TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU
Mr. Iddi Sandaly,
Bachelors in Accounting, MBA, CPA, CGMA
Controller at
Property Management Company
KUSHIRIKIANA NA KINA MAMA NA WATANZANIA WOTE HAPA DMV
Kwa miaka mitatu mfululizo nimekuwa nikishiriki na kushirikiana na kikundi cha kina mama kwenye matembezi hiari ya Kansa. Kikundi cha kina mama wa DMV ndani yake kukiwa na watanzania wenzetu walio pitia janga la Kansa wamekuwa mbele kuwaomba na kuwataka watanzania wachangie kwenye utafiti wa Kansa na pia kuwaomba watanzania wote wafanyiwe...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-osg-FvSoJuo/U7xYOqaUa2I/AAAAAAAFzCo/bzEQInVQiy0/s72-c/sum4.jpg)
TEAM IDDI "TEAM TANZANIA" INAOMBA KURA ZENU: KUWAKUTANISHA WATANZANIA KAMA WANA DMV BILA KUJALI MENGINEYO
Katika Historia ya DMV kwa Miaka miwili mfululizo ya Uongozi wangu tumeweza kuwajumuisha watanzania kwenye mambo mbali mbali. Tumeweza kufanya SUMMER PICNIC kwa watanzania wote wa DMV . Tuliweza kujipanga na Kuhakikisha watoto, vijana na Wazee wanajumuishwa pamoja na kufurahia, Watanzania bila Kujali Vyama na mengineyo tuliweza kujumuika kwa pamoja na kufurahi. Lengo DMV MOJA.
Kwa Kuendeleza kuonyesha ni jinsi Gani umoja Ndio Lengo la Jumuiya na Sio Kupata Mamilioni ya Fedha...
11 years ago
Michuzi21 Jul
UCHAGUZI DMV: UPOTOSHAJI WA LIBERATATUS MWANGOMBE- TEAM IDDI SANDALY
Ndugu zetu wana DMV. Kama mnavyomjuwa na kuijuwa timu Iddi (TEAM TANZANIA) kwamba huwa hatupendelei kuingia kwenye malumbano wala kwenye shutuma kwa wagombea wengine. Lakini tumeona kuna haja ya kuweka wazi au kuondoa upotoshaji wa Liberatus Mwangombe anao wafanya ninyi wana DMV, Watanzania na Wanadiaspora.
Hatutozungumzia kuhusu kikao kizima na Muheshimiwa Balozi kwani kiongozi Bora ni yule anaeweka Mijadala inayofanyika ya kuendeleza jumuiya mbele...
11 years ago
TheCitizen06 Jul
We don’t fear SA team, says Dar team coach
11 years ago
TheCitizen16 Jul
JK’s advice to Team Tanzania
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
EY Tanzania team donated US$ 3,500 to fight brutality against people with albinism in Tanzania
On 2nd March 2015 staff and Partners of EY Tanzania hosted Ms. Maria Stanford a representative from the society of people with albinism in Tanzania at EY offices in Oysterbay.
The representative, herself a victim of brutality against people with albinism lost both of her arms to wicked people who broke into her house located near Lake Victoria in North-western Tanzania and managed to overcome her as she slept, cut-off and vanished with both her hands.
Although she later identified the...
11 years ago
TheCitizen20 Jul
Let’s rally behind Stars, Team Tanzania
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-09V4Y_J8qnQ/VPmbJaqDKbI/AAAAAAAHIA0/II3XheHrzkc/s72-c/unnamedn.jpg)
EY Tanzania team donated US$ 3,500 and TZS 712,000 to fight brutality against people with albinism in Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-09V4Y_J8qnQ/VPmbJaqDKbI/AAAAAAAHIA0/II3XheHrzkc/s1600/unnamedn.jpg)
The representative, herself a victim of brutality against people with albinism lost both of her arms to wicked people who broke into her house located near Lake Victoria in North-western Tanzania and managed to overcome her as she slept, cut-off and vanished with both her hands.
Although she later identified the...
9 years ago
East African Business Week01 Nov
EAC team covers Tanzania elections
East African Business Week
East African Business Week
ARUSHA, TANZANIA - The East African Community (EAC) Election Observation Mission (EOM) to the General Elections in Tanzania reported no major malpractices. It was led by former Kenya vice president, Moody Awori (below), whose team deployed in all ...
EA leader lauds Tanzania for investing in higher educationDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 3
10 years ago
Daily News15 Apr
Tanzania handball team invited to Rwanda
Daily News
TANZANIA is among five countries that have been invited to a two-day Genocide Memorial Tournament slated for June 6-7 in Kigali, Rwanda. According to reports, the Rwanda National Handball Federation (Ferwahand) has sent invitations to Burundi, DR ...