TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU: KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-osg-FvSoJuo/U7xYOqaUa2I/AAAAAAAFzCo/bzEQInVQiy0/s72-c/sum4.jpg)
MHE IDDY SANDALY
Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi. Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi25 Jul
TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU
Bachelors in Accounting, MBA, CPA, CGMA
Controller at
Property Management Company
KUSHIRIKIANA NA KINA MAMA NA WATANZANIA WOTE HAPA DMV
Kwa miaka mitatu mfululizo nimekuwa nikishiriki na kushirikiana na kikundi cha kina mama kwenye matembezi hiari ya Kansa. Kikundi cha kina mama wa DMV ndani yake kukiwa na watanzania wenzetu walio pitia janga la Kansa wamekuwa mbele kuwaomba na kuwataka watanzania wachangie kwenye utafiti wa Kansa na pia kuwaomba watanzania wote wafanyiwe...
11 years ago
Michuzi21 Jul
UCHAGUZI DMV: UPOTOSHAJI WA LIBERATATUS MWANGOMBE- TEAM IDDI SANDALY
Ndugu zetu wana DMV. Kama mnavyomjuwa na kuijuwa timu Iddi (TEAM TANZANIA) kwamba huwa hatupendelei kuingia kwenye malumbano wala kwenye shutuma kwa wagombea wengine. Lakini tumeona kuna haja ya kuweka wazi au kuondoa upotoshaji wa Liberatus Mwangombe anao wafanya ninyi wana DMV, Watanzania na Wanadiaspora.
Hatutozungumzia kuhusu kikao kizima na Muheshimiwa Balozi kwani kiongozi Bora ni yule anaeweka Mijadala inayofanyika ya kuendeleza jumuiya mbele...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--YEaw6XyXSA/VUPvedG58dI/AAAAAAAABPQ/qgqnw4_KH3E/s72-c/Diaspora%2BW%2Bcup.jpg)
TANZANIA DMV SOCCER TEAM, DIASPORA WORLD CUP 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/--YEaw6XyXSA/VUPvedG58dI/AAAAAAAABPQ/qgqnw4_KH3E/s1600/Diaspora%2BW%2Bcup.jpg)
TANZANIA DMV SOCCER TEAM INAOMBA MCHANGO WAKO WA HALI NA MALI. TAFADHARI BONYEZA HAPA KUCHANGIA SAIDIA TANZANIA DMV SOCCER TEAM
Tunatoa changamoto kwa wazazi wenye watoto wa "High school" na "College" wanao taka kujiunga na TANZANIA DMV SOCCER TEAM wawasiliane nasi
MWENYE MOYO WA KUJIUNGA NA TIMU AU KUSAIDIA WASILIANA AU NENDA KWENYE LINK HAPO...
10 years ago
Vijimambo13 Nov
JUMUIYA TA WATANZANIA DMV INAOMBA USHIRIKIANO WAKO KATIKA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA EBOLA
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAOMBA USHIRIKANO WAKO KATIKA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA EBOLA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s72-c/NY%2B1.jpg)
Benki ya Exim yatangaza fursa sawa ya ajira kwa watanzania bila kujali mipaka
![](http://2.bp.blogspot.com/-A3jNPpz_K1k/VkSOScwNq2I/AAAAAAADCJ4/ZnT98pE_3wk/s640/NY%2B1.jpg)
11 years ago
TheCitizen06 Jul
We don’t fear SA team, says Dar team coach
11 years ago
Michuzi30 Jun
SHUKRANI: TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014
![](https://3.bp.blogspot.com/-abT2YIqzXW8/U7A-uOzAJGI/AAAAAAAAIVk/iLmCPVgg2CI/s1600/Libe+.jpg)
Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa kila mmoja aliye weza kufika kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara jana Meadowbroak Park. Pia tunapenda kuwashukuru wale walio kuwa na nia ya kuja lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao wakashindwa kutimiza hadhma hiyo. Asanteni!
Pia, Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kuwashukuru wagombea wengine kwa kujitokeza na kuonyesha ushirikiano chanya na...
10 years ago
Michuzi13 Aug
TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014 HAITAMBUI UONGOZI MPYA WA ATC METRO 2014
“Team Libe for DMV Community President 2014” haitatoa ushirikiano wowote na uongozi wa Jumuia ya Association of Tanzania Community in DMV. Pia tunawaasa wale wapenzi wetu kuto kutoa ushirikiano wowote na...
11 years ago
TheCitizen16 Jul
JK’s advice to Team Tanzania