Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wadaiwa kuanza kampeni za ubunge

Baadhi ya wanaCCM wamedaiwa kuanza kampeni za chini kwa chini kuwania ubunge mkoani Dar es Salaam, huku wakielezwa kujipenyeza hata katika baadhi ya makanisa kutafuta uungwaji mkono.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WADAIWA KODI YA PANGO LA ARDHI KUANZA KUSAKWA NCHI NZIMA


Na Munir Shemweta, WANMM DODOMA

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza operesheni maalum ya kuwasaka wadaiwa wote sugu ya kodi ya pango la ardhi na kuwafikisha katika vyombo vya sheria ili kufidia madeni wanayodaiwa.

Akizungumza na Wenyeviti na Watendaji wa Mitaa katika jiji la Dodoma leo tarehe 6 Machi 2020 Kamishna wa Ardhi nchini Nathaniel Methew Nhonge alisema opresheni hiyo inaanza leo kwa nchi nzima ambapo wamiliki wote waliopelekewa ilani za madai wanatakiwa kulipa madeni...

 

11 years ago

Habarileo

'Sifanyi kampeni za ubunge'

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Wilaya (CCM) Tabora na Mjumbe wa Kamati ya Uchumi ya Jumuiya ya Wazazi Mkoa, Emmanuel Mwakasaka amekanusha kufanya kampeni za kuwania ubunge Jimbo la Tabora Mjini.

 

9 years ago

Habarileo

Samia kuanza kampeni Dodoma kesho

MGOMBEA Mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, anaanza ziara za mikutano ya kampeni mkoani hapa kesho ambapo wananchi wametakiwa kujitokeza kwa wingi kumsikiliza.

 

10 years ago

Habarileo

Kampeni Serikali za Mitaa kuanza Novemba 30

KAMPENI kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajiwa kufanyika kote nchini Desemba 14, mwaka huu zitafanyika kwa wiki mbili kuanzia Novemba 30.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamke aliyekana dini kuanza kampeni

Mwanamke wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuikana dini ya kiislamu ameonekana hadharani nchini Marekani.

 

10 years ago

Habarileo

Kampeni za urais, ubunge Agosti 22

Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Damian LubuvaTUME ya Taifa ya Uchaguzi Nchini (NEC), imekata mzizi wa fitina na kufuta uvumi kwamba, kulikuwa na mpango wa kumwongezea Rais Jakaya Kikwete muda wa kukaa madarakani mara baada ya kumaliza awamu yake ya pili Oktoba mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Kampeni za ubunge zaanza kinyemela

Zikiwa zimesalia siku takribani 400 kabla ya kuvunjwa kwa Bunge, kampeni za chinichini zimeanza katika majimbo matano ya mkoani Kilimanjaro.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli kuanza kampeni Rukwa akitokea Katavi

MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli na mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan wanatarajia kuanza kampeni zao mkoani Rukwa wakitokea mkoani Katavi.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yawaita 16 kwa kuanza kampeni kabla

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kimewaita kwenye Kamati ya Kanuni na Maadili wanachama wake 16 kwa kuvunja miiko ya chama hicho kwa kuanza kampeni kabla ya wakati.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani