TAMCO YASISITIZA MSHIKAMAO WA KIJAMII
Mwenyekiti wa Tanzanian Muslim Community Ndugu Ali Muhammed Shafi (Picha zote na Abou Shatry)
Baadhi ya waumini wa Tanzanian Muslim Community wakiwa katika mkusanyiko wa siku ya familia, ilioandaliwa rasmi na jumuiya hiyo, Siku ya Jumapili June 6, waIslamu Washington DC
Nyuma kabisa aliekuwa muasisi wa zamani wa Tanzanian Muslim Community in Washington DC (TAMCO) Bwana Yusuf Kalala akiwa na Shamis Alhatry, kushoto, Kulia ni Mwenyekiti wa ZADIA, pa moja na Mganga katika sharehe ya familia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboJUMUIYA YA WAISLAM WAISHIO DC,MARYLAND, VIRGINIA NCHINI MAREKANI (TAMCO) WALIVYO ADHIMISHA TAMCO FAMILY DAY
10 years ago
Vijimambo
RATIBA YA FUTARI YA PAMOJA WASHINGTON DC- TAMCO


Assalam Alaykum, Wa Rahmatullah, Wa Barakatuhu
Uongozi wa Tanzanian Muslim Community Washington DC Metro (TAMCO) unawakaribisha
kwenye Kufuturu Kwa Pamoja Kila Jumammosi na Jumapili za Mwezi wa Ramadhani.
Tunaombwa tuudhurie na tuwajulishe wengine wote:-
Jumamosi, June 20th, 2015 – Glenmont Park Activity Building
Address: 3201 Randolph Road, Wheaton, MD 20906
Jumapili, June 21st, 2015 – July 12, 2015 (Siku Zote Zilizobaki):
Indian Springs-Terrace Park Activity Building
Address: 9717 Lawndale...
10 years ago
Vijimambo
TAMCO FAMILY DAY- June 6, 2015

ASALAAM ALAYKUM WA RAHMATULLAH WA BARAKATUH
Uongozi wa Tanzanian Muslim Community in Washington Metropolitan (TAMCO) Unapenda Kuwatangazia na Kuwaalika WaTanzania Wote kwenye Shughuli ya TAMCO Family Day/Picnic Day.

Jumamosi ya Tarehe June 6, 2015 Kuanzia Saa Nane Mchana.
Address: Indian Spring Terrace Local Park9717 Lawndale Dr. Silver Spring MD 20901
Kwa...
10 years ago
VijimamboUKOTAK BAADA YA CHAI YA EID YA TAMCO
10 years ago
Vijimambo
SHEREHE ZA EID TAMCO ZILIZOFANYIKA MEADOWBROOK PARK












11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Wakazi nyumba za TAMCO waiomba Halmashauri ya Kibaha kutengeneza barabara
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika mkoa wa Pwani, imesababisha madhara mengi, ikiwemo kuharibu vibaya kipande cha barabara kinachoanzia bwalo la magereza hadi nyumba za Tamco katika halmashauri ya manispaa ya Kibaha. Kipande hicho endapo hakitafanyiwa matengezo mapema,kuna kila dalili kwamba kitakuwa hakipitika kabisa na hivyo kukata mawasiliano kati ya wakazi wa nyumba za Tamco, maeneo ya makaburi ya Air Msae na vitongoji vingine na makao makuu ya manispaa hiyo.(Picha na Nathaniel...
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Libe aungana na iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)
Na Abou Sharty Washington DC
Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”, siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim Community (TAMTCO), iliopo Washington DC Metro, kwa ajili ya kuonyesha umoja na mshikamano dhidi ya Jumuiya ya mbali mbali ziliopo hapa DMV.
Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”. (wapili kulia) akipata picha ya pamoja na ...
11 years ago
Michuzi14 Feb
TAMCO INAWAKARIBISHA KWENYE MAULIDI YA MTUME MUHAMMAD DMV- JUMAPILI HII

Jumuiya ya Waislamu wa DMV (TAMCO) inapenda kuwakaribisha wote kwenye sherehe za MAULID . Sherehe za Maulid zitafanyika siku ya Jumapili Hii tarehe 16 Februari 2014. Claridge Local Park 11901 Claridge Rd, Wheaton-Glenmont, MD 20902. 3:00 PM - 8:00PM WOTE MNAKARIBISHWA
11 years ago
Michuzi08 Jul
Libe ashiriki iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)

Na Abou Sharty Washington DC
Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe "Libe", siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim...