Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Libe aungana na iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)

Na  Abou Sharty Washington DC

Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”, siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim Community (TAMTCO), iliopo Washington DC Metro,  kwa ajili ya kuonyesha umoja na mshikamano dhidi ya Jumuiya ya mbali mbali ziliopo hapa DMV.

10524472_10154309166070247_469083183_n

 Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”. (wapili kulia) akipata picha ya pamoja na ...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Libe ashiriki iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)

Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe "Libe". (wapili kulia) akipata picha ya pamoja na  waumini wa  Tanzanian Muslim Community in  (TAMCO) Siku ya Jumapili July 6, 2014 ndani ya ukumbi wa Indian Spring ulipo Silver Spring Maryland
Na  Abou Sharty Washington DC 
 Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe "Libe", siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim...

 

10 years ago

Michuzi

TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014 HAITAMBUI UONGOZI MPYA WA ATC METRO 2014

Tunapenda kutoa taarifa kwa Umma wa DMV kuwa, Team Libe for DMV Community President 2014 hatutambui uongozi mpya ulio tangazwa na Tume ya Uchaguzi jana August 11, 2014.   Msimamo wetu ni kuwa; tunapinga matokeo ya uchaguzi ulio fanyika August 9, 2014 kwani ulikuwa sio wa haki na ni BATILI.  
“Team Libe for DMV Community President 2014” haitatoa ushirikiano wowote na uongozi wa Jumuia ya Association of Tanzania Community in DMV.  Pia tunawaasa wale wapenzi wetu kuto kutoa ushirikiano wowote na...

 

11 years ago

Michuzi

SHUKRANI: TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014

Liberatus "Libe"  mgombea nafasi ya Urais
Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa kila mmoja aliye weza kufika kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara jana Meadowbroak Park. Pia tunapenda kuwashukuru wale walio kuwa na nia ya kuja lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao wakashindwa kutimiza hadhma hiyo.  Asanteni!
Pia, Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kuwashukuru wagombea wengine kwa kujitokeza na kuonyesha ushirikiano chanya na...

 

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA FUTARI YA PAMOJA WASHINGTON DC- TAMCO



Assalam Alaykum, Wa Rahmatullah, Wa Barakatuhu
Uongozi wa Tanzanian Muslim Community Washington DC Metro (TAMCO) unawakaribisha 
kwenye Kufuturu Kwa Pamoja Kila Jumammosi na Jumapili za Mwezi wa Ramadhani.
Tunaombwa tuudhurie na tuwajulishe wengine wote:- 
Jumamosi, June 20th, 2015 – Glenmont Park Activity Building 
Address:  3201 Randolph Road, Wheaton, MD 20906
Jumapili, June 21st, 2015 – July 12, 2015  (Siku Zote Zilizobaki):
Indian Springs-Terrace Park Activity Building
Address:  9717 Lawndale...

 

10 years ago

Vijimambo

3 DRIVERS NEEDED ASAP -WASHINGTON METRO AREA !!

3 DRIVERS WITH  "PSC LICENSE "  STARTS IMMEDIATELY -CALL 301-661-6207

 

9 years ago

TheCitizen

Muslim community calls for peaceful elections

A call was made Ahmadiyya Muslim Community for Tanzanians to maintain peace ahead of the General election slated for October 25.

 

10 years ago

Daily News

Sunni Muslim Jamaat Community wrangle taken to Appeals Court


Sunni Muslim Jamaat Community wrangle taken to Appeals Court
Daily News
RELIGIOUS leadership cr rocking the Sunni Muslim Jamaat Community has taken a new twt, with one of the leaders, Mohamed Abdulmajid, seeking intervention of the Court of Appeal. In h action, Mr Abdulmajid who the applicant, moving the appeals court to ...

 

9 years ago

Vijimambo

Tanzania Muslim Community of Houston Presents Eid El-Hajj BBQ

Tanzania Muslim Community of Houston jioni ya leo ilifanya BBQ Party ya Eid El Hajj kwenye viwanja vya Ray Miller Park katika barabara ya Eldridge , Kamera ya MlongoKihoma Blog ilikuwepoi\ kukupa picha za matukio.

Waumini wakipata Salat Maghrib


Salat Maghrib
Abou with Zaynab
Zaina & Fue

Chef Ally Sued akiwa kazini






































































 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA WAISLAM WAISHIO DC,MARYLAND, VIRGINIA NCHINI MAREKANI (TAMCO) WALIVYO ADHIMISHA TAMCO FAMILY DAY


Watatu kutoka kulia ni mwenyekiti wa tamco Bw. Ali Mohamed akifutiwa na muasisi alietowa wazo la kuanzishwa jumuiya ya waislam ya watanzania  waishio washington DC na vitongoji vyake, mzee Yussf Kalala wa nne kutoka kulia, wakiwa na baadhi ya viongozi wengine katika siku ya TAMCO FAmily Day
Muasisisi wa TAMCO, Mzee Yussuf Kalala akiwakaribisha meza kuu Ali kiba na mdogo wake Abdu Kiba kuwasalimia watanzania waliohudhuria katika TAMCO Family Day TAMCO Family Day hufanyika kila mwaka kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani