Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA SHARO AMVAA KITALE

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan Makubwa! Mama mzazi wa aliyekuwa nyota wa filamu na muziki, marehemu Hussein Mkieti ‘Sharo Milionea’ amemtuhumu msanii wa vichekesho ambaye alikuwa rafiki wa mwanaye, Musa Kitale kuwa alikula michango ya kumbukumbu ya kifo cha mwanaye, mwaka jana. Kwa mujibu wa chanzo makini, Mama Sharo amekuwa akimlalamikia Kitale kwa watu kwamba alikula fedha za mchango wa mwanaye hivyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

KITALE KUACHIA FILAMU YA MWISHO ALIYOFANYA NA MAREHEMU SHARO MILIONEA

Staa wa filamu za ''Comedy'',Kitale ''Mkude Simba''anatarajia kufanya uzinduzi wa filamu ya mwisho aliyoifanya na aliyekuwa msanii mwenzake wa filamu hizo marehemu,Ramadhani Mkieti ''Sharo Millionea'' iitwayo Safra Hasara.Kupitia mtandao wa Instagram Kitale aliandika .....Hii ndio movie ya mwisho kucheza na mdogo wng rafiki yng ndugu yng SHARO MILIONEA Hii karibuni itakuwa mtaani USIKOSE KUPATA NAKALA YAKO ..

 

10 years ago

Bongo Movies

Hii Ndio Show na Kauli ya Mwisho ya Sharo, Sikujua Kwanini Alitaka Tufanye Kazi na Stanbakora-KITALE

Show ya mwisho kufanya na marehemu sharo ilikuwa mwembe yanga show ya DTV nakumbuka ilikuwa inaitwa "NI WAKATI WAKO" baada ya hapo kesho asubuhi tukaenda tanga kushuti movie yetu hii (Safara Hasara) ambayo 20/04/2015 ndio inatoka tukamaliza kushuti salama salimini tukarudi DAR usiku napigiwa simu na marehemu sajuki anataka niende kwenye show yake iringa CHANGIA SAJUKI tarehe 25/11/2012 akabaki kwa sababu alikuwa katoka magomeni kaamia sinza ana siku mbili bado mgeni sinza basi mimi nikafanya...

 

11 years ago

GPL

MAMA SHARO ALILIA JASHO LA MWANAE!

Na Shani Ramadhani
MAMA mzazi wa marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Millionea’,  Bi. Zuwena Mkieti amewataka waandaaji wa filamu za Kitanzania kusitisha mara moja matumizi ya sinema za mwanaye huku akishusha lawama nzito. Mama Sharo. Akizungumza kwa njia ya simu na ‘kiranja’ wetu mwanzoni mwa wiki hii, mama huyo alidai kujisikia uchungu kuona kazi za mwanaye zinazidi kuingia sokoni huku familia yake...

 

9 years ago

GPL

WEMA AMLIZA MAMA SHARO MILIONEA

Hamida hassan Wasanii mbalimbali wa filamu waliomo kwenye Kampeni za CCM kupitia mpango wa Mama Ongea na Mwanao akiwemo Wema Sepetu, juzikati walimliza mama wa msanii marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’ pale walipokwenda kutembelea kaburi lake. Mama wa msanii wa marehemu Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’ akilia. Wasanii hao walichukua uamuzi huo walipopita katika kijiji alichozaliwa msanii huyo cha Lusanga, wilayani...

 

11 years ago

GPL

MAMA SHARO AZIDI KULILIA HAKI ZA MWANAYE

Stori: Mayasa Mariwata
MAMA wa aliyekuwa msanii wa muziki na filamu, Hussein Mkiety ‘Sharo Milionea’, Zainabu Mkiety, bado yuko kwenye maumivu ya kudhulumiwa haki za mwanaye jambo linaloongeza simanzi moyoni mwake. Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni, mama huyo alidai kushangaa kuona wahusika waliokuwa wakifanya kazi na Sharo Milionea wanakaa kimya juu ya malipo ya kazi hizo ambazo marehemu aliacha akidai....

 

11 years ago

GPL

MAMA SHARO MILIONEA AMLIZA RICH MAVOKO

Na Shakoor Jongo
STORI kuhusu maisha ya mama mzazi wa staa wa komedi Bongo, marehemu Husein Mkiety ‘Sharo Milionea’, baada ya kifo cha mwanaye huyo imemliza Rich Mavoko ambaye alikwenda kumtembelea nyumbani kwake kijijini Lusanga, Muheza mkoani Tanga. Rich Mavoko akifuta machozi alipomtembelea Mama Sharo Milionea. Akiteta machache na Risasi Vibes, Mavoko alisema, yeye kama msanii aliguswa kwenda kumsalimia mama...

 

10 years ago

GPL

ISABELA AMVAA MAMA WEMA

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa Filamu na Muziki Bongo, Isabela Mpanda amemvaa mama wa msanii mwenzake, Wema Sepetu, Miriam Sepetu na kumtaka aache kuingilia mapenzi ya mwanaye kwani mapenzi hayaingiliwi. Msanii wa Filamu na Muziki Bongo, Isabela Mpanda. Akistorisha na gazeti hili, Isabela alisema siku zote unaopenda ni moyo siyo mwili kwa hiyo mama Wema kama anataka mwanaye aachane kabisa na Diamond basi amtoe moyo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kitale Awachana ‘Bongo Movies’

Msanii wa filamu na vichekesho, Musa Kitale jioni ya leo akizungumza kwenye studio za  Magic FM,kipindi cha Afrika Kabisa  kwenye kipengele cha African Movies, alisema wazi kuwa hawakubali kabisa bongo movies kwani wanapenda kurudia  rudia na kukopi filamu za nje na kusisitiza hata akiziangalia filamu zao huwa haoni jipya na hazina ubunifu.

Akaendelea kufafanua kuwa yeye sio mwana Bongo Movies na wala hayupo karibu nao kwani anaogopa kuwaambukizwa ‘kaugonjwa’ kakukopi kopi kitu mbacho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani