Hekaheka uchaguzi mdogo Kiembesamaki zaanza
TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeanza kutoa fomu kwa ajili ya wagombea wa uchaguzi mdogo wa jimbo la Kiembesamaki, utakaofanyika Februari 2, mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hf-ryTpxXBPVMKCiWI6RSB8MGoOshwrhreDqNLIxkJrUrpgj93A4PsMIiduTukHKmtVmw7YX5ws39fWa6Knlktap9-mbUlrw/11.jpg?width=650)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUPIGA KURA UCHAGUZI MDOGO WA UWAKILISHI JIMBO LA KIEMBESAMAKI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Kituo chake cha kupigia Kura, kwa ajili ya kushiriki kupiga kura ya kumchagua Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki katika uchaguzi mdogo, uliofanyika leo mjini Zanzibar. Kushoto ni Mgombea wa Jimbo hilo, Mahmoud Thabit Kombo. Uchaguzi huo umefanyika baada ya aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo hilo, Mansour Yusuph Himid, kuvuliwa uanachama...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Kampeni uchaguzi Simba zaanza
KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, jana imetangaza orodha ya mwisho ya majina ya wagombea ambao wameruhusiwa kuanza kampeni za kunadi sera zao kwa wanachama kuelekea uchaguzi mkuu wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
Kampeini za uchaguzi zaanza Uingereza
Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Uingereza zimeanza rasmi kinyanganyiro kikitarajiwa kuchacha baina ya David Cameron na Ed Miliband
9 years ago
BBCSwahili24 Aug
Kampeni za Uchaguzi mkuu zaanza Tanzania
Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Tanzania zimeanza rasmi juzi. Oktoba 25 wananchi watapiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bK57QoQdYbU/UwsqXz2uz7I/AAAAAAAFPPk/N9QYOe2z6rg/s72-c/TASWALOGO.jpg)
FOMU ZA UCHAGUZI TASWA ZAANZA KUTOLEWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-bK57QoQdYbU/UwsqXz2uz7I/AAAAAAAFPPk/N9QYOe2z6rg/s1600/TASWALOGO.jpg)
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo zinazotolewa Idara ya Habari (Maelezo) ni Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Ada kwa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Katibu Msaidizi, Mhazini na Mhazini Msaidizi ni sh. 50,000 kwa...
11 years ago
Mwananchi22 Jan
Uchaguzi Kiembesamaki uwe kipimo cha siasa safi Zanzibar
>Kesho hekaheka za kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Kiembesamaki zinazinduliwa hapa Zanzibar kwa wagombea na vyama vyao kusaka nafasi ya uwakilishi wa wananchi katika Baraza la Wawakilishi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania