Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hekaheka uchaguzi mdogo Kiembesamaki zaanza

TUME ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imeanza kutoa fomu kwa ajili ya wagombea wa uchaguzi mdogo wa jimbo la Kiembesamaki, utakaofanyika Februari 2, mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI KUPIGA KURA UCHAGUZI MDOGO WA UWAKILISHI JIMBO LA KIEMBESAMAKI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasili kwenye Kituo chake cha kupigia Kura, kwa ajili ya kushiriki kupiga kura ya kumchagua Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki katika uchaguzi mdogo, uliofanyika leo mjini Zanzibar. Kushoto ni Mgombea wa Jimbo hilo, Mahmoud Thabit Kombo. Uchaguzi huo umefanyika baada ya aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo hilo, Mansour Yusuph Himid, kuvuliwa uanachama...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampeni uchaguzi Simba zaanza

KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, jana imetangaza orodha ya mwisho ya majina ya wagombea ambao wameruhusiwa kuanza kampeni za kunadi sera zao kwa wanachama kuelekea uchaguzi mkuu wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kampeini za uchaguzi zaanza Uingereza

Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Uingereza zimeanza rasmi kinyanganyiro kikitarajiwa kuchacha baina ya David Cameron na Ed Miliband

 

9 years ago

BBCSwahili

Kampeni za Uchaguzi mkuu zaanza Tanzania

Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Tanzania zimeanza rasmi juzi. Oktoba 25 wananchi watapiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais

 

11 years ago

Michuzi

FOMU ZA UCHAGUZI TASWA ZAANZA KUTOLEWA

Fomu za wagombea kwa ajili ya uchaguzi wa Kamati mpya ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) utakaofanyika Machi 2, 2014 jijini Dar es Salaam zimeanza kutolewa leo (Februari 24 mwaka huu).
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo zinazotolewa Idara ya Habari (Maelezo) ni Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Ada kwa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Katibu Msaidizi, Mhazini na Mhazini Msaidizi ni sh. 50,000 kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Uchaguzi Kiembesamaki uwe kipimo cha siasa safi Zanzibar

>Kesho hekaheka za kampeni za uchaguzi mdogo katika Jimbo la Kiembesamaki zinazinduliwa hapa Zanzibar kwa wagombea na vyama vyao kusaka nafasi ya uwakilishi wa wananchi katika Baraza la Wawakilishi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani