CCM YATOA SHUKRANI KWA WANANCHI KUIMWAGA CHADEMA KATIKA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI ULIOFANYIKA JANA
![](http://1.bp.blogspot.com/-BAkA4-b7wlI/Uvk12TCc6aI/AAAAAAAFMQI/tCI7yBZPbXo/s72-c/Nape-Nnauye.jpg)
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimewashukuru Watanzania kwa kukiamini na kukipatia ushindi wa kishindo katika uchaguzi mdogo wa udiwani uliofanyika jana katika kata 27 na CCM kushinda kata 23.
Akitoa shukrani hizo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema leo kwamba siri ya CCM kuimwaga CHADEMA ni uadilifu katika kuwatumikia wananchi na kwamba, kushindwa kwa chama hicho ni ushahidi kwamba hakikubaliki na Watanzania wamewathibitishia kwamba hawajazoea vurugu.
Nape alisema CCM...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-BkCaj7AmIGY/VWKDeg6Ks5I/AAAAAAAASko/Q3A0gljhNS4/s1600/IMG_9674.jpg)
MKUTANO WA CHADEMA ULIOFANYIKA TANGANYIKA PACKERS KAWE JANA JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi09 Mar
UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA,MGOMBEA UBUNGE WA CCM AKIJINADI KWA WANANCHI LEO KIJIJI CHA SADAN-IRINGA VIJIJINI
Msikilize Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akijinadi jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Sadani kata ya Mseke,Iringa Vijijini.
10 years ago
Michuzi31 Oct
9 years ago
GPL03 Nov
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0xp78SG4PkY/UxX03BEAALI/AAAAAAACbkw/L17ddmPV2z8/s72-c/11.jpg)
KAMPENI UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA,CCM YAZIDI KUIVURUGA CHADEMA,YAMNG`OA MWENYEKITI WAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-0xp78SG4PkY/UxX03BEAALI/AAAAAAACbkw/L17ddmPV2z8/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-l2fvY8hMUX0/UxX19gFGvUI/AAAAAAACbmI/NokrkODfpd0/s1600/1.+MWENYEKITI+wa+Kitongoji+cha+Lupembelwasenga,+Jimbo+la+Kalenga,+Iringa+Vijijini,+kwa+tiketi+ya+Chadema,+Ezekiel+Kibiki.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-b4RbCQetRX4/UvcZ9apUmYI/AAAAAAAFL3w/iQ_wKwv76W8/s72-c/unnamed+(21).jpg)
Membe afunga kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Udiwani kata ya kiwalala
![](http://2.bp.blogspot.com/-b4RbCQetRX4/UvcZ9apUmYI/AAAAAAAFL3w/iQ_wKwv76W8/s1600/unnamed+(21).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X8BfdyW4gIM/UzcQ22GmcxI/AAAAAAAFXWA/MD8lv8Qptho/s72-c/40.jpg)
CCM YAENDELEA NA MBIO ZAKE KATIKA KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE
![](http://1.bp.blogspot.com/-X8BfdyW4gIM/UzcQ22GmcxI/AAAAAAAFXWA/MD8lv8Qptho/s1600/40.jpg)
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Hondogo,Kata ya Mandera wakati wa muendelezo wa Mikutano yake ya Kampeni za kuomba ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo hilo,leo Machi 29,2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-gEIx4ac8W9M/UzcSkgK5OtI/AAAAAAAFXXQ/Q6YHvn6b-zQ/s1600/49.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe,Suleiman Jaffo akiwahutubia wananchi wa Kijiji cha Mandera Kibaoni wakati akimuombea Kura Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi CCM,Ridhiwani Jakaya Kikwete kwenye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/9pVNH1qXqqxQSKXKvxSGUFMFz9TtxF3Bs*OBQXiDz1wB4BtRN-5TARspxoKApgqvscQTWUMrnSOvL9*XVF-pyW7xqpuA2LO1/Chadema_logo.jpg)
UCHAGUZI MDOGO KALENGA: KAMATI KUU YA CHADEMA KUKUTANA KWA DHARURA FEB 14, 2014
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10