Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALI KARUME AJITOKEZA KUGOMBANI NAFASI YA URASI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 Balozi Ali Karume akisalimiana na makada wa chamacha Mapinduzi mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya  Halmashauri  Wilaya ya  kati Dunga Zanzibar kwa ajili ya kutangaza nia ya kutaka kugombania nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.  Baadhi ya makada walio shirika katika kumuunga mkoko mgombea   Uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzaniakatika Ofisi ya  Halmashauri  Wilaya ya  kati Dunga  Zanzibar.Balozi Ali Karume akiwahutubia wananchi waliofika hapo ili kujuwa lengo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA RAIS WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MH JAKAYA KIKWETE MEI MOSI 2015 - MWANZA



Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine wa serikali na TUCTA wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa kilele cha sherehe za MEI MOSI uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Ijumaa.
Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na viongozi wengine wa serikali na TUCTA wakiimba wimbo wa "SOLIDARITY FOREVER" wakati wa kilele cha sherehe za MEI MOSI uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Ijumaa.

Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi mfano wa hundi mfanyakazi bora wa TANESCO Bw. Clement Mwakalosi wakati wa...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA ZANZIBAR, DK. SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA NNE WA SIKU TATU WA MABALOZI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif anayetembea kati kati ya zulia jekundu akisindikizwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe kulia yake na Naibu waziri wa Wizara hiyo Mh. Mahadhi Juma kushoto yake wakiingia ndani ya Hoteli ya Ramada Dar es salaam kwenye ufungaji wa Mkutano wa Nne wa Mabalozi wa Tanzania nchi mbali mbali Duniani.Balozi Seif kwa Niaba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyejkiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein akiufunga...

 

9 years ago

Michuzi

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli Atoa Mkono wa Krismas na Mwaka Mpya kwa Wazee wa Kijiji cha Welezo Zanzibar.


Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mbuzi Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla hiyo imefanyika katika makaazi ya Wazee hao Welezo Zanzibar, Vyakula hivyo vimetolewa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli kwa ajili ya Wazee hao kujumuiika na Wananchi katika kusherehekea Sikukuu ya Krismas na Mwaka Mpya. Mlukulu wa Ikulu Zanzibar Ndg Ameir Ali Khatib akimkabidhi Mafuta ya Kupikia Sister Mary Gemma wa kituo cha Wazee Welezo, hafla...

 

9 years ago

Michuzi

SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA-ANNE MAKINDA


Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa ofisi ndogo za Bunge  jijini Dar es Salaam kuhusiana na kuachana na uongozi katika siasa.
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda amejing'atua rasmi na kuachana na  uongozi katika siasa kutokana na kufanya kazi za Siasa kwa miaka 40.
ameyasema hayo alipokua akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es...

 

10 years ago

Vijimambo

MHESHIMIWA ALHAJ ALI HASSAN MWINYI, RAIS MSTAAFU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUWA MGENI RASMI KWENYE TAMASHA LA CHAUKIDU APRIL 23

 Rais Mstaafu Ali Hassan MwinyiNjoo ujumuike na wapenzi wa Lugha ya Kiswahili pamoja na kupata chakula cha Kiafrika, vinywaji, burudani ya muziki kutoka kwa gwiji Master DJ Luke na maonyesho kadhaa ya wasanii, wakiwemo Anna Mwalagho na AJ Ubao, katika Tamasha la kipekee Washington DC, April 23, 2015.
Nunua tiketi yako mapema kwa kutembelea Tovuti ya CHAUKIDU <www.chaukidu.org>, au piga simu namba 301-433-3411(Tumaini), 301-793-2833 (Asha) na 202-830-6555 (Dr. Magembe) kununua tiketi moja kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ali Karume, Mwanadiplomasia anayetegemea kubebwa na historia

Alizaliwa katika mazingira ya kawaida ya Wazanzibari katika miaka ya 50 kwenye familia ya baharia Abeid Amani Karume aliyekuwa mume wa Fatma Ali Daud (Fatma Karume).

 

10 years ago

TheCitizen

Ali Karume, Mpina eye CCM nomination

Zanzibar/Simiyu. The son of Zanzibar’s founding President Abeid Amani Karume, Mr Ali Karume, yesterday declared his intention to seek nomination as CCM’s candidate in the forthcoming presidential election.

 

10 years ago

Vijimambo

Mawaziri wa Afya wa Zanzibar na wa Afya wa Jamuhuri ya Muungano wakutana na waTanzania Ujerumani

Waziri wa afya na ustawi wa jamii wa Jamuhuri ya muungano Mhe.Bw.Seif Rashid na waziri wa afya wa Zanzibar Mhe. Rashid Seif Suleiman, Siku ya jumapili 25 januari 2015 walikutana na kuongea na baadhi ya watanzania waishio nchini ujerumani katika hoteli ya Martim Hotel mjini Berlin,mawaziri hao kwa pamoja waliongozana na balozi Tanzania nchini Ujerumani mheshimiwa Bw.Philip Malmo,katika mkutano huo mawaziri hao wote walielezea jinsi wizara zao zinavyofanya kazi kuhakikisha kuwa huduma za afya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani