‘Mwitikio wa kujiandikisha uchaguzi wa mitaa ni mdogo’
JUKWAA la Kupigania Sera (Policy Forum) limesema licha ya kubakia siku mbili za kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura za uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14, mwaka huu, bado mwitikio wa wananchi kujiandikisha ni mdogo, kwani waliojitokeza ni wachache.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xlHaTtzECyk/VGyyuN93GcI/AAAAAAAGySQ/SRw1nh7RMhk/s72-c/DSC_0322.jpg)
TAMISEMI YATANGAZA TAREHE YA KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xlHaTtzECyk/VGyyuN93GcI/AAAAAAAGySQ/SRw1nh7RMhk/s1600/DSC_0322.jpg)
====== ======== =====
Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Bwana Kharist Michael Luanda amesema wananchi wanapaswa kujiandikisha...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s72-c/MMGM8382.jpg)
TAMKO LA KIKUNDI KAZI CHA SERIKALI ZA MITAA CHA POLICY FORUM KUHUSU UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-qqFxjgi9sKQ/U8kYyK3L9hI/AAAAAAAF3YY/uYKNkkaYlUo/s1600/MMGM8382.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nhubQhZpWwc/U8kYyb0ubPI/AAAAAAAF3Yc/vWolIRDUZ5Q/s1600/MMGM8396.jpg)
11 years ago
MichuziTume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VpQEjSa0VSI/Vbn-JGWzcDI/AAAAAAABS5w/JqIXLZiBRgk/s72-c/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI (NEC) YAONGEZA MUDA WA KUJIANDIKISHA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-VpQEjSa0VSI/Vbn-JGWzcDI/AAAAAAABS5w/JqIXLZiBRgk/s640/140131072218_tanzania_elections_512x288_afp.jpg)
5 years ago
MichuziTUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YAHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamiiTUME ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) imesema imeridhishwa na muamko wa wananchi katika mikoa yote ambao wameuonesha kwenye uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.
Kwa mujibu wa NEC Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani walikuwa wamepewa fursa hiyo ya kujiandikisha kuanzia Februari 14 hadi Februari 20 mwaka huu ambapo wananchi wengi wa mikoa hiyo wamejitokeza huku wale ambao bado hawajiandikisha...
11 years ago
Habarileo11 Feb
Uchaguzi mdogo janga Chadema
MATOKEO ya uchaguzi mdogo uliofanyika nchi nzima katika kata 27, zilizopo ndani ya mikoa 15 na kuipa CCM ushindi yamerejesha kilio katika uongozi wa Chadema.
10 years ago
Vijimambo13 Jul
UCHAGUZI MDOGO WA BODI ATC-Metro DC
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUWAJULISHA WANAJUMUIYA WAKE KUWA, UCHAGUZI WA WAJUMBE WA BODI UTAFANYIKA RASMI TAREHE 01/08/2015.TAFADHALI TUMA MAOMBI KABLA YA TAREHE 18/7/2015
Kwa Maelezo zaidi Wasiliana na Vice PresidentHarriet Shangarai-Tel #240 672 1788Executive Secretary,Saidi Mwamende Tel. # 301-996-4029Assistant TreasureGerald Mude- Tel # 202-644-1829Email - uongoziatc2015@gmail.com
TUNATANGULIZA SHUKRANIATC-Metro DC
UWEPO WAKO NI UWEPO WA FIKRA ZAKO !
11 years ago
BBCSwahili17 Mar
CCM yashinda uchaguzi mdogo wa ubunge
11 years ago
Tanzania Daima23 Jan
Mapanga yaanza uchaguzi mdogo Arusha
UCHAGUZI mdogo wa udiwani Kata ya Sombetini umeanza kwa vurugu baada ya wanachama watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kujeruhiwa na kundi la vijana walinzi wa Chama Cha...