Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JUMUIYA YA WAISLAM WAISHIO DC,MARYLAND, VIRGINIA NCHINI MAREKANI (TAMCO) WALIVYO ADHIMISHA TAMCO FAMILY DAY


Watatu kutoka kulia ni mwenyekiti wa tamco Bw. Ali Mohamed akifutiwa na muasisi alietowa wazo la kuanzishwa jumuiya ya waislam ya watanzania  waishio washington DC na vitongoji vyake, mzee Yussf Kalala wa nne kutoka kulia, wakiwa na baadhi ya viongozi wengine katika siku ya TAMCO FAmily Day
Muasisisi wa TAMCO, Mzee Yussuf Kalala akiwakaribisha meza kuu Ali kiba na mdogo wake Abdu Kiba kuwasalimia watanzania waliohudhuria katika TAMCO Family Day TAMCO Family Day hufanyika kila mwaka kwa...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TAMCO FAMILY DAY- June 6, 2015



ASALAAM ALAYKUM WA RAHMATULLAH WA BARAKATUH
Uongozi wa Tanzanian Muslim Community in Washington Metropolitan (TAMCO) Unapenda Kuwatangazia na Kuwaalika  WaTanzania Wote kwenye Shughuli ya TAMCO Family Day/Picnic Day.
Pia Tunapenda Kuwajulisha kutakuwa Fund Raising kwa Ajili ya Maandalizi ya Mfungo wa Ramadhan na Kuendeleza Shughuli Zetu Zingine za TAMCO.
Jumamosi ya Tarehe June 6, 2015 Kuanzia Saa Nane Mchana.
Address: Indian Spring Terrace Local Park9717 Lawndale Dr. Silver Spring MD 20901
Kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Mulamula awaaga TAMCO rasmi, asema umoja na mshikamano wao ni mfano wa kuigwa na jumuiya zingine

Na Mwandishi wetu, Washington, DC

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na aliyekua Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula siku ya Jumapili July 12, 2014 alijumuika na wanajumuiya ya Kiislam ya DMV (TAMCO) katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na jumuiya hiyo na kutumia fulsa hiyo kuwaaga rasmi.

Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula  aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini Marekani ,...

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI LIBERATA MULAMULA AWAAGA TAMCO RASMI, ASEMA UMOJA NA MSHIKAMANO WAO NI MFANO WA KUIGWA NA JUMUIYA ZINGINE

Na Mwandishi wetu, Washington, DCKatibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na aliyekua Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula leo jioni siku ya Jumapili July 12, 2014 alijumuika na wanajumuiya ya Kiislam ya DMV (TAMCO) katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na jumuiya hiyo na kutumia fulsa hiyo kuwaaga rasmi.
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula  aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini...

 

9 years ago

Michuzi

Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Marekani (ZADIA) yaandaa maandamano jijini new york

Jumuiya ya Wazanzibari waishio nchini Marekani (ZADIA) inapenda kuwaarifu Wazanzibari, Watanzania na Wapenda Amani wote ulimwenguni kuhudhuria katika maandamano ya kushinikiza kumaliza mchakato wa kuhesabu kura na kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu uliofanyika huko nyumbani Zanzibar tarehe 25/10/2015. Maandamano hayo yatafanyika siku ya Ijumaa tarehe 18/12/2015 kwenye viunga vya Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa, New York kuanzia saa nne asubuhi (10:00 AM) hadi saa sita mchana (12:00 PM)....

 

10 years ago

Vijimambo

TAMCO YASISITIZA MSHIKAMAO WA KIJAMII

Mwenyekiti wa Tanzanian Muslim Community Ndugu Ali Muhammed Shafi (Picha zote na Abou Shatry)Baadhi ya waumini wa  Tanzanian Muslim Community wakiwa katika mkusanyiko wa siku ya familia, ilioandaliwa rasmi na jumuiya hiyo,  Siku ya Jumapili June 6, waIslamu Washington DC Nyuma kabisa aliekuwa muasisi wa zamani wa Tanzanian Muslim Community in Washington DC (TAMCO) Bwana Yusuf Kalala akiwa na Shamis Alhatry, kushoto, Kulia ni Mwenyekiti wa ZADIA, pa moja na Mganga  katika sharehe ya familia...

 

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA FUTARI YA PAMOJA WASHINGTON DC- TAMCO



Assalam Alaykum, Wa Rahmatullah, Wa Barakatuhu
Uongozi wa Tanzanian Muslim Community Washington DC Metro (TAMCO) unawakaribisha 
kwenye Kufuturu Kwa Pamoja Kila Jumammosi na Jumapili za Mwezi wa Ramadhani.
Tunaombwa tuudhurie na tuwajulishe wengine wote:- 
Jumamosi, June 20th, 2015 – Glenmont Park Activity Building 
Address:  3201 Randolph Road, Wheaton, MD 20906
Jumapili, June 21st, 2015 – July 12, 2015  (Siku Zote Zilizobaki):
Indian Springs-Terrace Park Activity Building
Address:  9717 Lawndale...

 

10 years ago

Vijimambo

UKOTAK BAADA YA CHAI YA EID YA TAMCO

UKODAK WA WATANZANIA BAADA YA CHAI YA EID YA TAMCO ILIYOFANYIKA WHEATON, MARYLAND

 

10 years ago

Vijimambo

PITAPITA YA VIJIMAMBO PENTAGON CITY, VIRGINIA NCHINI MAREKANI

 Siku ya Jumanne Februari 17, 2015 katika pitapita ya Vijimambo katika Mall maarufu DMV iliyobeba jina la Pentagon City iliyopo Virginia ilikutana uso kwa uso na mwanamuziki wa kizazi kipya Mwana FA akiwa ameongozana na mfanyabiashara aliyejulikana kwa jina moja la Salah mwenye maskani yake nchini China wakikata mitaa ndani ya mall hiyo na kujipatia vitu viwili vitatu'Mwana FAS akiwa moja ya maduka ya ndani ya Mall ya Pentagon City

 

10 years ago

Vijimambo

SHEREHE ZA EID TAMCO ZILIZOFANYIKA MEADOWBROOK PARK

Meza kuu ikiongozwa na mwenyekiti wa TAMCO Ally Moahamed (kati) wakiwemo wawakilishi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani. afisa wa uhamiaji Bwn. Abbas Nissana (kulia) na Mwambata wa Jeshi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Colonel Adolph Mutta.Mtunza fedha wa TAMCO Bi. Asha Harizi (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na marafiki zake. Colonel Mutta akiongea machacheKwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani