Kampeni za urais, ubunge Agosti 22
TUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini (NEC), imekata mzizi wa fitina na kufuta uvumi kwamba, kulikuwa na mpango wa kumwongezea Rais Jakaya Kikwete muda wa kukaa madarakani mara baada ya kumaliza awamu yake ya pili Oktoba mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi23 Aug
KAMPENI ZA URAIS ZAANZA RASMI, TUME YATOA RATIBA ZA MAENEO NA MUDA WA KAMPENI
Tume ya Taifa ya uchaguzi inakutana na Kamati Maalumu inayo undwa na wajumbe kutoka vyama nane vilivyo na wagombea wa urais na makamo kuandaa Ratiba ya mikutano ya hadhara kurahisisha kubaini vyama vilivyopanga mkutano mmoja katika mkoa mmoja, wilaya moja, na Eneo moja kwa Tarehe mojaMkurugenzi wa NEC Kailima Ramadhani amesema anafarijika sana na ushirikiano wanaouonyesha Wawakilishi Wa vyama katika kuhakikisha mchakato kuwa wa Amani na utulivu bila kujali itikadi za vyama vyao kikao...
5 years ago
CCM BlogTUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS TANZANIA 2015: DK MAGUFULI AVUNJA REKODI YA UKAWA MKUTANO WA KAMPENI JIJINI MBEYA
10 years ago
Mtanzania06 May
Mgombea urais Chadema kupatikana Agosti
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kinatarajia kumpata mgombea wake wa urais Agosti 4, mwaka huu.
Kupatikana kwa mgombea huyo kutatokana na uamuzi wa mkutano mkuu wa taifa, ambacho ndio chombo cha juu cha uamuzi.
Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, wakati akitangaza kwa waandishi wa habari uamuzi wa kikao cha Kamati Kuu kilichoketi kwa siku mbili.
Alisema pamoja na mambo mengine kikao hicho...
10 years ago
Mwananchi06 May
Mgombea urais Chadema kupatikana Agosti 4
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Mgombea urais ACT kujulikana Agosti 10
10 years ago
Habarileo15 Jun
Mgombea Urais wa ACT hadharani Agosti 10
MGOMBEA wa Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu kupitia chama cha ACT-Wazalendo, inatarajia kujulikana Agosti 10 mwaka huu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZBStZ816j0KgE8ME0pUkr-TCCMS*MJt3jmgKQOXxnn2pXyOoI0LyZByhuvHeSmaetKGBwMfBEVv-UgZvL33O*mRF72zAgvB/ACT.jpg?width=650)
ACT KUTANGAZA WAGOMBEA WAKE WA URAIS AGOSTI 13, 2015
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/g0j5naBDEmA/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ5IzeHWxW0/VbY1Urqa4dI/AAAAAAAHsBQ/TxknfHjEzJk/s72-c/_MG_0899.jpg)
MHE.EDWARD LOWASSA AKARIBISHWA RASMI KUJIUNGA NA UKAWA.,MGOMBEA URAIS KUTANGAZWA AGOSTI 4
![](http://1.bp.blogspot.com/-MJ5IzeHWxW0/VbY1Urqa4dI/AAAAAAAHsBQ/TxknfHjEzJk/s640/_MG_0899.jpg)