Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampeni za ubunge zaanza kinyemela

Zikiwa zimesalia siku takribani 400 kabla ya kuvunjwa kwa Bunge, kampeni za chinichini zimeanza katika majimbo matano ya mkoani Kilimanjaro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI


Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kampeni uchaguzi Simba zaanza

KAMATI ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, jana imetangaza orodha ya mwisho ya majina ya wagombea ambao wameruhusiwa kuanza kampeni za kunadi sera zao kwa wanachama kuelekea uchaguzi mkuu wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kampeni za Uchaguzi mkuu zaanza Tanzania

Kampeni za uchaguzi mkuu nchini Tanzania zimeanza rasmi juzi. Oktoba 25 wananchi watapiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais

 

5 years ago

Michuzi

Serikali Yatoa Onyokwa Vyama vya Siasa Vitakavyoshirikiana Kinyemela Wakati wa Kampeni

 Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa nchini, Bw. Sisty Nyahoza
Na Jacquiline Mrisho - DodomaVYAMA vya Siasa ambavyo vinatarajia kushirikiana wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu bila kufuata Sheria ya Vyama vya Siasa kama ilivyoainishwa kwenye Kifungu Na.11 (a) cha Sheria hiyo vitakuwa vimevunja sheria.
Onyo hilo limetolewa leo jijini Dodoma na Msajili Msaidizi wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, wakati alipofanya mahojiano kuhusu msimamo wa ofisi yake kwenye suala la ushirikiano wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampeni za Udiwani ndani ya CCM Kata ya Magomeni zaanza kwa kishindo

ANDKatibuu Mwenezi wa CCM Kata ya Msasani, Bw. Andrew Mangole (kulia) akiwaomba wana CCM kuachana na makundi na  baadala yake wakijenge chama katika misingi imara na kuibuka na ushindi hapo baadae katika uchaguzi Mkuu. (Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).

Na Andrew Chale, modewjiblog

(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kura za maoni kwa wagombea Udiwani ndani ya Cha Cha Mapinduzi (CCM) zimepamba moto ambapo kila mgombea amejitokeza na kujinadi mbele ya wanachama ili achaguliwe kukiwakilisha...

 

11 years ago

Habarileo

'Sifanyi kampeni za ubunge'

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Wilaya (CCM) Tabora na Mjumbe wa Kamati ya Uchumi ya Jumuiya ya Wazazi Mkoa, Emmanuel Mwakasaka amekanusha kufanya kampeni za kuwania ubunge Jimbo la Tabora Mjini.

 

10 years ago

Habarileo

Kampeni za urais, ubunge Agosti 22

Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian LubuvaTUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini (NEC), imekata mzizi wa fitina na kufuta uvumi kwamba, kulikuwa na mpango wa kumwongezea Rais Jakaya Kikwete muda wa kukaa madarakani mara baada ya kumaliza awamu yake ya pili Oktoba mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

Wadaiwa kuanza kampeni za ubunge

Baadhi ya wanaCCM wamedaiwa kuanza kampeni za chini kwa chini kuwania ubunge mkoani Dar es Salaam, huku wakielezwa kujipenyeza hata katika baadhi ya makanisa kutafuta uungwaji mkono.

 

9 years ago

Habarileo

CCK kuzindua kampeni za ubunge leo

CHAMA cha Kijamii (CCK), kinazindua kampeni za ubunge leo jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani