Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi mdogo janga Chadema

Dk Kitila MkumboMATOKEO ya uchaguzi mdogo uliofanyika nchi nzima katika kata 27, zilizopo ndani ya mikoa 15 na kuipa CCM ushindi yamerejesha kilio katika uongozi wa Chadema.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

UCHAGUZI MDOGO KALENGA: KAMATI KUU YA CHADEMA KUKUTANA KWA DHARURA FEB 14, 2014

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMATI KUU YA CHADEMA KUKUTANA KWA DHARURA KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) itakutana kwa ajili ya kikao cha dharura, Februari 14, mwaka huu, jijini Dar es Salaam. Katika kikao hicho, Kamati Kuu itajadili na kufanya uteuzi wa mwisho wa jina la mgombea ubunge wa CHADEMA katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, unaotarajiwa kufanyika Machi 16, mwaka huu....

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA,CCM YAZIDI KUIVURUGA CHADEMA,YAMNG`OA MWENYEKITI WAKE.

 Wananchi wa Kijiji cha Kikombwe wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni ya uchaguzi mdogo wa CCM,jimbo la Kalenga ,wakimsikiliza mgombea Ubunge wa jimbo hilo kupitia chama cha CCM,Ndugu Godfrey Mgimwa akijinadi na kuwaomba kura kwa ridhaa yao awaongoze kama Mbunge MWENYEKITI wa Kitongoji cha Lupembelwasenga, Jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini, kwa tiketi ya Chadema, Ezekiel Kibiki akikabidhi kadi ya chama hicho kwa Mwenyekiti wa CCM Iringa Vijijini Delfina Mtavilalo, baada ya...

 

11 years ago

Michuzi

CCM YATOA SHUKRANI KWA WANANCHI KUIMWAGA CHADEMA KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI ULIOFANYIKA JANA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewashukuru Watanzania kwa kukiamini na kukipatia ushindi wa kishindo katika uchaguzi mdogo wa udiwani uliofanyika jana katika kata 27 na CCM kushinda kata 23. 
Akitoa shukrani hizo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema leo kwamba siri ya CCM kuimwaga CHADEMA ni uadilifu katika kuwatumikia wananchi na kwamba, kushindwa kwa chama hicho ni ushahidi kwamba hakikubaliki na Watanzania wamewathibitishia kwamba hawajazoea vurugu. Nape alisema CCM...

 

11 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo

TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika. 
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...

 

11 years ago

Habarileo

Waonywa mamluki siku ya uchaguzi mdogo

VYAMA vya siasa vinavyoshiriki uchaguzi mdogo katika kata ya Malindo wilayani hapa vimeonywa kutopeleka mamluki katika kata hiyo siku ya uchaguzi unaofanyika leo.

 

10 years ago

Habarileo

‘Mwitikio wa kujiandikisha uchaguzi wa mitaa ni mdogo’

JUKWAA la Kupigania Sera (Policy Forum) limesema licha ya kubakia siku mbili za kujiandikisha kwa ajili ya kupiga kura za uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14, mwaka huu, bado mwitikio wa wananchi kujiandikisha ni mdogo, kwani waliojitokeza ni wachache.

 

11 years ago

BBCSwahili

CCM yashinda uchaguzi mdogo wa ubunge

Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania kimenyakua asilimia 79.4 ya kura zilizopigwa katika Jimbo la Kalenga

 

10 years ago

Vijimambo

UCHAGUZI MDOGO WA BODI ATC-Metro DC



JUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAPENDA KUWAJULISHA WANAJUMUIYA WAKE KUWA, UCHAGUZI WA WAJUMBE WA BODI UTAFANYIKA RASMI TAREHE 01/08/2015.TAFADHALI TUMA MAOMBI   KABLA YA TAREHE 18/7/2015
Kwa Maelezo zaidi Wasiliana na Vice PresidentHarriet Shangarai-Tel  #240 672 1788Executive Secretary,Saidi Mwamende Tel. # 301-996-4029Assistant TreasureGerald Mude- Tel # 202-644-1829Email  - uongoziatc2015@gmail.com
TUNATANGULIZA SHUKRANIATC-Metro DC

UWEPO WAKO NI UWEPO WA FIKRA ZAKO !

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani