Picha: Kajala Akipata Matibabu Hospitali
Kupitia ukurasa wake mtandaoni, muongozaji wa filamu maarufu Lamata ambaye ni rafiki wa karibu wa staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja ameweka picha hii ya ikimuonyesha Kajala akiwa hospital amelala kwenye kitanda maalumu tayari kuingizwa kwenye kifaa cha kitabibu zaidi.
Kwenye picha hiyo Lamata alimpa pole Kakala na kumpa matumaini kwa kuandika;
‘Pole @new_kajala utapona mungu yupo nawe siku zote za maisha yako’
Bongomovies.com haijathibitisha kama ni kweli au ni maigizo.
Kama ni...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-sQz0jxSRF8E/VToKVAQTuGI/AAAAAAAAsiA/Zqy4QvTuJQY/s72-c/wema%2Bsepetu990.jpg)
PICHA YA WEMA SEPETU AKIWA HOSPITALI YASHUA WENGI. WENGI WAULIZA KAMA NDO AMEANZA MATIBABU YA KUPATA MTOTO
![](http://api.ning.com/files/nBD8FQWarq-4R4WFf5QoJ*rzQSw0U9KUDL31XKiP1mNjS1erGKSqtvZe1mZJKHS51JEut23QP6TvboUuWotlUSMi6vmJn78e/wemasepetu.jpg)
The socialite, The Actress kutoka kiwanda cha filamu Tanzania Bongo Movie Wema Sepetu, baada ya kutangaza kuwa anatatizo la kutozaa kwa muda mrefu na angetamani siku moja kupata mtoto wamejitokeza madakatari wengi na kutaka kumtibu.Lakini kabla ya kuanza kumtibu amewapa angalizo kwamba wakati anaanza kutiwa akawa na mwenza wake kabisa ambae wwatukuwa wamekubaliana pale tatizo litakapokuwa limeisha tu basi mara moja waweze kupata mtoto..Hilo ndilo angalizo la Wema Sepetu ambae anatamani sana...
10 years ago
VijimamboBALOZI ALI KARUME AKIPATA PICHA NA BAADHI AFISA UBALOZI NA VINGOZI WA TAMCO NA WATNZANIA WENGINEO
9 years ago
StarTV04 Sep
Hospitali ya Rufaa Bugando yakanusha Kupandisha garama za matibabu.
Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza imekanusha uvumi ambao umezagaa mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kuwa imepandisha gharama za matibabu kwa kiwango kikubwa ambazo wananchi wanashindwa kuzimudu garama za matibabu.
Hospitali hiyo imedai kuendelea kutumia gharama zake za awali katika kuwahudumia wagonjwa licha ya kughubikwa na changamoto ya ufinyu wa bajeti inayoathiri mfumo wa uendeshaji.
Hospitali ya Rufaa ya Bugando kwa sasa ina zaidi ya miaka 44 ya kutoa huduma ya afya kwa...
9 years ago
VijimamboHOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI YAPATIWA MASHINE YA MATIBABU YA MOYO
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Wakazi wa Dar es salaam kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo
Watanzania wanashauriwa kuitumia fursa hii ya kipekee ya ziara ya kitabibu itakayofanywa na madaktari kutoka Hospitali za Apollo; Hyderabad. Kwa miaka mingi, watanzania wameshindwa kupata matibabu sahihi nchini kitendo ambacho kimewasababishia kusafiri nje ya nchi kupata matibabu sahihi ya mfumo wa fahamu, uti wa mgongo, figo pamoja na magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo. Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s72-c/apollo-03.jpg)
Wakazi wa Dar es salaam Kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo, India
![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s400/apollo-03.jpg)
Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni kuhakikisha...
10 years ago
Dewji Blog17 Jan
Pinda amtembelea mbunge Vita Kawawa anayepatiwa matibabu hospitali ya AMI jijini Dar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Mbunge wa Namtumbo, MheshimiwaVita Kawawa ambaye amelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam kwa matibabu. Kushoto ni mke wa mbunge huyo, Siwa Kawawa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Mbunge wa Namtumbo, MheshimiwaVita Kawawa ambaye amelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam kwa matibabu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--e9xOTlK4zc/VHpGFUP5YEI/AAAAAAADJKQ/-gr84CUFl5Q/s72-c/scan0001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-y4H957UjvOo/VZYaY-m6MNI/AAAAAAAAtI0/CAkGjtsT6nU/s72-c/unnamedh1.jpg)
Wananchi wa mkoa wa Shinyanga wafurahishwa na huduma za matibabu ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa
Wakizungumza na mwandishi wetu aliyetembelea katika hospitali hiyo, mmoja wa wazee waliopata huduma ya matibabu ya ugonjwa wa moyo Bi. Salu Shinge amesema amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya moyo kwa muda mrefu lakini baada ya kuonana na Daktari bingwa siku ya Jumatatu na kuanza kutumia dawa, hali yake imbadilika na kwamba anajisikia...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10