TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014 HAITAMBUI UONGOZI MPYA WA ATC METRO 2014
Tunapenda kutoa taarifa kwa Umma wa DMV kuwa, Team Libe for DMV Community President 2014 hatutambui uongozi mpya ulio tangazwa na Tume ya Uchaguzi jana August 11, 2014. Msimamo wetu ni kuwa; tunapinga matokeo ya uchaguzi ulio fanyika August 9, 2014 kwani ulikuwa sio wa haki na ni BATILI.
“Team Libe for DMV Community President 2014” haitatoa ushirikiano wowote na uongozi wa Jumuia ya Association of Tanzania Community in DMV. Pia tunawaasa wale wapenzi wetu kuto kutoa ushirikiano wowote na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi30 Jun
SHUKRANI: TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014
![](https://3.bp.blogspot.com/-abT2YIqzXW8/U7A-uOzAJGI/AAAAAAAAIVk/iLmCPVgg2CI/s1600/Libe+.jpg)
Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kutoa shukrani za dhati kwa kila mmoja aliye weza kufika kwenye mkutano wa kampeni wa hadhara jana Meadowbroak Park. Pia tunapenda kuwashukuru wale walio kuwa na nia ya kuja lakini kwa sababu zilizo nje ya uwezo wao wakashindwa kutimiza hadhma hiyo. Asanteni!
Pia, Team Libe for DMV Community President 2014 tunapenda kuwashukuru wagombea wengine kwa kujitokeza na kuonyesha ushirikiano chanya na...
11 years ago
Michuzi08 Jul
Libe ashiriki iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t34.0-12/10524472_10154309166070247_469083183_n.jpg?oh=ba473d2fd0cd357f62b800782548fd06&oe=53BC49A5&__gda__=1404835316_5ba25e462991a81354d3dd2cfb096e61)
Na Abou Sharty Washington DC
Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe "Libe", siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim...
11 years ago
Dewji Blog10 Jul
Libe aungana na iftar ya Tanzanian Muslim Community in Washington DC Metro(TAMCO)
Na Abou Sharty Washington DC
Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”, siku ya Jumapili July 6, 2014 alipata fursa ya kujumuika katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na Tanzanian Muslim Community (TAMTCO), iliopo Washington DC Metro, kwa ajili ya kuonyesha umoja na mshikamano dhidi ya Jumuiya ya mbali mbali ziliopo hapa DMV.
Mgombea wa Urais wa Jumuiya ya waTanzania DMV, Bwana Liberatus Mwang’ombe “Libe”. (wapili kulia) akipata picha ya pamoja na ...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-w_ixRGGqtOg/VXYuoZpKWKI/AAAAAAAABRM/-rYReFgLK8w/s72-c/Solomon%252C%2BGini%2Band%2BLibe.jpg)
BREAKING NEWS: THE CASE # 398424-V: ATC METRO DMV vs Sandaly, Nyang'anyi, et al, is due for trial
From Court room number 8A, 8th floor, Montgomery County, Rockville, Maryland. The motion filed by defendants to dismiss the election fraud case has been denied. The case is firm and intact/well and alive; will go for trial. Stay connected for more information
![](http://2.bp.blogspot.com/-w_ixRGGqtOg/VXYuoZpKWKI/AAAAAAAABRM/-rYReFgLK8w/s640/Solomon%252C%2BGini%2Band%2BLibe.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rR83FO-GdIo/VXYupoCV9gI/AAAAAAAABRU/Sb-gsCOL2RA/s640/Court%2Broom%2B8.jpg)
THE ELECTION...
10 years ago
Vijimambo13 Jul
UCHAGUZI MDOGO WA BODI ATC-Metro DC
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUWAJULISHA WANAJUMUIYA WAKE KUWA, UCHAGUZI WA WAJUMBE WA BODI UTAFANYIKA RASMI TAREHE 01/08/2015.TAFADHALI TUMA MAOMBI KABLA YA TAREHE 18/7/2015
Kwa Maelezo zaidi Wasiliana na Vice PresidentHarriet Shangarai-Tel #240 672 1788Executive Secretary,Saidi Mwamende Tel. # 301-996-4029Assistant TreasureGerald Mude- Tel # 202-644-1829Email - uongoziatc2015@gmail.com
TUNATANGULIZA SHUKRANIATC-Metro DC
UWEPO WAKO NI UWEPO WA FIKRA ZAKO !
10 years ago
GPLTFF HAITAMBUI MABADILIKO YA UONGOZI WA COASTAL UNION
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FE61DWE-tbI/U-s0K5uYcOI/AAAAAAAF_IY/dIqCsRzCW5A/s72-c/Nembo-ya-TFF.jpg)
TFF HAITAMBUI MABADILIKO YA UONGOZI COASTAL UNION
![](http://2.bp.blogspot.com/-FE61DWE-tbI/U-s0K5uYcOI/AAAAAAAF_IY/dIqCsRzCW5A/s1600/Nembo-ya-TFF.jpg)
Uongozi wa Coastal Union uliochaguliwa na mkutano wa uchaguzi wa klabu hiyo ndiyo ambao tunautambua, na tutaendelea kufanya nao kazi, na sio uongozi mwingine wowote ule.
Tunapenda kuwakumbusha wanachama wetu (ikiwemo Coastal Union) kuheshimu katiba ya TFF pamoja na katiba zao, kwani hazitambui mapinduzi ya...
11 years ago
Michuzi24 Jun
Sera za Libe Mgombeya wa Jumuiya ya waTanzania DMV
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-52XVCrewgFc/VKPcctRp04I/AAAAAAAG6tE/UQ7us3FJeJ0/s72-c/unnamed.jpg)
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA AHUTUBIA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-52XVCrewgFc/VKPcctRp04I/AAAAAAAG6tE/UQ7us3FJeJ0/s1600/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5T5rAqwZNDw/VKPcgErb1II/AAAAAAAG6tU/ij1bYSredpE/s1600/unnamed%2B(1).jpg)