Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ali Karume, Mpina eye CCM nomination

Zanzibar/Simiyu. The son of Zanzibar’s founding President Abeid Amani Karume, Mr Ali Karume, yesterday declared his intention to seek nomination as CCM’s candidate in the forthcoming presidential election.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ali Karume, Mwanadiplomasia anayetegemea kubebwa na historia

Alizaliwa katika mazingira ya kawaida ya Wazanzibari katika miaka ya 50 kwenye familia ya baharia Abeid Amani Karume aliyekuwa mume wa Fatma Ali Daud (Fatma Karume).

 

10 years ago

Michuzi

ALI KARUME AJITOKEZA KUGOMBANI NAFASI YA URASI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

 Balozi Ali Karume akisalimiana na makada wa chamacha Mapinduzi mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya  Halmashauri  Wilaya ya  kati Dunga Zanzibar kwa ajili ya kutangaza nia ya kutaka kugombania nafasi ya Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.  Baadhi ya makada walio shirika katika kumuunga mkoko mgombea   Uraisi wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzaniakatika Ofisi ya  Halmashauri  Wilaya ya  kati Dunga  Zanzibar.Balozi Ali Karume akiwahutubia wananchi waliofika hapo ili kujuwa lengo...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI ALI KARUME AKIPATA PICHA NA BAADHI AFISA UBALOZI NA VINGOZI WA TAMCO NA WATNZANIA WENGINEO

Balozi Ali Karume (katikati mwenye suti nyeusi) na Kanali Ruta ( wapili kutoka kulia) katika picha ya pamoja na baadhi ya vingozi wa TAMCO, Tanzania Muslim Community, DMV Watoto wa kitanzania wakiwa na wageni waalikwa na viongozi  wa TAMCO katika picha ya pamoja, TAMCO haiko nyuma kuwaandaa watoto wao ili kuhakikisha urithi huu watauendeleza baadaye
 Meya wa DC, Saleh Mohammed katika  na balozi Ali Karume kulia iliopigwa katika sherehe za Eid iloandaliwa na Tanzania Muslim Community TAMCO

 

5 years ago

Michuzi

BALOZI ALI KARUME ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ATAJA ATAKAYOANZA AKIPATA RIDHAA YA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
BALOZI Ali Karume ambaye ni mtoto wa muasisi wa nchi ya Zanzibar Sheikh Abeid Aman Karume amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar huku akieleza kuwa baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25,2020 anatarajia kuwa Rais wa Nane.
Amesema iwapo atapata ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) na wananchi wakampa ridhaa kwa kumchagua kuwa Rais atahakikisha anaendeleza yale yote mazuri ambayo yamefanywa na...

 

10 years ago

TheCitizen

Magufuli: Why I stood for CCM nomination

Dr Magufuli said he decided to try his luck after many people asked him to join the race to succeed President Jakaya Kikwete

 

10 years ago

TheCitizen

Why CCM nomination is shrouded in secrecy

Process shrouded in secrecy

 

10 years ago

TheCitizen

Malecela seeks CCM nomination

Nyalandu, two other rulling party members pick up nomination forms for the post of president

 

9 years ago

TheCitizen

CCM to run nomination polls afresh

Chama Cha Mapinduzi (CCM) will re-run parliamentary preferential polls in 10 constituencies after its National Executive Committee (NEC) found out that the polls were marred by irregularities. The decision was announced by CCM publicity secretary Nape Nnauye when announcing those who were nominated to run for parliamentary seats through the party’s ticket.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani