Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAGUZI DMV: UPOTOSHAJI WA LIBERATATUS MWANGOMBE- TEAM IDDI SANDALY

Iddi Sandaly Mgombea nafasi ya Urais DMV
Ndugu zetu wana DMV. Kama mnavyomjuwa na kuijuwa timu Iddi (TEAM TANZANIA) kwamba huwa hatupendelei kuingia kwenye malumbano wala kwenye shutuma kwa wagombea wengine. Lakini tumeona kuna haja ya kuweka wazi au kuondoa upotoshaji wa Liberatus Mwangombe anao wafanya ninyi wana DMV, Watanzania na Wanadiaspora.
Hatutozungumzia kuhusu kikao kizima na Muheshimiwa Balozi kwani kiongozi Bora ni yule anaeweka Mijadala inayofanyika ya kuendeleza jumuiya mbele...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HAPPY BIRTHDAY RAIS WA DMV KAKA IDDI SANDALY


Timu ya Vijimambo inakutakia happy Birthday. Tunakuombea mungu akupe afya njema na uendeleze moyo wako huo wa kujitolea kwa wana DMV na Diaspora kwa ujumla.

 

11 years ago

Michuzi

TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU: KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO

MHE IDDY SANDALY
Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu  tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi.  Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha...

 

11 years ago

Michuzi

Dual citizenship is Good for Tanzania - IDDI SANDALY


Tanzania’s constitution is one of the surviving few that make a natural born citizen revoke his/her citizenship upon naturalization in another country.  Ironically, foreign nationals from other countries can naturalize as Tanzanians and maintain their origin country’s citizenship, but the same is not permitted for natural born Tanzanians. 

My fellow Tanzanians need to know this:


A person could be born in Tanzania, then leave Tanzaniato go to England, and then become a British citizen. ...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU

Mr. Iddi Sandaly,
Bachelors in Accounting, MBA, CPA, CGMA
Controller at
Property Management Company
KUSHIRIKIANA NA KINA MAMA NA WATANZANIA WOTE HAPA DMV
Kwa miaka mitatu mfululizo nimekuwa nikishiriki na kushirikiana na kikundi cha kina mama kwenye matembezi hiari ya Kansa. Kikundi cha kina mama wa DMV ndani yake kukiwa na watanzania wenzetu walio pitia janga la Kansa wamekuwa mbele kuwaomba na kuwataka watanzania wachangie kwenye utafiti wa Kansa na pia kuwaomba watanzania wote wafanyiwe...

 

10 years ago

Vijimambo

IDDI SANDALY ATOA MSAADA WA COMPUTER SHULE YA SEKONDARi YA KIJIJI CHA MTIBWANI, WILAYA YA MAINA MKOANI TANGA


Rais wa DMV Bwn. Iddi Sandaly amekabidhi msaada wa computer shule ya sekondari ya Mtibwani iliyopo Kijiji cha Mtibwani Wilaya ya Maina Mkoani Tanga. Katika makabidhiano hayo Bwn. Sandaly aliongea na Walimu na wanafunzi wa sekondari hiyo na wao kumshukuru na sasa shule hiyo ndio itakua na lab ya kwanza itakayokua na computer katika Wilaya hiyo ya Maina. Rais wa DMV Bwn. Iddi Sandaly (mwenye t-shirt) nyekundu akizitoa computer kwenye mabox na kumkabidhi mwalimu. Bwn. Iddi Sandaly akifanya...

 

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: THE CASE # 398424-V: ATC METRO DMV vs Sandaly, Nyang'anyi, et al, is due for trial

THE CASE # 398424-V: The Association of Tanzania Community in America vs Sandaly, Nyang'anyi, et al
From Court room number 8A, 8th floor, Montgomery County, Rockville, Maryland. The motion filed by defendants to dismiss the election fraud case has been denied. The case is firm and intact/well and alive; will go for trial. Stay connected for more informationSolomon, Libe and the lawyer this morning after the verdict Straight from Montgomery County, courtroom  number 8A, 8th floor

THE ELECTION...

 

11 years ago

Michuzi

SHUKRANI: TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014

Liberatus "Libe"  mgombea nafasi ya Urais
Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa kila mmoja aliye weza kufika kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara jana Meadowbroak Park. Pia tunapenda kuwashukuru wale walio kuwa na nia ya kuja lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao wakashindwa kutimiza hadhma hiyo.  Asanteni!
Pia, Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kuwashukuru wagombea wengine kwa kujitokeza na kuonyesha ushirikiano chanya na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani