Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAGUZI MDOGO WA BODI ATC-Metro DC



JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUWAJULISHA WANAJUMUIYA WAKE KUWA, UCHAGUZI WA WAJUMBE WA BODI UTAFANYIKA RASMI TAREHE 01/08/2015.TAFADHALI TUMA MAOMBI   KABLA YA TAREHE 18/7/2015
Kwa Maelezo zaidi Wasiliana na Vice PresidentHarriet Shangarai-Tel  #240 672 1788Executive Secretary,Saidi Mwamende Tel. # 301-996-4029Assistant TreasureGerald Mude- Tel # 202-644-1829Email  - uongoziatc2015@gmail.com
TUNATANGULIZA SHUKRANIATC-Metro DC

UWEPO WAKO NI UWEPO WA FIKRA ZAKO !

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: THE CASE # 398424-V: ATC METRO DMV vs Sandaly, Nyang'anyi, et al, is due for trial

THE CASE # 398424-V: The Association of Tanzania Community in America vs Sandaly, Nyang'anyi, et al
From Court room number 8A, 8th floor, Montgomery County, Rockville, Maryland. The motion filed by defendants to dismiss the election fraud case has been denied. The case is firm and intact/well and alive; will go for trial. Stay connected for more informationSolomon, Libe and the lawyer this morning after the verdict Straight from Montgomery County, courtroom  number 8A, 8th floor

THE ELECTION...

 

11 years ago

Michuzi

TEAM LIBE FOR DMV COMMUNITY PRESIDENT 2014 HAITAMBUI UONGOZI MPYA WA ATC METRO 2014

Tunapenda kutoa taarifa kwa Umma wa DMV kuwa, Team Libe for DMV Community President 2014 hatutambui uongozi mpya ulio tangazwa na Tume ya Uchaguzi jana August 11, 2014.   Msimamo wetu ni kuwa; tunapinga matokeo ya uchaguzi ulio fanyika August 9, 2014 kwani ulikuwa sio wa haki na ni BATILI.  
“Team Libe for DMV Community President 2014” haitatoa ushirikiano wowote na uongozi wa Jumuia ya Association of Tanzania Community in DMV.  Pia tunawaasa wale wapenzi wetu kuto kutoa ushirikiano wowote na...

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo

TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika. 
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...

 

11 years ago

Habarileo

Uchaguzi mdogo janga Chadema

Dk Kitila MkumboMATOKEO ya uchaguzi mdogo uliofanyika nchi nzima katika kata 27, zilizopo ndani ya mikoa 15 na kuipa CCM ushindi yamerejesha kilio katika uongozi wa Chadema.

 

11 years ago

Habarileo

Hekaheka uchaguzi mdogo Kiembesamaki zaanza

TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeanza kutoa fomu kwa ajili ya wagombea wa uchaguzi mdogo wa jimbo la Kiembesamaki, utakaofanyika Februari 2, mwaka huu.

 

11 years ago

GPL

UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI WAANZA NCHINI

Zoezi la kupiga kura katika Uchaguzi Mdogo wa Madiwani kujaza viti vilivyo wazi kwenye kata 26 zilizoko katika halmashauri 23 umeanza katika vituo mbalimbali nchini!

 

11 years ago

BBCSwahili

CCM yashinda uchaguzi mdogo wa ubunge

Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania kimenyakua asilimia 79.4 ya kura zilizopigwa katika Jimbo la Kalenga

 

11 years ago

Habarileo

Waonywa mamluki siku ya uchaguzi mdogo

VYAMA vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mdogo katika kata ya Malindo wilayani hapa vimeonywa kutopeleka mamluki katika kata hiyo siku ya uchaguzi unaofanyika leo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapanga yaanza uchaguzi mdogo Arusha

UCHAGUZI mdogo wa udiwani Kata ya Sombetini umeanza kwa vurugu baada ya wanachama watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kujeruhiwa na kundi la vijana walinzi wa Chama Cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani