Tume ya Uchaguzi yavitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuwatumia mawakala kutoka ndani ya jimbo hilo
TUME ya Taifa ya uchaguzi imevitaka vyama vya siasa vinavyoshiriki kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kuhakikisha kuwa wanawatumia mawakala wanaotoka katika maeneo au vituo husika vya kupigia kura,ambao watawafahamua na kuwatambua wapiga kura wa eneo husika.
Akizungumza katika mkutano baina ya vyama vya siasa na tume hiyo,Mwenyekiti wa Tume hiyo,Jaji mstaafu Damiani Lubuva amesema kuwa pamoja na kuwa sheria haikatazi kwa vyama kuteua mawakala wa vyama kutoka majimbo mengine ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi07 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X3SliI1tTo0/Ux6mOJ9LOJI/AAAAAAAFS1M/43tPVoZ_EQc/s72-c/Ready.jpg)
CCM YAMTEUA NDG. RIDHIWANI KIKWETE KUWA MGOMBEA WA UBUNGE KWENYE UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE
![](https://4.bp.blogspot.com/-SopthPE7gj0/Ux6YTsJC85I/AAAAAAAAkYk/D48yjAdviPQ/s1600/ridh.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Kada wa CCM, Ridhiwani Kikwete kuwa mgombea wake wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mbunge wa zamani wa jimbo hilo, marehemu Said Mwanamdogo.
Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya CCM kupitia Idara ya Itikadi na uenezi CCM, imesema wakati uzinduzi wa kampeni za CCM katika uchaguzi huo utafanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kampeni za zitaongozwa na Katibu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fZiIVqaaveA/VWLZqhG4tRI/AAAAAAABPWI/4N5AFcNtmnY/s72-c/tume%2Bya%2Btaifa%2Bya%2Buchaguzi.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s72-c/IMG_7284.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s1600/IMG_7284.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r4k8IbczM2M/UxljVIAWppI/AAAAAAACbxc/ZX0IqIzw4UU/s1600/IMG_7273.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s1600/IMG_7284.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s72-c/01.jpg)
Tume ya Taifa ya Uchaguzi yasisitiza wapiga kura ndani ya Jimbo la Chalinze wajitokeze kwa wingi na kwenda kupiga kura
![](http://1.bp.blogspot.com/-acutzY_zQNk/U0BVg7cjE1I/AAAAAAAFY0E/ByY4ZD9TjNs/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7HCd_PviCZk/U0BVixbE10I/AAAAAAAFY0M/QjkmDYMw94U/s1600/02.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-j7G7mpYydxk/XuSKTqIVkkI/AAAAAAALtqw/AI0mBa1BwjkLD7vTo_qEKkR7eLz2fQpIgCLcBGAsYHQ/s72-c/J.jpg)
VYAMA VYA SIASA 12 VISIVYO NA WAWAKILISHI BUNGENI VYATANGAZA KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU OKTOBA 25,KUSIMAMISHA WAGOMBEA KILA JIMBO
Baadhi ya vyama hivyo ni DP,NRA, AAFP, UMD, UDDP, Makini, TLP,UDP, SAU, NLD, ADC, na CCK ambapo pamoja na mambo mengine vitafanya kampeni katika uchaguzi huo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mratibu wa umoja huo, Rashid Rai amesema wanatangaza kushirikiana katika uchaguzi mkuu kwenye ngazi...