Waonywa mamluki siku ya uchaguzi mdogo
VYAMA vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mdogo katika kata ya Malindo wilayani hapa vimeonywa kutopeleka mamluki katika kata hiyo siku ya uchaguzi unaofanyika leo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziTume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
11 years ago
Habarileo11 Feb
Uchaguzi mdogo janga Chadema
MATOKEO ya uchaguzi mdogo uliofanyika nchi nzima katika kata 27, zilizopo ndani ya mikoa 15 na kuipa CCM ushindi yamerejesha kilio katika uongozi wa Chadema.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhxCNm9SXxh425y1GW0lH4Pa9zRqe8Qw1OgcTOHkFWjRsJ5p8nmO3*QgzYv3pdmcxMMDEnpF6gocAzt-gS3QYVCX/UCHAGUZI.jpg)
UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI WAANZA NCHINI
10 years ago
Vijimambo13 Jul
UCHAGUZI MDOGO WA BODI ATC-Metro DC
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUWAJULISHA WANAJUMUIYA WAKE KUWA, UCHAGUZI WA WAJUMBE WA BODI UTAFANYIKA RASMI TAREHE 01/08/2015.TAFADHALI TUMA MAOMBI KABLA YA TAREHE 18/7/2015
Kwa Maelezo zaidi Wasiliana na Vice PresidentHarriet Shangarai-Tel #240 672 1788Executive Secretary,Saidi Mwamende Tel. # 301-996-4029Assistant TreasureGerald Mude- Tel # 202-644-1829Email - uongoziatc2015@gmail.com
TUNATANGULIZA SHUKRANIATC-Metro DC
UWEPO WAKO NI UWEPO WA FIKRA ZAKO !
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mapanga yaanza uchaguzi mdogo Arusha
UCHAGUZI mdogo wa udiwani Kata ya Sombetini umeanza kwa vurugu baada ya wanachama watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kujeruhiwa na kundi la vijana walinzi wa Chama Cha...
11 years ago
GPLUPDATES: MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI
10 years ago
Habarileo28 Nov
‘Mwitikio wa kujiandikisha uchaguzi wa mitaa ni mdogo’
JUKWAA la Kupigania Sera (Policy Forum) limesema licha ya kubakia siku mbili za kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura za uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14, mwaka huu, bado mwitikio wa wananchi kujiandikisha ni mdogo, kwani waliojitokeza ni wachache.
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
CCM yashinda uchaguzi mdogo wa ubunge