLxvNGNPVrgkqarZZ9cRaGg-6VtiZ0Y4fMFu33II4gb5HgWHAxPrc3SuapnWI1PmMWCkLXwe9Es8hlaKbV/Mamasharo.jpg?width=650)
MAMA SHARO MILIONEA AMLIZA RICH MAVOKO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb9e7WKEW7TkLB8q*gbQ*AU2g9wgzKdjh1qmI4TslXt6RgQ5ghSE4c-HdUo5OWaCS*eu55UmWWTX6*rJ8p9bpaRL/isabela.jpg)
ISABELA AMVAA MAMA WEMA
10 years ago
Bongo Movies26 Nov
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Kitale Awachana ‘Bongo Movies’
Msanii wa filamu na vichekesho, Musa Kitale jioni ya leo akizungumza kwenye studio za Magic FM,kipindi cha Afrika Kabisa kwenye kipengele cha African Movies, alisema wazi kuwa hawakubali kabisa bongo movies kwani wanapenda kurudia rudia na kukopi filamu za nje na kusisitiza hata akiziangalia filamu zao huwa haoni jipya na hazina ubunifu.
Akaendelea kufafanua kuwa yeye sio mwana Bongo Movies na wala hayupo karibu nao kwani anaogopa kuwaambukizwa ‘kaugonjwa’ kakukopi kopi kitu mbacho...