Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampeni za Uchaguzi mkuu zaanza Tanzania

Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Tanzania zimeanza rasmi juzi. Oktoba 25 wananchi watapiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kampeni uchaguzi Simba zaanza

KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, jana imetangaza orodha ya mwisho ya majina ya wagombea ambao wameruhusiwa kuanza kampeni za kunadi sera zao kwa wanachama kuelekea uchaguzi mkuu wa...

 

9 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI


Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...

 

9 years ago

Mwananchi

Staili ya Magufuli kampeni za Uchaguzi Mkuu

Juni 4, Dk John Magufuli alijitokeza ofisi za Makao Makuu ya CCM, Dodoma, saa 11.30 jioni na kuchukua fomu za kuwania urais, akiwa amevalia sare za chama chake, suruali nyeusi na shati la kijani, akisindikizwa na mbunge wa Nkenge, Asumpter Mshama na wapambe wengine wawili.

 

9 years ago

GPL

MCHAMBUZI AZUNGUMZIA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU

Mchambuzi wa Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Richard Mbunda, akizungumza jambo kwenye hafla hiyo. Baadhi ya wanahabari na wanaharakati wakiwa katika hafla hiyo. Miongoni wa waliohudhuria hafla hiyo akinyosha mkono kutaka kuchangia mada mbalimbali…

 

11 years ago

Mwananchi

Kampeni za ubunge zaanza kinyemela

Zikiwa zimesalia siku takribani 400 kabla ya kuvunjwa kwa Bunge, kampeni za chinichini zimeanza katika majimbo matano ya mkoani Kilimanjaro.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Live. Mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu — C.U.F — Kipangani Ole Pemba.

muumbela is on Mixlr Bofya hapa kucheza moja kwa moja

The post Live. Mkutano wa kampeni za uchaguzi mkuu – C.U.F – Kipangani Ole Pemba. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Bongo5

Kampeni zinafikia tamati, uchaguzi mkuu ni Jumapili hii, Chukua tahadhari

Wakati kampeni za wagombea kwenye kinyang’anyiro cha uraisi, wabunge na madiwani zikiendelea kila mtu akijaribu kujihakikishia kwa namna moja au nyingine anapata wapiga kura wengi zaidi ili aweze kushinda, kuna vitu vya hapa na pale kwa mtu mwenye uelewa unatakiwa kuwa makini navyo. Ingawa tumejaa na hisia mbalimbali kuhusu uchaguzi wa mwaka huu, kitu nilichojifunza […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani