SHUKRANI: TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014
Liberatus "Libe"
mgombea nafasi ya Urais
Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa kila mmoja aliye weza kufika kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara jana Meadowbroak Park. Pia tunapenda kuwashukuru wale walio kuwa na nia ya kuja lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao wakashindwa kutimiza hadhma hiyo. Asanteni!
Pia, Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kuwashukuru wagombea wengine kwa kujitokeza na kuonyesha ushirikiano chanya na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi13 Aug
TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014 HAITAMBUI UONGOZI MPYA WA ATC METRO 2014
“Team Libe for DMV Community President 2014” haitatoa ushirikiano wowote na uongozi wa Jumuia ya Association of Tanzania Community in DMV. Pia tunawaasa wale wapenzi wetu kuto kutoa ushirikiano wowote na...
11 years ago
Michuzi08 Jul
Libe ashiriki iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t34.0-12/10524472_10154309166070247_469083183_n.jpg?oh=ba473d2fd0cd357f62b800782548fd06&oe=53BC49A5&__gda__=1404835316_5ba25e462991a81354d3dd2cfb096e61)
Na Abou Sharty Washington DC
Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe "Libe", siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim...
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Libe aungana na iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)
Na Abou Sharty Washington DC
Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”, siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim Community (TAMTCO), iliopo Washington DC Metro, kwa ajili ya kuonyesha umoja na mshikamano dhidi ya Jumuiya ya mbali mbali ziliopo hapa DMV.
Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”. (wapili kulia) akipata picha ya pamoja na ...
11 years ago
Michuzi24 Jun
Sera za Libe Mgombeya wa Jumuiya ya waTanzania DMV
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-osg-FvSoJuo/U7xYOqaUa2I/AAAAAAAFzCo/bzEQInVQiy0/s72-c/sum4.jpg)
TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU: KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO
Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi. Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s72-c/png;base64c5152851411af50e.png)
SHUKRANI ZA DHATI KWA WANA-DMV
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmL7iy3TJag/U-fwvGUhd_I/AAAAAAAF-Qw/K6YfDRzrG2o/s1600/png;base64c5152851411af50e.png)
Ushirikiano na Upendo mlio onyesha ndio msingi utakaotuletea maendeleo ya kweli.Mbele yetu tuna kazi kubwa, lakini kwa moyo mliyoonyesha nina imani tutaweza.Asanteni saana. Palipo na Umoja pana Ushindi. PS
11 years ago
Michuzi14 Apr
Shukrani kwa kufanikisha Free Health Screening Washington DMV
![Thank You, script lettering](http://www.kwanzaproduction.com/wp-content/uploads/2014/04/Thank-You..jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-GRHZbWpXVlA/VX8_n9LdZBI/AAAAAAADr9U/BVrGdwYgaEg/s72-c/IMG-20150612-WA0000%2B%25282%2529.jpg)
SHUKRANI KUTOKA KWA DR TEMBA KWENDA KWA NEW YORK TANZANIA COMMUNITY PAMOJA NA NDUGU NA MARAFIKI
![](http://1.bp.blogspot.com/-GRHZbWpXVlA/VX8_n9LdZBI/AAAAAAADr9U/BVrGdwYgaEg/s640/IMG-20150612-WA0000%2B%25282%2529.jpg)
Mwalimu Flavian Temba 6-09-2015
To All: We wish to acknowledge the many expressions from friends and love one during this time bereavement. Words cannot express the strength you and the Diaspora and Bongo community have given us during this difficult time.
May Mwalimu Flavian Temba's bright spirit live on in us all. Sincerely
Temba Anicetus family
![](http://2.bp.blogspot.com/-45GzZUgnLJI/VX8_o7cwAKI/AAAAAAADr90/mcmP4x0Nn5c/s640/IMG-20150613-WA0026.jpg)
His wife, Salome Flavian Temba, family and friends giving blessing on his eternal journey in peace
![](http://3.bp.blogspot.com/-iP99oj2hCF4/VX8_pwpBGsI/AAAAAAADr-E/ja-yZyNQiFI/s640/IMG-20150613-WA0035%2B%25281%2529.jpg)
Godson Philip Kilewo, families, and...
10 years ago
Michuzi21 Aug
The influence of a single individual in the DMV Tanzania community
One very common theme or I should say person comes to mind when I think...