Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU: KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO

MHE IDDY SANDALY
Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu  tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi.  Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU

Mr. Iddi Sandaly,
Bachelors in Accounting, MBA, CPA, CGMA
Controller at
Property Management Company
KUSHIRIKIANA NA KINA MAMA NA WATANZANIA WOTE HAPA DMV
Kwa miaka mitatu mfululizo nimekuwa nikishiriki na kushirikiana na kikundi cha kina mama kwenye matembezi hiari ya Kansa. Kikundi cha kina mama wa DMV ndani yake kukiwa na watanzania wenzetu walio pitia janga la Kansa wamekuwa mbele kuwaomba na kuwataka watanzania wachangie kwenye utafiti wa Kansa na pia kuwaomba watanzania wote wafanyiwe...

 

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI DMV: UPOTOSHAJI WA LIBERATATUS MWANGOMBE- TEAM IDDI SANDALY

Iddi Sandaly Mgombea nafasi ya Urais DMV
Ndugu zetu wana DMV. Kama mnavyomjuwa na kuijuwa timu Iddi (TEAM TANZANIA) kwamba huwa hatupendelei kuingia kwenye malumbano wala kwenye shutuma kwa wagombea wengine. Lakini tumeona kuna haja ya kuweka wazi au kuondoa upotoshaji wa Liberatus Mwangombe anao wafanya ninyi wana DMV, Watanzania na Wanadiaspora.
Hatutozungumzia kuhusu kikao kizima na Muheshimiwa Balozi kwani kiongozi Bora ni yule anaeweka Mijadala inayofanyika ya kuendeleza jumuiya mbele...

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA DMV SOCCER TEAM, DIASPORA WORLD CUP 2015

TUTAKUWA NA MECHI JUMAPILI HII, MAY 3, 2015, SAA 1 JIONI (7PM) DHIDI YA ZIMBABWE
ANUANI YA UWANJA: HEURICH STADIUM6001 Ager Road, Hyyattsville, MD 20782
TANZANIA DMV SOCCER TEAM INAOMBA MCHANGO WAKO WA HALI NA MALI. TAFADHARI BONYEZA HAPA KUCHANGIA SAIDIA TANZANIA DMV SOCCER TEAM 
Tunatoa changamoto kwa wazazi wenye watoto wa "High school" na "College" wanao taka kujiunga na TANZANIA DMV SOCCER TEAM wawasiliane nasi
MWENYE MOYO WA KUJIUNGA NA TIMU AU KUSAIDIA WASILIANA AU NENDA KWENYE LINK HAPO...

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA TA WATANZANIA DMV INAOMBA USHIRIKIANO WAKO KATIKA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA EBOLA




   JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAOMBA USHIRIKANO WAKO KATIKA JUHUDI  ZA KUPAMBANA NA EBOLA




 

9 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka

 Mkuu wa kitengo cha Rasilimali watu wa benki ya Exim Tanzania  Bw. Frederick Kanga (katikati) akimfanyia usahili mmoja wa watanzania anayeishi nchini Marekani Bw. Paul Rupia mara baada ya Mkutano wa Uajiri barani  Afrika (Career Africa Recruitment Summit 2015) uliofanyika mjini New York, Marekani hivi karibuni. Anayeshuhudia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo Bw Dinesh Arora. Benki hiyo imeahidi kutoa fursa sawa za ajira kwa Watanzania wote wakiwemo wale wanaoishi nje ya nchi ili...

 

11 years ago

TheCitizen

We don’t fear SA team, says Dar team coach

Newly appointed Serengeti Boys coach, Hababuu Omari says his team have nothing to fear ahead of the 2015 Africa Youth Championship qualifier against South Africa’s Amajimbos.

 

11 years ago

Michuzi

SHUKRANI: TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014

Liberatus "Libe"  mgombea nafasi ya Urais
Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa kila mmoja aliye weza kufika kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara jana Meadowbroak Park. Pia tunapenda kuwashukuru wale walio kuwa na nia ya kuja lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao wakashindwa kutimiza hadhma hiyo.  Asanteni!
Pia, Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kuwashukuru wagombea wengine kwa kujitokeza na kuonyesha ushirikiano chanya na...

 

10 years ago

Michuzi

TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014 HAITAMBUI UONGOZI MPYA WA ATC METRO 2014

Tunapenda kutoa taarifa kwa Umma wa DMV kuwa, Team Libe for DMV Community President 2014 hatutambui uongozi mpya ulio tangazwa na Tume ya Uchaguzi jana August 11, 2014.   Msimamo wetu ni kuwa; tunapinga matokeo ya uchaguzi ulio fanyika August 9, 2014 kwani ulikuwa sio wa haki na ni BATILI.  
“Team Libe for DMV Community President 2014” haitatoa ushirikiano wowote na uongozi wa Jumuia ya Association of Tanzania Community in DMV.  Pia tunawaasa wale wapenzi wetu kuto kutoa ushirikiano wowote na...

 

11 years ago

TheCitizen

JK’s advice to Team Tanzania

 President Jakaya Kikwete has challenged Team Tanzania to be the country’s good ambassadors at the 2014 Commonwealth Games, which roar into life next week in Glasgow, Scotland.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani