Pinda amtembelea mbunge Vita Kawawa anayepatiwa matibabu hospitali ya AMI jijini Dar
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Mbunge wa Namtumbo, MheshimiwaVita Kawawa ambaye amelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam kwa matibabu. Kushoto ni mke wa mbunge huyo, Siwa Kawawa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Mbunge wa Namtumbo, MheshimiwaVita Kawawa ambaye amelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam kwa matibabu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Rais Kikwete na Mkewe wamjulia hali mbunge wa Namtumbo Mhe Vita Kawawa aliyelazwa hospitali ya AMI jijini Dar es Salaam leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao ni Mhe Adam Malima, nai bu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari katika wodi hiyo.(PICHA NA IKULU).
10 years ago
Vijimambo14 Jan
RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-kyarACRzXWE%2FVLa0_lUUHRI%2FAAAAAAADVgE%2Fl7kiswmur5s%2Fs1600%2Faa4.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PICHA NA IKULU
10 years ago
Michuzi15 Jan
RAIS JAKAYA KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAMJULIA HALI MBUNGE WA NAMTUMBO MHE VITA KAWAWA ALIYELAZWA HOSPITALI YA AMI JIJINI DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-K7yg0TzVKWA/VLaG7bGGS4I/AAAAAAADL7U/WG_llP0IAnQ/s1600/aa4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZNc-J_yL0/VLpn1DMqYvI/AAAAAAAG9_k/CNynUnI-RVc/s72-c/unnamed.jpg)
MH. PINDA AMJULIA HALI MBUNGE VITA KAWAWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IpZNc-J_yL0/VLpn1DMqYvI/AAAAAAAG9_k/CNynUnI-RVc/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-m2cqkF16GOE/VLpn1EFxVfI/AAAAAAAG9_g/Jarg4RCqZvw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-cSwPJlayw1M/XlqYNakadVI/AAAAAAACIAo/AwWYRraRx6IBDz2aMKvG3tJmYxYzM73MACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DK. MAGUFULI AMTEMBELEA KUMJULIA HALI MZEE MAGULA AMBAYE AMELAZWA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-cSwPJlayw1M/XlqYNakadVI/AAAAAAACIAo/AwWYRraRx6IBDz2aMKvG3tJmYxYzM73MACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KP7s6ibHGNY/XlqYNWFjbuI/AAAAAAACIAs/J958LarX3skYP2qam-e7zBP-YrN86BvNgCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kxwngdLZIns/XlqYNcMSD6I/AAAAAAACIAw/YoYl5iTnxAAQuRTMmdj0bo0EZ1sIh3aiQCLcBGAsYHQ/s400/3.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOiMYNQcQG3n6y9*hVhrzYK8VGO8xB1WWciLy6N-PlewbQowdqJ0uJwLqyOYTzQw0cdYACAajN7FheIw*-I0kSh4/BREAKING.gif)
WALEMAVU JIJINI DAR WAANDAMANA NA KUFUNGA BARABARA ZA KAWAWA NA UHURU
10 years ago
VijimamboWALEMAVU WAFUNGA MAKUTANO YA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog23 Jul
Wakazi wa Dar es salaam kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo
Watanzania wanashauriwa kuitumia fursa hii ya kipekee ya ziara ya kitabibu itakayofanywa na madaktari kutoka Hospitali za Apollo; Hyderabad. Kwa miaka mingi, watanzania wameshindwa kupata matibabu sahihi nchini kitendo ambacho kimewasababishia kusafiri nje ya nchi kupata matibabu sahihi ya mfumo wa fahamu, uti wa mgongo, figo pamoja na magonjwa yanayohusiana na mfumo wa mkojo. Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s72-c/apollo-03.jpg)
Wakazi wa Dar es salaam Kupata matibabu yatakayotolewa na wataalamu kutoka Hospitali za Apollo, India
![](http://4.bp.blogspot.com/-WmvXR1oWVBA/VbDMEJ8VRlI/AAAAAAAHrTM/4crpDFwOKtU/s400/apollo-03.jpg)
Nia na madhumuni ya ziara ya madaktari na washauri hawa kutoka Hospitali za Apollo nchini Tanzania ni kuhakikisha...