Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BALOZI ALI KARUME AKIPATA PICHA NA BAADHI AFISA UBALOZI NA VINGOZI WA TAMCO NA WATNZANIA WENGINEO

Balozi Ali Karume (katikati mwenye suti nyeusi) na Kanali Ruta ( wapili kutoka kulia) katika picha ya pamoja na baadhi ya vingozi wa TAMCO, Tanzania Muslim Community, DMV Watoto wa kitanzania wakiwa na wageni waalikwa na viongozi  wa TAMCO katika picha ya pamoja, TAMCO haiko nyuma kuwaandaa watoto wao ili kuhakikisha urithi huu watauendeleza baadaye
 Meya wa DC, Saleh Mohammed katika  na balozi Ali Karume kulia iliopigwa katika sherehe za Eid iloandaliwa na Tanzania Muslim Community TAMCO

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

BALOZI ALI KARUME ACHUKUA FOMU KUWANIA URAIS ZANZIBAR, ATAJA ATAKAYOANZA AKIPATA RIDHAA YA WANANCHI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
BALOZI Ali Karume ambaye ni mtoto wa muasisi wa nchi ya Zanzibar Sheikh Abeid Aman Karume amechukua fomu ya kuwania nafasi ya urais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar huku akieleza kuwa baada ya kufanyika Uchaguzi Mkuu Oktoba 25,2020 anatarajia kuwa Rais wa Nane.
Amesema iwapo atapata ridhaa ya kugombea nafasi hiyo kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) na wananchi wakampa ridhaa kwa kumchagua kuwa Rais atahakikisha anaendeleza yale yote mazuri ambayo yamefanywa na...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA NYENGINE ZA EID KATIKA PROGRAM ZA WATOTO ZILIZOANDALIWA NA DADA AISHA SHARRIF, PAMOJA NA ZAWADI ZILIZOTOLEWA NA YEYE MWENYEWE NA BALOZI ALI KARUME


Dada Aisha Sharrif akiendesha utaratibu mzima wa masuali na majibu kwa watoto wa kiislam, kuwajenga kiimani na dini yao, na baadae kupatiwa zawadi ya vitabu vya quran.Mungu amlipe kila kheri na ampe moyo wenye kuendelea na imani, AminWanafunzi wa dada Aisha Sharrif waliosoma quran, khadith na kutoa mawaidha, walikabidhiwa zawadi zao kutoka balozi Ali Karume, Mukhtar ni mmoja wa wanafunzi hao pia akiwa MC katika program yao, akipewa zawadi yake kutoka kwa balozi KarumeZuhura (Ulah) akiwa na...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Idd akagua ujenzi wa Jengo jipya la Abiria wa usafiri wa Anga katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi wa Tatu kutoka kushoto akikagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Abiria { Terminal 11 } katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Zanzibar wa Abeid Amani Karume akiwa pamoja na uongozi wa Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar. Kushoto ya Balozi Seif ni Katibu Mkuu Wizara ya Miundombinu na Mawasiliano Zanzibar Dr. Juma Malik Akio na Msimamizi wa ujenzi wa jengo la Abiria katika uwanja wa ndege wa Zanzibar upande wa Serikali ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ali Kiba, Isha Mashauzi, Msaga Sumu na wengineo kupagawisha Pasaka Dar Live leo

MwanaDarIle shoo kubwa  na ya kijanja iliyokuwa ikisubiriwa na mashabiki wengi wa burudani imewadia ambapo leo Aprili, 5 (Sikukuu ya Pasaka) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar mastaa wa muziki Bongo kama, Ali Kiba ‘Mwana Dar Live’, Isha Mashauzi, Msaga Sumu na wengineo wanatarajiwa kutikisa vilivyo mashabiki watakaojitokeza. 

Kwa mujibu wa  Mratibu wa burudani katika ukumbi huo, Abdallah Mrisho ‘Abby Cool’ aliawaomba mashabiki wote kufika kwa wingi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Kajala Akipata Matibabu Hospitali

Kupitia ukurasa wake mtandaoni, muongozaji wa filamu maarufu Lamata ambaye ni rafiki wa karibu wa staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja ameweka picha hii  ya ikimuonyesha Kajala akiwa hospital amelala kwenye kitanda maalumu tayari kuingizwa kwenye kifaa cha kitabibu zaidi.

Kwenye picha hiyo Lamata alimpa pole Kakala  na kumpa matumaini kwa kuandika;

‘Pole @new_kajala utapona mungu yupo nawe siku zote za maisha yako’

Bongomovies.com haijathibitisha kama ni kweli au ni maigizo.

Kama ni...

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA WAISLAM WAISHIO DC,MARYLAND, VIRGINIA NCHINI MAREKANI (TAMCO) WALIVYO ADHIMISHA TAMCO FAMILY DAY


Watatu kutoka kulia ni mwenyekiti wa tamco Bw. Ali Mohamed akifutiwa na muasisi alietowa wazo la kuanzishwa jumuiya ya waislam ya watanzania  waishio washington DC na vitongoji vyake, mzee Yussf Kalala wa nne kutoka kulia, wakiwa na baadhi ya viongozi wengine katika siku ya TAMCO FAmily Day
Muasisisi wa TAMCO, Mzee Yussuf Kalala akiwakaribisha meza kuu Ali kiba na mdogo wake Abdu Kiba kuwasalimia watanzania waliohudhuria katika TAMCO Family Day TAMCO Family Day hufanyika kila mwaka kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

AFISA WA UBALOZI BI. SWAHIBA AFANIKISHA HUDUMA YA KUONGEZA MUDA PASI ZA KUSAFIRIA SEATTLE, WA

Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Seattle wakipata picha ya kumbukumbu na Afisa wa Ubalozi Bi. Swahiba (aliyekaa kwenye kiti) alipokua Seattle jimbo la Washington kwa ajili ya kutoa huduma ya kuongeza muda kwa pasi za kusafiria za Watanzania wanaoishi jimbo hilo na majimbo jirani.Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Seattle, Bwn. Mutta na familia yake wakisaidiwa na Afisa Ubalozi Bi. Swahiba jinsi ya kujaza fomu na utiaji wa alama za vidole kwenye karatasi kwa ukamilishaji wa kuongezeza muda...

 

5 years ago

BBCSwahili

Habari katika picha: Baadhi ya picha bora zilizopigwa barani Afrika

Baadhi ya picha zilizopigwa wiki hii katika maeneo mbalimbali barani Afrika na kwingineko.

 

9 years ago

Michuzi

TAARIFA YA UJIO WA AFISA KUTOKA UBALOZI TANZANIA CANADA, VANCOUVER, BC, KWA AJILI YA KUPROCESS PASSPORT RENEWALS

NAPENDA KUWATAARIFU WATANZANIA WANAOISHI GREATER VANCOUVER AREA, KWAMBA TAREHE 27 HADI 28 NOVEMBA 2015, AFISA KUTOKA UBALOZI WA TANZANIA CANADA (OTTAWA), ATAKUWA MJINI VANCOUVER, BC, KWA AJILI YA KUPROCESS APPLICATIONS KWA AJILI YA PASSPORT RENEWAL. 
UJIO HUU UTAGHARAMIWA NA WATANZANIA WATAKAOHITAJI KURENEW PASSPORT ZAO, GHARAMA HIZI NI FLIGHT NA HOTELI. KWA MAWASILIANO ZAIDI TAFADHALI WASILIANA NA PHILIP MWIMANZI KUPITIA NAMBA YA SIMU 16046521864. NI VIZURI TUKAWASILIANA ASAP ILI TUJUE...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani