Magufuli kuanza kampeni Rukwa akitokea Katavi
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli na mgombea mwenza wake, Samia Suluhu Hassan wanatarajia kuanza kampeni zao mkoani Rukwa wakitokea mkoani Katavi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AHAMISHIA MAFURIKO YA KAMPENI ZA CCM MKOANI KATAVI
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Dkt. Magufuli azidi kuchanja mbuga mikutano ya kampeni mkoani Rukwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s640/_MG_6249.jpg)
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM,Mhe. Mizengo Pinda akimtambulisha mgombea Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa wakazi wa Sumbawanga mjini kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika ndani ya uwanja wa Nelson Mandela jana jioni.
![](http://4.bp.blogspot.com/-BsaIiqPuEfU/VdybQoxK4EI/AAAAAAAC-B0/JMDNIDl8J9w/s640/_MG_6257.jpg)
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela kwenye mkutano wa kampeni,pichani nyuma ni Waziri Mkuu Pinda akishuhudia tukio hilo.
![_MG_6285](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/MG_6285.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_PSb3uiLEdQ/U0sDBggHdnI/AAAAAAACeyQ/HV66cARz1jo/s72-c/26.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AWASILI SALAMA MKOA WA KATAVI USIKU HUU AKITOKEA KIGOMA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-_PSb3uiLEdQ/U0sDBggHdnI/AAAAAAACeyQ/HV66cARz1jo/s1600/26.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ke3Sl6FMd_Q/U0r8_016s8I/AAAAAAACev8/9sdUx2JZaZE/s1600/22.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s72-c/_MG_6249.jpg)
TUJIKUMBUSHE KAMPENI ZA URAIS 2015: DKT MAGUFULI AZIDI KUPASUA ANGA KWA KISHINDO MKOANI RUKWA
![](https://3.bp.blogspot.com/-Ghoa1QUm7TA/VdybRc19stI/AAAAAAAC-CA/ISG0Ifn31xE/s640/_MG_6249.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-BsaIiqPuEfU/VdybQoxK4EI/AAAAAAAC-B0/JMDNIDl8J9w/s640/_MG_6257.jpg)
10 years ago
Habarileo05 Oct
Rukwa, Katavi watumia vibaya ARVs
BAADHI ya wanaume katika mikoa ya Rukwa na Katavi wanakiri kutumia dawa za kufubaza virusi vya Ukimwi (VVU) ARVs kama njia ya kujikinga na maambukizi ya VVU wanapokutana kimwili na wanawake wanaouza miili yao maarufu kama ‘changu doa’.
11 years ago
TheCitizen25 Jan
Two men killed in separate incidents in Katavi and Rukwa
10 years ago
Habarileo09 Aug
Rukwa, Katavi wataka Nanenane ihame Mbeya
WAKULIMA wa mikoa ya Rukwa na Katavi, wametaka uongozi wa Chama cha Wakulima (TASO) unaoratibu sherehe za maonesho ya Nanenane nchini, kuandaa maonesho hayo kwa zamu, badala ya kila mwaka kulazimika kwenda jijini Mbeya ili kuhudhuria maonesho hayo.
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Tume ‘Operesheni Tokomeza’ kutembelea Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya
Katibu wa Tume Wakili Fredrick Manyanda.
Na Mwandishi Wetu
Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Operesheni Tokomeza Ujangili imetangaza ratiba ya kwanza ya ziara yake katika Mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa na Mbeya ili kukusanya taarifa na kupokea malalamiko yaliyotokana na utekelezaji hiyo.
Kwa mujibu wa Taarifa ya Tume hiyo iliyotolewa leo, Jumatano (Septemba 10, 2014) na Katibu wa Tume Wakili Fredrick Manyanda, ziara hiyo itaanza tarehe 17 mwezi huu na kumalizika tarehe 6 mwezi ujao.
Kwa mujibu...